Kuajiriwa ni utumwa

Kuajiriwa ni utumwa

Kama mitihani ingekuwa rahisi kama unavyo chukulia mambo, wa mwisho angepata B
Jitafakari!
😁😁😁 duuh akili zako . Kuna akili na elimu kijana we endelea kukariri
Ni kweli kabisa , pia kujiajiri hakukuhakishii kuwa tajiri, unaweza kuwa umejiajiri ukawa masikini tu miaka nenda rudi unaambulia kula na kusomesha tu


Hakuna uhakika 100%


Ila kujiajiri kunaweza kukakufanya ukawa tajiri ila ajira ni asilimia ndogo sana kuwa tajiri sana kwa ajira ,ndogo sana tena maranyingi labda ufanye kazi huko IMF , world bank tena international positions

Vile vile kujiajiri kutoboa ni jasho la damu .


Mimi nimekaa pande zote mbili


Najua husle za kujiajiri na husle za ajira


Sitetei upande wowote


Kwa maisha ya kiafrika nazungumzia
Sawa kwa sasa upo upande gani. Umejiajiri au umeajiriwa. Afu umaskini ni upi na utajiri nini. Mtu aliyejiri hawezi kuwa maskini wa kipato ata siku moja.
 
Narudia Watafiti Kwa maana Watalaamu unajua kuwa ni waajiriwa, Watengeneza madawa, Wanaunda ndege, magari, meli, na Watengeneza bidhaa mbali mbali ni Waajiliwa, Mo, Bhaharesa Wanategemea wataalamu wao, kwenye shuguri zao.

Hao maprofesa ni Wataalau huwa hawajiajiri wao huajiriwa Silaha zinazo tikisa Dunia ni kazi ya waajiriwa, Computer zao la waajiliwa. Sector zinatofautiana ndugu yangu.
..mkuu upo sahihi..ila nadhani mtoa mada anaongelea kwa context ya nchi maskini yenye fursa zaidi kama yetu..waajiriwa wa ulaya wanalipwa vizuri sana na wanaishi quality life na Gov zao zinatoa huduma zote kwa quality ya juu sana na kwa wote.
 
Ko wewe ukiingiza 100,000 kwenye genge na alieajiriwa anapata mil 2 labda unaona anaepata 100,000 ndio sio mtumwa?

Kwahiyo nazani ni ufinyu wako wa fikra,pia kwahiyo daktrari ni mtumwa wa kifikra? ,manesi,waalimu ?

Sasa,

Kama hauna uhuru wa kifedha ni mtumwa wa fedha tu uwe umeajiriwa au hujaajiriwa

Kumbuka asilimia kubwa ya matajiri unaowaona mjini walianzia kwenye utumwa unaousema wa ajira , lakini wakajifunza misingi .

Kwahiyo hakuna kanuni maalumu
Ni fikra na utumwa tu kwa pamoja vikiwa kichwani.

Na hiyo kupenda fedha kwa kuuza akili yako kwa mwanaume mwenzako unamzalishia 10 anakupatia 5 huo sio utumwa?

Sasa hivi kuna wanaume wamekuwa mashoga na wanabinulia matako wanaume wenzao ila wanapewa pesa ndefu baada ya kupumuliwa kisogoni na ni matajiri sasa hapo utaongea nn?

Kuuza akili yako kwa mtu mwingine hiyo haina jina zaidi ya uhayawani.

Wwnye IQ mujarabu hawadumu katika utumwa huo ila vilaza kama wewe huna pakwenda zaidi ya kufia humo ama kusubiri ukongoroke upewe mafao urudishwe kijijini kwenu

Wacha uzwazwa, kuajiriwa ni utumwa.
Leo ukifukuzwa unakufa kwa presha.

Kwani m10 huwezi kuitafuta bila kuuza akili yako kwa mwanamme mwenzako?

Hakuna IQ kubwa inaajiriwaga hapa duniani..

Low and mid IQ ndio wanaajiriwaga.

Wewe mshahara wa kupewa mwisho wa mwezi utajilinganisha na mtu anae hustle?
 
Mimi nimeajiriwa but still natembelea BMW,Nina nyumba 5,mashamba 5,nyumba 5 na Nina wake 4, wewe je mwenzangu?
Hapo uliemuuzia akili anakuchukulia kama ndondocha ake[emoji3][emoji3]

Anakupatia sehemu kiduchu unachozalisha ili usitoroke

Yaani amekupumbaza kwa hicho unachokenulia meno
 
Mimi nimeajiriwa but still natembelea BMW,Nina nyumba 5,mashamba 5,nyumba 5 na Nina wake 4, wewe je mwenzangu?
Wewe kama tu huwezi kujikomboa na kuweza kutumia akili yako bado ni mtumwa.

Huyo aliekuajiri anakuchukulia kama ndondocha wake.

Hicho anachokupatia ni sehemu tu ndogo sana tu ya kile unachostahili baada ya kukutumia na kweli dume ukatumika.

Kwa vile umeshsingia mfumo wake na ni ndondicha ake, we hatuwezi kukushauri kitu[emoji16]

Mtumwa wa akili ni kama mfu
 
Ndo ilivyo sikataa ila kujiajiri uwaga changamoto mtu akishazoea mwisho wa mwezi anapata kiasi fulani. Kwanini walimu wanalia njaa
Kama walimutu ndio wanaolia njaa mtaani kwako itakua mtaa wa ajabu.

Hujawaona polisi ambapo hata walifikia hatua yakuambiwa wachukue mlungula wapate hela ya kiwi?
Vp wauguzi na manesi. Unajua watumishi wamabenki wanalipwaje.
 
Kama walimutu ndio wanaolia njaa mtaani kwako itakua mtaa wa ajabu.

Hujawaona polisi ambapo hata walifikia hatua yakuambiwa wachukue mlungula wapate hela ya kiwi?
Vp wauguzi na manesi. Unajua watumishi wamabenki wanalipwaje.
Soma vizuri posta acha haraka
 
Mimi nimeajiriwa but still natembelea BMW,Nina nyumba 5,mashamba 5,nyumba 5 na Nina wake 4, wewe je mwenzangu?
😁😁😁😁 we umeolewa kwenye vitu ulivotaja labda shamba ila sijaona kingine hapo na shaba ukiwa na shida unauza we kalale
 
Wanaosema hivyo ni walioanza biashara na hawajapitia misukosuko ya biashara
 
Ni fikra na utumwa tu kwa pamoja vikiwa kichwani.

Na hiyo kupenda fedha kwa kuuza akili yako kwa mwanaume mwenzako unamzalishia 10 anakupatia 5 huo sio utumwa?

Sasa hivi kuna wanaume wamekuwa mashoga na wanabinulia matako wanaume wenzao ila wanapewa pesa ndefu baada ya kupumuliwa kisogoni na ni matajiri sasa hapo utaongea nn?

Kuuza akili yako kwa mtu mwingine hiyo haina jina zaidi ya uhayawani.

Wwnye IQ mujarabu hawadumu katika utumwa huo ila vilaza kama wewe huna pakwenda zaidi ya kufia humo ama kusubiri ukongoroke upewe mafao urudishwe kijijini kwenu

Wacha uzwazwa, kuajiriwa ni utumwa.
Leo ukifukuzwa unakufa kwa presha.

Kwani m10 huwezi kuitafuta bila kuuza akili yako kwa mwanamme mwenzako?

Hakuna IQ kubwa inaajiriwaga hapa duniani..

Low and mid IQ ndio wanaajiriwaga.

Wewe mshahara wa kupewa mwisho wa mwezi utajilinganisha na mtu anae hustle?
Nondo watajua tu
 
Mrejesho gani.. me nimejiajiri siendeshwi .. kuajiriwa utumwa maanake huwezi kuwa huru. Mwajiri wako akikuhitaji saa nane usiku lazima uende mzee
Hujui unacho ongea. Wewe mteja wako akikutaka saa 8 usiku huendi?.

Nimepitia maisha ya aina zote mbili, yaani kuajiriwa na kujiajiri. Asikwambia mtu...kujiajiri ni kugumu mnooo. Ni wachache sana wanao weza kujiajiri. Lazima uwe mchapa kazi, na craetive. Mara nyingi wewe mwenyewe ndo utafanya karibia kazi zote...uende bank, ufanye kile, utafute wateja, uandae mzigo au chochote mteja wako anachotaka etc.

Kimsingi ukiona ajira ni utumwa, kujiajiri ni utumwa pro max.
 
Hujui unacho ongea. Wewe mteja wako akikutaka saa 8 usiku huendi?.

Nimepitia maisha ya aina zote mbili, yaani kuajiriwa na kujiajiri. Asikwambia mtu...kujiajiri ni kugumu mnooo. Ni wachache sana wanao weza kujiajiri. Lazima uwe mchapa kazi, na craetive. Mara nyingi wewe mwenyewe ndo utafanya karibia kazi zote...uende bank, ufanye kile, utafute wateja, uandae mzigo au chochote mteja wako anachotaka etc.

Kimsingi ukiona ajira ni utumwa, kujiajiri ni utumwa pro max.
Endelea kuuza akili yako kwa mwenzako....
 
we ni messi au Ronaldo...lete mifano hai. Ata hivo messi sio mtumwa anaweza kuacha mpira na kufanya mambo mengine. Au unajua maana ya UTAJIRI au umaskini?
Umesema hamna mtu aliyekuwa Tajiri kwa kuajiriwa.
Mesi na Ronaldo wameajiriwa na timu zao.

Nimekuuliza.... MESI NA RONALDO NI MASIKINI?
 
Ni fikra na utumwa tu kwa pamoja vikiwa kichwani.

Na hiyo kupenda fedha kwa kuuza akili yako kwa mwanaume mwenzako unamzalishia 10 anakupatia 5 huo sio utumwa?

Sasa hivi kuna wanaume wamekuwa mashoga na wanabinulia matako wanaume wenzao ila wanapewa pesa ndefu baada ya kupumuliwa kisogoni na ni matajiri sasa hapo utaongea nn?

Kuuza akili yako kwa mtu mwingine hiyo haina jina zaidi ya uhayawani.

Wwnye IQ mujarabu hawadumu katika utumwa huo ila vilaza kama wewe huna pakwenda zaidi ya kufia humo ama kusubiri ukongoroke upewe mafao urudishwe kijijini kwenu

Wacha uzwazwa, kuajiriwa ni utumwa.
Leo ukifukuzwa unakufa kwa presha.

Kwani m10 huwezi kuitafuta bila kuuza akili yako kwa mwanamme mwenzako?

Hakuna IQ kubwa inaajiriwaga hapa duniani..

Low and mid IQ ndio wanaajiriwaga.

Wewe mshahara wa kupewa mwisho wa mwezi utajilinganisha na mtu anae hustle?
Pole sana
 
Umesema hamna mtu aliyekuwa Tajiri kwa kuajiriwa.
Mesi na Ronaldo wameajiriwa na timu zao.

Nimekuuliza.... MESI NA RONALDO NI MASIKINI?
Akijibu ni tag!

Hawezi kujibu.

Ukiwasoma hawa Hemedy jr Junior , zwangandaba na wenzao unaona kabisa ni wahanga wa kukosa ajira, ni kama wana grudges hivi na walioajiriwa.

Chamsingi ni kuwapa msaaada wa kisaikolojia.
 
Back
Top Bottom