moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Vipi, boxing day tumeshaipita, unasemaje kuhusu utabiri wako?
Sent using Jamii Forums mobile app
And the rest will be history
In my opinions EPL champion this season is either Manchester city or Leicester city
Liverpool INA mechi ngumu sita mfululizo
KatikA mechi hizo sita atapoteza tatu na kushinda mbili na sare moja
Atapiteza points kumi na moja ndani ya mechi sita
Hii itamtoa kwenye mbio za ubingwa
Niliangalia mechi ya Liverpool na flamingo ukweli ni kwamba wachezaji wa Liverpool wanechoka sana hawana tena pumzi hasa keyplayers
Hawana tena Yale makali ya msimu ukiyopita
I'm not playing bad card ila Liverpool hawezi uchukua ubingwa wa EPL
Ukizingatia kikosi cha Liverpool ni injury prun kwa 92%
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app