Kuanguka kwa Liverpool kutaanzia boxing day

Kuanguka kwa Liverpool kutaanzia boxing day

And the rest will be history

In my opinions EPL champion this season is either Manchester city or Leicester city

Liverpool INA mechi ngumu sita mfululizo

KatikA mechi hizo sita atapoteza tatu na kushinda mbili na sare moja

Atapiteza points kumi na moja ndani ya mechi sita
Hii itamtoa kwenye mbio za ubingwa
Niliangalia mechi ya Liverpool na flamingo ukweli ni kwamba wachezaji wa Liverpool wanechoka sana hawana tena pumzi hasa keyplayers

Hawana tena Yale makali ya msimu ukiyopita
I'm not playing bad card ila Liverpool hawezi uchukua ubingwa wa EPL

Ukizingatia kikosi cha Liverpool ni injury prun kwa 92%

Sent using Jamii Forums mobile app
In your opinions. kibongo bongo kila mtu ni mtabiri sababu asilimia kubwa watu wanapenda kutabiriwa.
 
Vipi umeshazinduka? Au bado umezimia?
Kama umezinduka ngoja niwaite Firmino na Trent Alexander uzimie tena!
Wivu wako kwa Liverpool utakonda bure! Hao ni mabingwa wa dunia!

Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu Jana SAA 12:15 hajatia mguu hapa JF, labda anatumia ID nyingine! Yuko anaugulia maumivu!
 
Unaweza kuta huyu mtaani kwao anaaminika sana kwa utabariri, na yeye ndio mchambuzimahili. Hata singeri nayo mchezo tunaweza anza kuwachambua Man Fongo na Mzee wa Bwax, hayo mengine tuwaachie wataalam
 
Kuna ule wa yule bwege mwingine alitabiri kwamba liverpool hawezi kumfunga Flamengo, niliona Kuna mtu alioa ushauri ya kwamba kuna watu wanapewa kubaki kuwa watabili wa mvua tu, nashangaa sijui huyu boya katoka wapi tena na uchuzi wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom