Kuangalia video za ngono ndani ya basi siyo uungwana

sema wazee wengi Sasa hivi niwahovyo sana.sasa huyo miaka 40 hajaona nini Hadi ahangaike na xx? mizee mingine ya hovyo ipo humu ikiongozwa na bujibuji na ushmeni.yani hawa tunajadili upumbavu wamzee mwenzao wao wanarushiana xx pm☹️☹️☹️ninge kuwa melo hawa wajingaaaa..☹️
 
Kwamba umetisha[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Atakuaa Mwalimu huyoo. Amepewa Tablet. Anataka akutambishiee
 
Ametumia mbinu ya kiitelijensia kukunyegesha kimasihara safi sana
 
Huyu jamaa ungemchukulia hatua maana je angekubaka au angekukula tunda kimasihara je arafu angekuja hapa jf akaweka Hilo bandiko
Umekiwa tunda kimasihara kwenye basi[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huo ni udhalilishaji alitakiwa alipoti Polisi.Km ni burudani mbn Tz imezuia vitendo hivyo kurushwa hewani.
Bahati yake nikalala fofofo nikuwa nataka tukifika Mikese niwajulishe police
 
Labda alikuwa anakupandisha Ili akukule kimasihara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…