Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,512
- 5,848
Mleta uzi njo uku ujibu mashtaka 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
In your opinions. kibongo bongo kila mtu ni mtabiri sababu asilimia kubwa watu wanapenda kutabiriwa.And the rest will be history
In my opinions EPL champion this season is either Manchester city or Leicester city
Liverpool INA mechi ngumu sita mfululizo
KatikA mechi hizo sita atapoteza tatu na kushinda mbili na sare moja
Atapiteza points kumi na moja ndani ya mechi sita
Hii itamtoa kwenye mbio za ubingwa
Niliangalia mechi ya Liverpool na flamingo ukweli ni kwamba wachezaji wa Liverpool wanechoka sana hawana tena pumzi hasa keyplayers
Hawana tena Yale makali ya msimu ukiyopita
I'm not playing bad card ila Liverpool hawezi uchukua ubingwa wa EPL
Ukizingatia kikosi cha Liverpool ni injury prun kwa 92%
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo boya ukute kubet kwenyewe lilimbetia Liverpool kuwa anashinda!Huyu Boya bado hajachomoza makalio yake hapa?
Tangu Jana SAA 12:15 hajatia mguu hapa JF, labda anatumia ID nyingine! Yuko anaugulia maumivu!Vipi umeshazinduka? Au bado umezimia?
Kama umezinduka ngoja niwaite Firmino na Trent Alexander uzimie tena!
Wivu wako kwa Liverpool utakonda bure! Hao ni mabingwa wa dunia!
Sent using Jamii Forums mobile app
4G siyo mchezo mkuu!Vipi umeshazinduka? Au bado umezimia?
Kama umezinduka ngoja niwaite Firmino na Trent Alexander uzimie tena!
Wivu wako kwa Liverpool utakonda bure! Hao ni mabingwa wa dunia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiloooooooooliverpool pamoja na kuongoza point nyingi hawachukui ubingwa, MAN CITY bingwa.
Umekosa moja ya miongoni mwa mechi bora za liverpool kwa msimu huu. Ilikua burudani ya kukata na shoka.Hahaha mleta uzi kakimbia. Yaani usiku nimeota tumeshinda 5-0
Heh! Naamka nacheki matokeo tumeuwa 4. Mtaipenda tu!
Moto hauzimiki huu hahaha hii ndiyo Liverpool.
Kwa hio hizo points watanyang'anywa na na FA au...?!!liverpool pamoja na kuongoza point nyingi hawachukui ubingwa, MAN CITY bingwa.
Hivi we boya unajua ni t0fauti ya pwenti ngapi? Unajua unamaanisha Liverpool apoteze mechi ngapi wakati huo huo Man-shit akishinda kama hizo? BOYA KWELI KWELI!liverpool pamoja na kuongoza point nyingi hawachukui ubingwa, MAN CITY bingwa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nazani raia watakuwa wanamshambulia kwa mawe kwa utapeli aliofanyaHuyu mpiga ramli ana hali gani huko alipo na tunguri zake!
liverpool pamoja na kuongoza point nyingi hawachukui ubingwa, MAN CITY bingwa.
Ayaaa dah usiniambie! Nitaiangalia marudioUmekosa moja ya miongoni mwa mechi bora za liverpool kwa msimu huu. Ilikua burudani ya kukata na shoka.
Sent using Jamii Forums mobile app