Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #41
Sawa mkuu1. Kabla ya kufungua biashara nilimuita mzee (baba) nikaweka wazi kuwa dogo akizingua namtimua.
2. Dogo nilimchimba mkwala kuwa lengo tunufaike sote hvy akizingua mm kwangu ni kuchukua mtaji wangu tu.
3. Nafuatilia mm mwenyewe kwa ukaribu wala simuonei muhali
Kwanini mkuu? Watu wanadai kizuri kula na ndugu yako.
Kwanini boss?Napenda vitu straightforward, siwezi fanya kazi na ndugu.
Sawa bossCha msingi ni kuongeza umakini katika wafanyakazi wako,over.
Kwani wewe sio boss?Sawa boss
Kwani nini maana ya kuwa boss?Kwani wewe sio boss?
Kuwa boss maana yake ni kuwa na pesa nyingi mdogo wangu.Kwani nini maana ya kuwa boss?
Chai hii sasa tena mchana kweupeKuwa boss maana yake ni kuwa na pesa nyingi mdogo wangu.
Vitu vingine kama vipi?Boss mbona kigezo chako kipo kwenye wizi tu. Hujafikiria vitu vingine au hiyo ndio changamoto kuu.
Mkuu salama? Hii hoja yako imenigusa sana. Naomba tuwasiliane.kuajiri mtu baki kuna ahueni sana katika biashara, ndugu akizingua kumwajibisha mtihani lakini mtu baki unamwajibisha vizuri, niliwahi mweka ndugu duka la spear tena shughuli yenyewe ina maslahi makubwa nje ya mshahara wake, mfano kitu cha 50k ukikiuza 55k or 60k hiyo ziada ni yake bt cha ajabu kila tukipiga hesabu mzigo umepungua pesa hazionekani nikamtoa
nb: ndugu huifanya biashara yako kama mali ya nyumbani hivo huiba kwa kuchukua bt mtu baki huiba kwa akili sana
Unataka kuwasiliana na yuzazifu au Infantry Soldier ?Mkuu salama? Hii hoja yako imenigusa sana. Naomba tuwasiliane.
Manyerere
0735133332
Ni shiiiiida duhHawa ndugu wengi wao wanafelisha sana michongo na huna cha kuwafanya.