Kuajiriwa ni utumwa; mlio nje ya Ajira Rasmi kazeni Buti. Wenzangu jobless nafasi yenu kwa busara yangu ukajiajiri, utakuja kunishukuru

Kuajiriwa ni utumwa; mlio nje ya Ajira Rasmi kazeni Buti. Wenzangu jobless nafasi yenu kwa busara yangu ukajiajiri, utakuja kunishukuru

Google Diggers

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2015
Posts
944
Reaction score
1,138
Jiajiri utaepukana na mateso manyanyaso na kuabudia binadamu asiye na shukran.

Marais na viongozi wetu wanafanyakazi ya ziada Sana. Katika utendaji kazi Kuna Mambo mengi yamefichikamana. Hutaona mapema. Jiajiri na hakikisha unaongeza ujuzi mara Kwa mara kw kile unachoamini utatusua.

Hata kama umesomea kiswahili Kuna jinsi ya kujiajiri. Ubunifu ndio silaha ya maisha ya mafanikio, kujiajiri ni kubuni jambo liweke kwenye maandishi, weka mipango Anza kuifanyia kazi mpango wako.

Unawaona wauza maji, karanga, Azam products wanakosa ufahamu na uvumilivu. Kwa mfano ukipata kuku lazima uvumilie atage mayai, kifaranga kikue, umlishe umpe dawa, awe mumu yule wa sh 15,000 20,000 na kadhalika.

Wauza mboga mboga wanafanya the same. Buni mradi utakuja kutoa ushuhuda
 
Umesema Marais wanafanya kazi ya ziada? Kwani tuna Marais wangapi hapa Tanzania
 
Unacho sema ni kweli.

Sema hali ya Nchi yetu bado kutoboa ni kugumu sanaa
 
Ni kweli lkn serikali iweke njia nyepesi za kuwawezesha mitaji yenye riba nafuu vijana.
 
Kujiajiri ni kuzuri mno no doubt lakini sio rahisi kama unavyofikiria, kama huamini acha hyo kazi Rudi mtaani ukiwa bare handed halafu uone hustle lake, vijana wengi wanashindwa kujiajiri sio kwamba hawataki la hasha! Bali mzingira yaliyopo sio rafiki kufanya hvyo!
 
Ni kweli lkn serikali iweke njia nyepesi za kuwawezesha mitaji yenye riba nafuu vijana.
Hizo njia rahisi zikiwekwa hakutakuwa na haja ya kujiajiri. Ili upenye ni lazima ukabili vikwazo vyote, na inawezekana kabisa usipokata tamaa
 
Unacho sema ni kweli...
Sema hali ya Nchi yetu bado kutoboa ni kugumu sanaa
Mfumo wa elimu ya nchi ndio tatizo kubwa, ndio maana professor wa kilimo anakimbilia kwenye siasa badala ya kwenda mashambani kupeleka ujuzi wake kwa wale wasio na uelewa huo!

NOTE! Kufanikiwa ni mchakato sio rahisi, ni sawa ulale usiku na upara halafu utegemee kuamka asubuhi na afro!
 
Acha kazi, mnaropoka sana tatizo ujawahi kuishi kitaaa.
 
Sio wote lazima tujiajiri..ila kama kipato hakitoshelezi tafuta njia zakuongeza kipato.

Not all men are born to lead others are born to serve the leaders.

Know you place na ridhika nayo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ata ukijiajiri bado tu itakubidi uwanyenyekee hawa ma tra, competitors, matajiri, afisa biashara, bodi za usajiri na customers.
hivyo sisi ni watumwa tu siku zote.
 
Kama umejiajiri unafanya biashara, ujue wewe ni mtumwa wa wateja wako.


YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
 
Back
Top Bottom