big soap
Senior Member
- Feb 22, 2020
- 197
- 270
Hizi story ni rahisi ikiwa mtu anakusimulia tu.Ni vipi unaweza kujiajiri kijana mwenzangu?
Cha kwanza jikubali tambua unahitaji kufanya nini.
Fikiria ulikotoka,tizama wanaokutegemea ,
Kujiajiri ni maamuzi.
1. Mungu akikutunuku utambuzi na uchambuzi_ huu uzi utakusaidia.
2. Ukipata ndugu/rafiki wa kweli akueleze mambo ktk uhalisia na kukushika mkono pia.
3. nje ya hayo huu uzi sawa na hamna kitu. pita kuleee