Kuangalia video za ngono ndani ya basi siyo uungwana

Shirika la Utangazji BBC waliomba radhi baada ya sauti ya video ya Porno kusikika kwenye matangazo ya Mpira

Kuna Watu sijui kwanini hawawezi kujizuia jambo.
 
Hahaha haha huyo dingi kaiva
 
Nawewe ungeweka mahuburi au mawaidha
 
Mwanamke au mwanaume?
Kama ni mwanaume ana malengo ya ziada,anakutamani.
Lakini kama ni mwanamke basi amepinda!
 
Maneno ya motivational speakers hayo.
 
Haya mabasi ni two by two na hiyo tablet ameiweka kwa namna ili uone makusudi anachokitazama
Mkuu hadi fractional# ya umri wake kabisa!

Eti miska 46, mtu haujuani naye kweli!

Labda ungelitumia neno "takribani" ningelikuelewa bila kuhoji.

Lakini ulivyoweka miaka yake kwa usahihi, nikajua na kujua kumekucha, tayari alishajieleza sana huyo lazima atakuwa tu ni mchumba.

Alirusha ndoano ikafikia sehemu amejieleza weee hadi akachoka na wewe ukawa na msimamo wako hautaki "makelege" .

Kiburi kikampanda kichwani akaona mmalizane naye kwa njia hiyo ya "raha".

Kutongozana kuna tabu nyie!
 
Hivi nani aliwaambia kwenye mabasi ndio unaopoa pisi kirahisi? Wengi huwa wametumiwa nauli, na huko waendako wanakuta jamaa kajiandaa kwelikweli, nazi, karanga, mboga za maboga vimeliwa sana. Ukifika tu na maji ya moto anakuopelekea bafuni
 
Hivi nani aliwaambia kwenye mabasi ndio unaopoa pisi kirahisi? Wengi huwa wametumiwa nauli, na huko waendako wanakuta jamaa kajiandaa kwelikweli, nazi, karanga, mboga za maboga vimeliwa sana. Ukifika tu na maji ya moto anakuopelekea bafuni
Umeonaeeh! Wengine huenda mbali zaidi pamoja na mkongo wa Taifa😆😆😆👐👐!
 
Hii hua narudia sana kuiangalia maana President alitisha mbaya....🤣🤣
Wanajeshi wetu walipoiteka Ikulu ya Uganda (The Nile Mansions) mwaka 1979 walikuta majarida ya ngono ofisini mwa Rais Idi Amin (wafia dini mje mumtetee). Sema tu ilikuwa miaka ya zamani, ila ingekuwa ni leo jamaa hangekosa kuwa na membership CHAPUTA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…