Kuanguka kwa Liverpool kutaanzia boxing day

Mwingine huyu
Mwaka huu haki ya nani watakufa kwa kihoro! Kila mechi iliyombele yetu lazima mtu agongwe! Manure mwenyewe anakuja machinjioni sasa anaponaje? Chealsick naye vivyo hivyo sasa anaponaje?
 
Mashabiki wa Manure wawe waungwana kama huyu mwenzao wamsikilize anavyokiri kuhusu Liverpool na kuhusu TAA!

 
Vipi ndugu mbona umekua kimya sana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…