Kuanguka kwa Diamond na kupaa kwa Davido

Kuanguka kwa Diamond na kupaa kwa Davido

Mtoa mada unaongea vitu vya wapi..ni lini diamond alikua juu kuzid davido?

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Ninachokiona kwa Diamond ni hiki
1.Ameanzisha recording label ya Wasafi na kusajili wasanii ambacho ni kitu kizuri tu ila shida inakuja kuwa wasanii alionao anawatreat very fair business wise kiasi ambacho inampa shida kubalance new track releases.
2.Ndani ya kundi lao LA Wasafi .Diamond ameshindwa kutoka nje ya mawazo ya kimuziki ya akina mboso,rayvany na lavalava kiasi ambacho hakuna kipya katika Muziki wao kwani kila Siku Maneno ni yaleyale pia wapo ki matusi zaidi huku wakijidangaya kuwa wanaburudisha.Diamond anatakiwa kuwaza nje ya box LA hawa watoto wake kimuziki.
3.Diamond haamini kuwa anaweza kusimama yeye kama yeye na akafanya kazi nzuri inayokubalika Afrika nzima.The way alivyoanza kwa collabo ikamfanya maarufu bado jamaa haamini kuwa anaweza kutoa hit song bila collabo ya staa WA Naija.Hili no tatizo
4.Diamond ana menejimenti iliyokaa kiswahili sana licha ya kuwa inafanya vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachokiona kwa Diamond ni hiki
1.Ameanzisha recording label ya Wasafi na kusajili wasanii ambacho ni kitu kizuri tu ila shida inakuja kuwa wasanii alionao anawatreat very fair business wise kiasi ambacho inampa shida kubalance new track releases.
2.Ndani ya kundi lao LA Wasafi .Diamond ameshindwa kutoka nje ya mawazo ya kimuziki ya akina mboso,rayvany na lavalava kiasi ambacho hakuna kipya katika Muziki wao kwani kila Siku Maneno ni yaleyale pia wapo ki matusi zaidi huku wakijidangaya kuwa wanaburudisha.Diamond anatakiwa kuwaza nje ya box LA hawa watoto wake kimuziki.
3.Diamond haamini kuwa anaweza kusimama yeye kama yeye na akafanya kazi nzuri inayokubalika Afrika nzima.The way alivyoanza kwa collabo ikamfanya maarufu bado jamaa haamini kuwa anaweza kutoa hit song bila collabo ya staa WA Naija.Hili no tatizo
4.Diamond ana menejimenti iliyokaa kiswahili sana licha ya kuwa inafanya vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba umemaliza kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
diamond inabidi abadilishe ile menejimenti na aache kuwa fair sana..
 
"kuibuka kwa wasanii wapya Kama Tekno miles na Wizkid kulimshusha chart"


Hapo ndipo umechemsha kwa taarifa yako wiz kid ndio wa kitambo kuliko davido.
"Tease me" na halla at ur boy unazijua

Sent from my Nokia 6 using Jamii Forums mobile app
 
Diamond yupo juu kwa wasanii wa tz tu na si Nigeria hasa hao wenye mfanano na level za kina Davido
 
Bandiko hili lisichukuliwe vibaya na team ya WCB ambao mara zote wanapenda kutoambiwa ukweli bali liwe kama changamoto ya kuwafanya wamshauri msanii wao arudi kwenye right track ili aokoe career yake ambayo inapotea kimataifa.

Kushuka kwa Diamond na kupaa kwa Davido ni suala la kushangaza kwani mwaka 2014/2015/2016 Diamond alikuwa juu sana kimziki akifanya collabo na wasanii kadhaa wa Afrika pia akiwa na hit song zilizomfanya awe Africa mogul kama wimbo wa Nana,ukiacha collabo na hit song zilizotikisa Africa, Diamond pia alifanya show kubwa sana zilizojaza watu katika maeneo mbalimbali ya Africa na Europe.

Inasemakana kipindi hicho ratiba ya Mond ilikuwa booked Almost the whole year, kumkuta bongo Mond ilikuwa ni shida kila mtu alitamani kufanya nae collabo kila nchi ilitamani akafanye show. Kwa upande wa swahiba yake Davido yeye kimziki alishuka ni kama Mond alipoteza nyota yake kimziki na pia kuibuka kwa wasanii wapya Kama Tekno miles na Wizkid kulimshusha chart ilifikia hatua ya Davido kufikiria kuacha mziki kutokana na stress.

Lakini kwa takwimu za sasa zinaonyesha kinyume kwani Diamond ameshuka kwa anguko kubwa sana kama bei ya utumbo wakati Davido amerudi on top of the game. Wakati Diamond aliyekuwa star anayeibuka Africa anaimba nyimbo za matusi na kina Rayvan, kubadili wanawake kila mwaka, na kushindana na basata,Davido yeye anafanya show Kubwa 02 Arena London inayojaza washabiki 20k.

Je, Diamond amekubali kuachana na soko la mziki la kimataifa?
Wasafi buku 7 watakurarua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo yao waachieni wenyewe...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom