dong yi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 5,906
- 8,243
sijui alijuaje huyu mwenzetuWachezaji wa liver wamechoka hasa key players. Jaman vipo vingi vya kuchambua usilazimishe mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui alijuaje huyu mwenzetuWachezaji wa liver wamechoka hasa key players. Jaman vipo vingi vya kuchambua usilazimishe mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Word.Haina haja ya kumuita mama, sijui atajifungua kwa uchungu, na mapovuu meengi, hili ni soka, soka ni burudani, na tambo za mashabiki kama hawa ndio zinafanya burudani inakolea. Haina haja ya matusi, yeye hakutukana kwa nini wewe umtukane?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kombe tayarila liverpool maana wapinzani wanazingua sana ngoja niwe shabiki wa liver
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwingine huyuliverpool pamoja na kuongoza point nyingi hawachukui ubingwa, MAN CITY bingwa.
Mwengine huyuu.liverpool pamoja na kuongoza point nyingi hawachukui ubingwa, MAN CITY bingwa.
Liver itauwa wengi mwaka huu maana kawa kama nyegere . Simpendi Ronaldo lakini nifanyeje,?aliwahi kuandika Eddo kumwembe.Mwingine huyu
Mwaka huu haki ya nani watakufa kwa kihoro! Kila mechi iliyombele yetu lazima mtu agongwe! Manure mwenyewe anakuja machinjioni sasa anaponaje? Chealsick naye vivyo hivyo sasa anaponaje?Mwingine huyu
Kakalia mashine ya mbwa mwitu.....kwa hali hii amuwezee wapi liva Gudiola hadi anataka kutoa chozi WOLVES 3 CITY 2liverpool pamoja na kuongoza point nyingi hawachukui ubingwa, MAN CITY bingwa.
Weee utajificha nakwambiaMwaka huu haki ya nani watakufa kwa kihoro! Kila mechi iliyombele yetu lazima mtu agongwe! Manure mwenyewe anakuja machinjioni sasa anaponaje? Chealsick naye vivyo hivyo sasa anaponaje?
Kashamaliza kutoa point 6 kwa mbwa mwituu...liverpool pamoja na kuongoza point nyingi hawachukui ubingwa, MAN CITY bingwa.
Kashamaliza kutoa point 6 kwa mbwa mwituu...
Saa kumi na moja na nusu alfajiri...
NAKUSUBIRI UAMKE.
#YNWA
Sent using Jamii Forums mobile app
We Boya rudi ulale!
Matusi si mazuri na sijakutukana.Hapa tunabishana ushabiki ujue.We Boya rudi ulale!
Hata mimi sijakutukana mkuu wangu ni utani tu!
Vipi ndugu mbona umekua kimya sana?And the rest will be history
In my opinions EPL champion this season is either Manchester city or Leicester city
Liverpool INA mechi ngumu sita mfululizo
KatikA mechi hizo sita atapoteza tatu na kushinda mbili na sare moja
Atapiteza points kumi na moja ndani ya mechi sita
Hii itamtoa kwenye mbio za ubingwa
Niliangalia mechi ya Liverpool na flamingo ukweli ni kwamba wachezaji wa Liverpool wanechoka sana hawana tena pumzi hasa keyplayers
Hawana tena Yale makali ya msimu ukiyopita
I'm not playing bad card ila Liverpool hawezi uchukua ubingwa wa EPL
Ukizingatia kikosi cha Liverpool ni injury prun kwa 92%
Sent using Jamii Forums mobile app
baba ako alipaswa kutumia kingaSi unaona!!
Nilikueleza kuwa hilo neno sio tusi, uoga wako tu wa kulitumia.
Mama a.k.o!!