Kuangalia mpira na wanawake ni shiiidah

Kuangalia mpira na wanawake ni shiiidah

Hili pambio la watan wetu, wanazidi kutubambikia udhaifu mpaka kwenye manyumba yetu.

everlenk Asernal tuko wavumilivu kama watanzania wanavyoivumilia ccm na mafisadi wake.

Hahahaha!!!! Aisee kwa uvumilivu nawapa A+
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1420560588064.jpg
    1420560588064.jpg
    25 KB · Views: 806
Ukishaona hizo kero unajiongeza akili kwamba nia yake siyo mpira wa kwenye luninga, ni mpira wa...
 
Umenikumbusha lile tangazo la Coca Cola katika World Cup

Binti: We Won!! We Won!! We Won!!
Njemba: But it's only half time?!
Binti: Ooooooh.. [huku akiona aibu kinoma noma]

Clueless
 
Ehehehehehehe
My home boy Maranzana why you damn crank up my ribs intentionally?

Hehehehe mm mke wangu hapendi kabisa soka!Akiangalia dakika 5 hamna bao anasonya anaondoka!

Anapenda high scoring game kama basketball
 
Last edited by a moderator:
anajenga kibanda pale..............................
 
ningempiga marufuku kuangalia soka. kwanza msumbufu
 
Yamekuwa haya tena? mtu wangu hata wewe unatupatia kibano tena maweeee!

Hahahahaha!!!! Sorry wangu yaani nilikuwa namuonyesha tu nilivyotumiwa si nikasahau kumbe ni public hahahah!! Nisameheni bure mi si unajua timu gani.....
 
MKE NA MUME WAKIANGALIA MECHI YA ARSENAL NA CHELSEA:
WIFE: Baby, yule ni nani? Ni Chris
Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?
HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card
inamaanisha mchezaji atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light!
Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hiyo haipo.
WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anafanana na
Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa
Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha
mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]

thanks guys u just made ma day...
 
Back
Top Bottom