Kuajiriwa Tamisemi na Wizara kupi kuna maslahi na malupu lupu bora kwa mwajiriwa??

Kuajiriwa Tamisemi na Wizara kupi kuna maslahi na malupu lupu bora kwa mwajiriwa??

Wataalaam

Naomba majina
inaelekea we bado ni kijana mdogo na hujasota mtaani kusubiria ajira! Unachagua muajiri mwenye mshahara mkubwa na marupurupu juu akili unazo kweli? Kwanza elewa scale za mishahara za serikali ziko sawa kwa kiwango cha elimu na kada uliyosomea tofauti ni umri wa kuwa kazini tu ndiyo hutofautia mshahara. Unataka kazi pokea, habari za marupurupu utazikuta kazini kwako, acha ushamba kuchagua muajiri mishahara iko sawa
 
inaelekea we bado ni kijana mdogo na hujasota mtaani kusubiria ajira! Unachagua muajiri mwenye mshahara mkubwa na marupurupu juu akili unazo kweli? Kwanza elewa scale za mishahara za serikali ziko sawa kwa kiwango cha elimu na kada uliyosomea tofauti ni umri wa kuwa kazini tu ndiyo hutofautia mshahara. Unataka kazi pokea, habari za marupurupu utazikuta kazini kwako, acha ushamba kuchagua muajiri mishahara iko sawa
sawa ikifika saa1 nitaacha huo ushamba
 
Tamisemi na wizarani Ina tofauti Gani?


Watu wa afya ndo wanambwembwe za kujiita wizara Kwa waliojiriwa kwenye hospital za rufaaa za mikoa, Kanda, vyuo nk.

Hospital za wilaya, vituo vya afya na zahanati ndiko tamisemi.


Ndugu yangu, kama hauna digrii achana na wizara, wa wizara wanapiga noti ni watu wazito.


Nenda halmshauri kama kaelimu kako ni sungura, huko tamisemi utapga chanjo, seminar kibao na michongo mingi sana. Kila zahanati hupewa fungu lake na mnakuwa wachache.


Huko wizarani tuchukulie hosp ya rufaaa Seiko toure wanaokula maisha hawazidi kumi. Mkurugenzi mwenyewe, na wakuu wa idara.

Kama wewe ni daktari bingwa nenda wizarani.
 
Tamisemi na wizarani Ina tofauti Gani?


Watu wa afya ndo wanambwembwe za kujiita wizara Kwa waliojiriwa kwenye hospital za rufaaa za mikoa, Kanda, vyuo nk.

Hospital za wilaya, vituo vya afya na zahanati ndiko tamisemi.


Ndugu yangu, kama hauna digrii achana na wizara, wa wizara wanapiga noti ni watu wazito.


Nenda halmshauri kama kaelimu kako ni sungura, huko tamisemi utapga chanjo, seminar kibao na michongo mingi sana. Kila zahanati hupewa fungu lake na mnakuwa wachache.


Huko wizarani tuchukulie hosp ya rufaaa Seiko toure wanaokula maisha hawazidi kumi. Mkurugenzi mwenyewe, na wakuu wa idara.

Kama wewe ni daktari bingwa nenda wizarani.
Huu ushauri upo kitaalam sana!
mkuu watu wa aina yako wwko wachanche sana Heshima yako
 
Napenda niseme neno moja tuu........huenda ungeelewa unachofikiria
 
Back
Top Bottom