Kuanguka kwa Liverpool kutaanzia boxing day

Kuanguka kwa Liverpool kutaanzia boxing day

And the rest will be history

In my opinions EPL champion this season is either Manchester city or Leicester city

Liverpool INA mechi ngumu sita mfululizo

KatikA mechi hizo sita atapoteza tatu na kushinda mbili na sare moja

Atapiteza points kumi na moja ndani ya mechi sita
Hii itamtoa kwenye mbio za ubingwa
Niliangalia mechi ya Liverpool na flamingo ukweli ni kwamba wachezaji wa Liverpool wanechoka sana hawana tena pumzi hasa keyplayers

Hawana tena Yale makali ya msimu ukiyopita
I'm not playing bad card ila Liverpool hawezi uchukua ubingwa wa EPL

Ukizingatia kikosi cha Liverpool ni injury prun kwa 92%

Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha Flamingo na izo timu ngumu anazokutana nazo,,,Mechi ya Flamingo Liverpool walizidiwa siyo wachezaji kuchoka,,,Club za Brazil,,Argentina ukanda wa America kule mpira wanaucheza mwingi Ila tu hawana promo. Ubingwa wakiupoteza ni uzembe wao siyo wachezaji kuchoka Mana Wana kikosi kipana.
 
Unamaanisha ligi ya Brazil ni bora kuliko za ulaya top 5?
Tofautisha Flamingo na izo timu ngumu anazokutana nazo,,,Mechi ya Flamingo Liverpool walizidiwa siyo wachezaji kuchoka,,,Club za Brazil,,Argentina ukanda wa America kule mpira wanaucheza mwingi Ila tu hawana promo. Ubingwa wakiupoteza ni uzembe wao siyo wachezaji kuchoka Mana Wana kikosi kipana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
And the rest will be history

In my opinions EPL champion this season is either Manchester city or Leicester city

Liverpool INA mechi ngumu sita mfululizo

KatikA mechi hizo sita atapoteza tatu na kushinda mbili na sare moja

Atapiteza points kumi na moja ndani ya mechi sita
Hii itamtoa kwenye mbio za ubingwa
Niliangalia mechi ya Liverpool na flamingo ukweli ni kwamba wachezaji wa Liverpool wanechoka sana hawana tena pumzi hasa keyplayers

Hawana tena Yale makali ya msimu ukiyopita
I'm not playing bad card ila Liverpool hawezi uchukua ubingwa wa EPL

Ukizingatia kikosi cha Liverpool ni injury prun kwa 92%

Sent using Jamii Forums mobile app
Amina ila ngumu sana. Tatizo ni mkimbizaji anajikwaa kwaa.
 
Msimu huu kikosi kimechoka

Sent using Jamii Forums mobile app

Umejuaje kama kikosi kimechoka? Maana ajapoteza hata mechi saizi.kama wamechoka kwenye mechi naflamingo mbona hajafungwa? .kama unajua mpira mechi na flamingo ilikuwa tosha kuwapa ubingwa Liverpool maana kwa ule mpira hakuna timu ya kumfunga Liverpool kwa sasa hapo epl.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
And the rest will be history

In my opinions EPL champion this season is either Manchester city or Leicester city

Liverpool INA mechi ngumu sita mfululizo

KatikA mechi hizo sita atapoteza tatu na kushinda mbili na sare moja

Atapiteza points kumi na moja ndani ya mechi sita
Hii itamtoa kwenye mbio za ubingwa
Niliangalia mechi ya Liverpool na flamingo ukweli ni kwamba wachezaji wa Liverpool wanechoka sana hawana tena pumzi hasa keyplayers

Hawana tena Yale makali ya msimu ukiyopita
I'm not playing bad card ila Liverpool hawezi uchukua ubingwa wa EPL

Ukizingatia kikosi cha Liverpool ni injury prun kwa 92%

Sent using Jamii Forums mobile app
Inakuwaje liver apoteze points 11 halafu atoke kwenye mbio za ubingwa?
 
Wewe utakua ni shafii dauda au edo kumwembe?🤣🤣
 
Msimu uliopita alikutana na mechi saba ngumu na hakupoteza hata moja so keep on dreaming.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasahau haraka hawa.
Tusubiri masaa machache tuanze kuona utabiri wake.

Mimi naamini hata Liverpool ikipoteza mechi yake na Leicester City tarehe 26 December 2019 bado ana nafasi ya kuwa bingwa.
Nawaona hao Manchester City na Leicester City wakipoteza pointi kadhaa kabla ya ligi kuisha.
 
And the rest will be history

In my opinions EPL champion this season is either Manchester city or Leicester city

Liverpool INA mechi ngumu sita mfululizo

KatikA mechi hizo sita atapoteza tatu na kushinda mbili na sare moja

Atapiteza points kumi na moja ndani ya mechi sita
Hii itamtoa kwenye mbio za ubingwa
Niliangalia mechi ya Liverpool na flamingo ukweli ni kwamba wachezaji wa Liverpool wanechoka sana hawana tena pumzi hasa keyplayers

Hawana tena Yale makali ya msimu ukiyopita
I'm not playing bad card ila Liverpool hawezi uchukua ubingwa wa EPL

Ukizingatia kikosi cha Liverpool ni injury prun kwa 92%

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Kuchagizia tu ni kua Kila Liverpool ilipokua ikiongoza Ligi mpaka Xmass basi mwishowe iliishia kua ya pili .
1577341196357.png
 
Back
Top Bottom