Msimu uliopita alikutana na mechi saba ngumu na hakupoteza hata moja so keep on dreaming.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha Flamingo na izo timu ngumu anazokutana nazo,,,Mechi ya Flamingo Liverpool walizidiwa siyo wachezaji kuchoka,,,Club za Brazil,,Argentina ukanda wa America kule mpira wanaucheza mwingi Ila tu hawana promo. Ubingwa wakiupoteza ni uzembe wao siyo wachezaji kuchoka Mana Wana kikosi kipana.And the rest will be history
In my opinions EPL champion this season is either Manchester city or Leicester city
Liverpool INA mechi ngumu sita mfululizo
KatikA mechi hizo sita atapoteza tatu na kushinda mbili na sare moja
Atapiteza points kumi na moja ndani ya mechi sita
Hii itamtoa kwenye mbio za ubingwa
Niliangalia mechi ya Liverpool na flamingo ukweli ni kwamba wachezaji wa Liverpool wanechoka sana hawana tena pumzi hasa keyplayers
Hawana tena Yale makali ya msimu ukiyopita
I'm not playing bad card ila Liverpool hawezi uchukua ubingwa wa EPL
Ukizingatia kikosi cha Liverpool ni injury prun kwa 92%
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha Flamingo na izo timu ngumu anazokutana nazo,,,Mechi ya Flamingo Liverpool walizidiwa siyo wachezaji kuchoka,,,Club za Brazil,,Argentina ukanda wa America kule mpira wanaucheza mwingi Ila tu hawana promo. Ubingwa wakiupoteza ni uzembe wao siyo wachezaji kuchoka Mana Wana kikosi kipana.
Amina ila ngumu sana. Tatizo ni mkimbizaji anajikwaa kwaa.And the rest will be history
In my opinions EPL champion this season is either Manchester city or Leicester city
Liverpool INA mechi ngumu sita mfululizo
KatikA mechi hizo sita atapoteza tatu na kushinda mbili na sare moja
Atapiteza points kumi na moja ndani ya mechi sita
Hii itamtoa kwenye mbio za ubingwa
Niliangalia mechi ya Liverpool na flamingo ukweli ni kwamba wachezaji wa Liverpool wanechoka sana hawana tena pumzi hasa keyplayers
Hawana tena Yale makali ya msimu ukiyopita
I'm not playing bad card ila Liverpool hawezi uchukua ubingwa wa EPL
Ukizingatia kikosi cha Liverpool ni injury prun kwa 92%
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata wakifungwa kazi kubwa wameshaifanya raundi ya kwanza.
Akimaliza hzo mechi hachezi tena?leicester, wolves, sheff utd, spurs, utd, wolves........
[emoji1432][emoji1432][emoji1432][emoji1432]hizi ndio mechi zako 6 ngumu ambapo umetabiri liver atapoteza 3, sare 1 na kushinda 2!
ndoto zingine sio nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijamaanisha ligi ya brazil ni bora bali nimezungumzia club zinazotokea Brazil na ukanda ule wa America,,,
Nikuulize swali , Nitajie sifa za ligi bora duniani?ukiachana na timu kuchukua UEFA au kupeleka timu nyingi kwenye nusu fainali UEFA na kutoa mchezaji Bora wa dunia,,sifa za ligi bora ni zipi?
Aliyetabiri hivyo ni kichaa bila shakaleicester, wolves, sheff utd, spurs, utd, wolves........
[emoji1432][emoji1432][emoji1432][emoji1432]hizi ndio mechi zako 6 ngumu ambapo umetabiri liver atapoteza 3, sare 1 na kushinda 2!
ndoto zingine sio nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakuwaje liver apoteze points 11 halafu atoke kwenye mbio za ubingwa?And the rest will be history
In my opinions EPL champion this season is either Manchester city or Leicester city
Liverpool INA mechi ngumu sita mfululizo
KatikA mechi hizo sita atapoteza tatu na kushinda mbili na sare moja
Atapiteza points kumi na moja ndani ya mechi sita
Hii itamtoa kwenye mbio za ubingwa
Niliangalia mechi ya Liverpool na flamingo ukweli ni kwamba wachezaji wa Liverpool wanechoka sana hawana tena pumzi hasa keyplayers
Hawana tena Yale makali ya msimu ukiyopita
I'm not playing bad card ila Liverpool hawezi uchukua ubingwa wa EPL
Ukizingatia kikosi cha Liverpool ni injury prun kwa 92%
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasahau haraka hawa.Msimu uliopita alikutana na mechi saba ngumu na hakupoteza hata moja so keep on dreaming.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Kuchagizia tu ni kua Kila Liverpool ilipokua ikiongoza Ligi mpaka Xmass basi mwishowe iliishia kua ya pili .And the rest will be history
In my opinions EPL champion this season is either Manchester city or Leicester city
Liverpool INA mechi ngumu sita mfululizo
KatikA mechi hizo sita atapoteza tatu na kushinda mbili na sare moja
Atapiteza points kumi na moja ndani ya mechi sita
Hii itamtoa kwenye mbio za ubingwa
Niliangalia mechi ya Liverpool na flamingo ukweli ni kwamba wachezaji wa Liverpool wanechoka sana hawana tena pumzi hasa keyplayers
Hawana tena Yale makali ya msimu ukiyopita
I'm not playing bad card ila Liverpool hawezi uchukua ubingwa wa EPL
Ukizingatia kikosi cha Liverpool ni injury prun kwa 92%
Sent using Jamii Forums mobile app