Hakika niwateja wako, na wanakupa cash directly.
Wewe ndiye CEO. Unaamuawewe (decision maker)
Planner ni wewe. Ubunifu ndio kila kitu
Hata kama umeamua kuuza miwa, ukaamua uhamie juice ya miwa, ukabadili uwe na veriaties za soft drinks kama machungwa, ukwaju nk.