Kuamini kwamba chama cha upinzani kikishika madaraka kitaleta maendeleo ni kujidanganya!!

Kuamini kwamba chama cha upinzani kikishika madaraka kitaleta maendeleo ni kujidanganya!!

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Kwa mtazamo wangu maendeleo yanaweza kupatikana ikiwa rasilimali za nchi zikapata usimamizi mzuri na mipango ya maendeleo ikapangiliwa vizuri lkn pia wananchi wakatimiza wajibu wao.
Kwa upande wa vyama, naamini ni kama madaraja tu ya kuwasaidia watu kupata sifa ya kuwa wagombea na kukidhi vigezo vya kuchagulika.
Ni kwa mantiki hiyo naamini kwamba suala la uadilifu halihusiani sana na chama alichopo mtu kama ilivyo kwa uwezo wa kuongoza .
Niwaase watanzania tuachane na siasa za kushabikia watu kwa kuangalia rangi ya chama bali tupime uwezo vigezo na uadilifu binafsi wa mtu.
Kudhani kwamba maendeleo yatapatikana tu upinzani ukiingia madarakani sio kweli wala sio kweli kwamba ccm wakitawala basi kuna maendeleo tutapata kwa sababu ni ccm sio kweli.
 
kinacholeta maendeleo ni sera na mipango mizuri, na ni vyama ndio vyenye hizi sera so chama chenye sera nzuri na chenye uwezo wa kuzisimamia na kuzitekeleza kinaweza leta maendeleo. kiwe tawala ama pinzani
 
Kabla hujaandika uwe unafanya research kidogo ili uwe reliable examples.
Kenya baada ya chama cha upinzani kuingia, Mwai kibaki alijenga uchumi vizuri sana, Leo ghana inapiga hatua kubwa sana kwa sababu ya kuongoza vyama vya upinzani.
Kuleta mabadiliko ni ubunifu wa kiongozi kwa kushirikisha wananchi wake na kuamuwa kwa pamoja kuleta mabadiliko siyo kiongozi kujifungia ofisini kwake bila utafiti na kutoa matamko ambayo hayana uhalisia.
 
Hata Dikteta anaweza kuleta maendeleo. Hata mfalme anaweza kuleta maendeleo.

Maendeleo hayana chama.
 
Kwa mtazamo wangu maendeleo yanaweza kupatikana ikiwa rasilimali za nchi zikapata usimamizi mzuri na mipango ya maendeleo ikapangiliwa vizuri lkn pia wananchi wakatimiza wajibu wao.
Kwa upande wa vyama, naamini ni kama madaraja tu ya kuwasaidia watu kupata sifa ya kuwa wagombea na kukidhi vigezo vya kuchagulika.
Ni kwa mantiki hiyo naamini kwamba suala la uadilifu halihusiani sana na chama alichopo mtu kama ilivyo kwa uwezo wa kuongoza .
Niwaase watanzania tuachane na siasa za kushabikia watu kwa kuangalia rangi ya chama bali tupime uwezo vigezo na uadilifu binafsi wa mtu.
Kudhani kwamba maendeleo yatapatikana tu upinzani ukiingia madarakani sio kweli wala sio kweli kwamba ccm wakitawala basi kuna maendeleo tutapata kwa sababu ni ccm sio kweli.
Wewe ni punguani?] Usirudie tena kuandika upuuzi shwaini
 
Mwenye Sera amejiwekea kinga
Wakala wa mwananchi amejiwekea kinga.
Bwana huruma naye ana kinga.

Muhimu nikuwa na KATIBA BORA yenye mifumo yakuwajibishana.
Hapo chama chochote kitakuwa na hatua ya kuongoza nchi.
Kwanini huwa inawezekana kupata V8 bila usumbufu wakati hatuna uwezo wakutengeneza then choo za shule na huduma za maji ni MCHAKATO?
 
Mtoa hoja hii ni ya kipumbavu,maendeleo yanaletwa na wananchi sio politicians,chama dola kimetawala hii nchi kwa 60yrs bila maendeleo yeyote yale!
 
Kwa mtazamo wangu maendeleo yanaweza kupatikana ikiwa rasilimali za nchi zikapata usimamizi mzuri na mipango ya maendeleo ikapangiliwa vizuri lkn pia wananchi wakatimiza wajibu wao.
Kwa upande wa vyama, naamini ni kama madaraja tu ya kuwasaidia watu kupata sifa ya kuwa wagombea na kukidhi vigezo vya kuchagulika.
Ni kwa mantiki hiyo naamini kwamba suala la uadilifu halihusiani sana na chama alichopo mtu kama ilivyo kwa uwezo wa kuongoza .
Niwaase watanzania tuachane na siasa za kushabikia watu kwa kuangalia rangi ya chama bali tupime uwezo vigezo na uadilifu binafsi wa mtu.
Kudhani kwamba maendeleo yatapatikana tu upinzani ukiingia madarakani sio kweli wala sio kweli kwamba ccm wakitawala basi kuna maendeleo tutapata kwa sababu ni ccm sio kweli.
Maendeleo hayaletwi na chama. Mwalimu alishasema kuwe na watu, ardhi, siasa Safi na uongozi Bora hivyo ndivyo vinavyoleta maendeleo na siyo chama cha siasa.
 
Kwa mtazamo wangu maendeleo yanaweza kupatikana ikiwa rasilimali za nchi zikapata usimamizi mzuri na mipango ya maendeleo ikapangiliwa vizuri lkn pia wananchi wakatimiza wajibu wao.
Kwa upande wa vyama, naamini ni kama madaraja tu ya kuwasaidia watu kupata sifa ya kuwa wagombea na kukidhi vigezo vya kuchagulika.
Ni kwa mantiki hiyo naamini kwamba suala la uadilifu halihusiani sana na chama alichopo mtu kama ilivyo kwa uwezo wa kuongoza .
Niwaase watanzania tuachane na siasa za kushabikia watu kwa kuangalia rangi ya chama bali tupime uwezo vigezo na uadilifu binafsi wa mtu.
Kudhani kwamba maendeleo yatapatikana tu upinzani ukiingia madarakani sio kweli wala sio kweli kwamba ccm wakitawala basi kuna maendeleo tutapata kwa sababu ni ccm sio kweli.
Hasara tuliyoiipata 17/03/2021 ni kwa sababu ya kumtegemea mtu badala ya chama.
 
Kwa mtazamo wangu maendeleo yanaweza kupatikana ikiwa rasilimali za nchi zikapata usimamizi mzuri na mipango ya maendeleo ikapangiliwa vizuri lkn pia wananchi wakatimiza wajibu wao.
Kwa upande wa vyama, naamini ni kama madaraja tu ya kuwasaidia watu kupata sifa ya kuwa wagombea na kukidhi vigezo vya kuchagulika.
Ni kwa mantiki hiyo naamini kwamba suala la uadilifu halihusiani sana na chama alichopo mtu kama ilivyo kwa uwezo wa kuongoza .
Niwaase watanzania tuachane na siasa za kushabikia watu kwa kuangalia rangi ya chama bali tupime uwezo vigezo na uadilifu binafsi wa mtu.
Kudhani kwamba maendeleo yatapatikana tu upinzani ukiingia madarakani sio kweli wala sio kweli kwamba ccm wakitawala basi kuna maendeleo tutapata kwa sababu ni ccm sio kweli.
Bora tujindanganye hivyo kuliko kuendelea na hawa ambao tuna uhakika wameshindwa kwa miaka 60.
 
Nimesema vyama ni madaraja tu kwa hiyo viendelee kuwepo ila visiteke akili zetu
Ziangalie vizuri nchi zote. Zilizopiga hatua za kimaendeleo bora duniani, ni zile za ki democracy. Hubadilisha viongozi na vyama kulingana na sera nzuri na uongozi bora.

Nchi chache za ki dictator zilizopiga hatua na ni za mashaka. WaTz hawapaswi kuabudu chama wala kiongozi . Huo ni u dictator kwa mlango wa chama kilicholeta uhuru. Nonsense
 
Kwa mtazamo wangu maendeleo yanaweza kupatikana ikiwa rasilimali za nchi zikapata usimamizi mzuri na mipango ya maendeleo ikapangiliwa vizuri lkn pia wananchi wakatimiza wajibu wao.
Kwa upande wa vyama, naamini ni kama madaraja tu ya kuwasaidia watu kupata sifa ya kuwa wagombea na kukidhi vigezo vya kuchagulika.
Ni kwa mantiki hiyo naamini kwamba suala la uadilifu halihusiani sana na chama alichopo mtu kama ilivyo kwa uwezo wa kuongoza .
Niwaase watanzania tuachane na siasa za kushabikia watu kwa kuangalia rangi ya chama bali tupime uwezo vigezo na uadilifu binafsi wa mtu.
Kudhani kwamba maendeleo yatapatikana tu upinzani ukiingia madarakani sio kweli wala sio kweli kwamba ccm wakitawala basi kuna maendeleo tutapata kwa sababu ni ccm sio kweli.
Andiko linaloelea hewani. Haijulikani unataka nini hutaki nini!!
 
Kwa mtazamo wangu maendeleo yanaweza kupatikana ikiwa rasilimali za nchi zikapata usimamizi mzuri na mipango ya maendeleo ikapangiliwa vizuri lkn pia wananchi wakatimiza wajibu wao.
Kwa upande wa vyama, naamini ni kama madaraja tu ya kuwasaidia watu kupata sifa ya kuwa wagombea na kukidhi vigezo vya kuchagulika.
Ni kwa mantiki hiyo naamini kwamba suala la uadilifu halihusiani sana na chama alichopo mtu kama ilivyo kwa uwezo wa kuongoza .
Niwaase watanzania tuachane na siasa za kushabikia watu kwa kuangalia rangi ya chama bali tupime uwezo vigezo na uadilifu binafsi wa mtu.
Kudhani kwamba maendeleo yatapatikana tu upinzani ukiingia madarakani sio kweli wala sio kweli kwamba ccm wakitawala basi kuna maendeleo tutapata kwa sababu ni ccm sio kweli.
Kwa mitazamo Yako hiyo, nakushauri badili hata hilo jina, ili angalau wezekufikisha ujumbe kikamilifu Kwa mazuzu wa Ile rangi kijani.
 
Back
Top Bottom