Kuanguka kwa uchumi: Serikali inakosea wapi?

Kuanguka kwa uchumi: Serikali inakosea wapi?

Uchumi kuzorota maana yake ni uzalishaji kushuka na huduma kukosekana, na watu kupunguzwa kazi, viwanda na ofisi nyingi kufungwa

Vitu kupanda bei haimaanishi uchumi kushuka, kama ni hivyo basi uchumi wa nchi haujawahi kupanda maana bei ya bidhaa miaka ya 60,70,80,90, ilikuwa chini kuliko ya sasa
Kupanda kwa Bei maana yake Shillingi imeshuka thamani, hivyo watu kupata hasara katika hela zao.
 
Pia alipunguza sana nafasi za teuzi na kupelekea hadi kufikia u kurugenzi kufanyiwa usaili...

Alikuwa na watu ambao kweli walikuwa na capacity ya kutumia weledi kwenye nafasi zao...

Kosa lake kubwa ilikuwa kutomsikiliza Mwl JKN kuhusu privatization...Angefuata mfano wa raia kupewa kipaumbele na kupewa ujuzi wa kutengeneza mitaji, leo hii nchi yetu ingekuwa pahala pa zuri zaidi...Hasa kama waliofuata baada yake wangeendeleza yale aliyoayaanzisha yeye...
Hili la kuuza mashirika ya umma, alikuja litambua na kusema serikali ilikosea kwa kutoweka watchdog .
 
1. Uchumi wa Tanzania umeendelea kuzorota siku hadi siku. Na sasa maisha ya wananchi wengi yako taabani.

2. Ni nini serikali imekosea hadi hali ya uchumi wetu kuwa taabani kuliko wakati wowote tokea uhuru.

3. Wakati wa mwalimu Nyerere vitu vilikosekana laki bei haikupanda siyo kwa bidhaa hata huduma pia.

4. Raisi Mkapa alituambia tufunge mikanda akuze uchumi. Na Wote ni mashahidi baada ya muda uchumi ulikua kweli na bei za bidhaa zote zilishuka.

5. Serikali ya Mkapa itakumbukwa kwa kuondoa kodi ya kichwa, tozo za mikokoteni na baiskeli, kufuta leseni za biashara. Ujenzi wa barabara za lami, daraja la mkapa, bunge, mkapa stadium, koboresha mishahara ya wafanyakazi nk.

6. Ni nini kimewakwamisha viongozi wa serikali ya awamu ya sita? Twafa
Ni waziri wa pesa mbovu kuliko wote toka uhuru.
Waziri anaefikiri kukusanya kodi kubwa na tozo ndio kukuza uchumi.
Ukweli wa upandishwaji wa kodi na tozo ndicho kitu kimegeuka shubiri kwa wananchi wa kawaida na wa chini maana wao ndio waathirika wakubwa. Matajiri wafanya biashara ni mawakala tu wa kupora fedha za kodi kutoka kwa wananchi na kuilipa serikali.
Halafu pia awamu ya sita inakopa fedha nyingi sana inayoishia kwenye matumizi ya kawaida ambapo ni pigo kwa ukuaji wa uchumi.
 
Ni waziri wa pesa mbovu kuliko wote toka uhuru.
Waziri anaefikiri kukusanya kodi kubwa na tozo ndio kukuza uchumi.
Ukweli wa upandishwaji wa kodi na tozo ndicho kitu kimegeuka shubiri kwa wananchi wa kawaida na wa chini maana wao ndio waathirika wakubwa. Matajiri wafanya biashara ni mawakala tu wa kupora fedha za kodi kutoka kwa wananchi na kuilipa serikali.
Halafu pia awamu ya sita inakopa fedha nyingi sana inayoishia kwenye matumizi ya kawaida ambapo ni pigo kwa ukuaji wa uchumi.
Huyo waziri hagusiki. Huenda ndiyo mchawi wa Rais
 
1. Uchumi wa Tanzania umeendelea kuzorota siku hadi siku. Na sasa maisha ya wananchi wengi yako taabani.

2. Ni nini serikali imekosea hadi hali ya uchumi wetu kuwa taabani kuliko wakati wowote tokea uhuru.

3. Wakati wa mwalimu Nyerere vitu vilikosekana laki bei haikupanda siyo kwa bidhaa hata huduma pia.

4. Raisi Mkapa alituambia tufunge mikanda akuze uchumi. Na Wote ni mashahidi baada ya muda uchumi ulikua kweli na bei za bidhaa zote zilishuka.

5. Serikali ya Mkapa itakumbukwa kwa kuondoa kodi ya kichwa, tozo za mikokoteni na baiskeli, kufuta leseni za biashara. Ujenzi wa barabara za lami, daraja la mkapa, bunge, mkapa stadium, koboresha mishahara ya wafanyakazi nk.

6. Ni nini kimewakwamisha viongozi wa serikali ya awamu ya sita? Twafa

Uchumi upi huo unazorota …?
 
1. Uchumi wa Tanzania umeendelea kuzorota siku hadi siku. Na sasa maisha ya wananchi wengi yako taabani.

2. Ni nini serikali imekosea hadi hali ya uchumi wetu kuwa taabani kuliko wakati wowote tokea uhuru.

3. Wakati wa mwalimu Nyerere vitu vilikosekana laki bei haikupanda siyo kwa bidhaa hata huduma pia.

4. Raisi Mkapa alituambia tufunge mikanda akuze uchumi. Na Wote ni mashahidi baada ya muda uchumi ulikua kweli na bei za bidhaa zote zilishuka.

5. Serikali ya Mkapa itakumbukwa kwa kuondoa kodi ya kichwa, tozo za mikokoteni na baiskeli, kufuta leseni za biashara. Ujenzi wa barabara za lami, daraja la mkapa, bunge, mkapa stadium, koboresha mishahara ya wafanyakazi nk.

6. Ni nini kimewakwamisha viongozi wa serikali ya awamu ya sita? Twafa
Wewe ni mjinga na hujui hata unachoongea 👇
Screenshot_20221208-223213.png
Screenshot_20221208-223154.png
20221219_101353.jpg
Screenshot_20221208-221653.png
20221219_100915.jpg
20221219_100833.jpg
 
Uchumi hatuwezi kuwa stable Kama tunakopa kwa ajili ya kujenga madarasa na nyumba za walimu ambavyo havizalishi
 
Wavivu lazima walalamike tu ngoja tuone maana waliolalamika kwa magufuli ndio haohao wanalalamika kwa Samia
 
Labda tufanye yafuatayo
1. Kuzuia mfumuko wa bei ya vyakula kwa kuwapata elimu wakulima madhara ya uuzaji wa mahindi na mchele nje

2. kudhibiti maduka ya kubadilishia fedha za kigeni maana wameanza tena kale kamchezo kao
3.Kupunguza ujenzi wa miradi mikubwa au kujenga kwa awamu

4.Serikali iweke ruzuku kwenye mafuta ya kupikia na sukari ili bei ishuke sambamba na kurekebisha mfumo wa kodi ya mapato kwenye sukari na mafuta na kodi hiyo iwe rejesho mbadala kwenye madini na uvuvi wa kibiashara na hatifungane aidha pale BOT kwasasa labda Gavana Tutuba afanye yafuatayo ...
Ushauri wa kipumbavu
 
Ni kweli mimi ni mjinga. Lakini najua taarifa ya WB kwamba serikali imeweza kudhibiti mfumko wa bei ya bidhaa ni uongo.
Kuhusu Tanzani kupata mapato makubwa ya kuuza dhahabu, Tanzanite etc nayo si sahihi. Kwa kuwa serikali inaishia kuambulia royalities na export tax basi
 
Ni kweli mimi ni mjinga. Lakini najua taarifa ya WB kwamba serikali imeweza kudhibiti mfumko wa bei ya bidhaa ni uongo.
Kuhusu Tanzani kupata mapato makubwa ya kuuza dhahabu, Tanzanite etc nayo si sahihi. Kwa kuwa serikali inaishia kuambulia royalities na export tax basi
Unaposema unashuka bila kuweka data sijui tutakuelewa vipi tuambie wakati wa Magufuli ulikuwa% ngapi na sasa upo % ngapi?
 
Wavivu lazima walalamike tu ngoja tuone maana waliolalamika kwa magufuli ndio haohao wanalalamika kwa Samia
Binadamu hatuwezi kuwa na maono au uwezo sawa. Hili halina ubishi. Na pia silalamiki kwa sababu mimi ni mvivu. Hapana. Nalalamika kwa sababu naiona na kuiishi shida tuipatao sisi masikini. Wanasema mwenye nacho (wewe)hamjui mwenye shida.
 
1. Uchumi wa Tanzania umeendelea kuzorota siku hadi siku. Na sasa maisha ya wananchi wengi yako taabani.

2. Ni nini serikali imekosea hadi hali ya uchumi wetu kuwa taabani kuliko wakati wowote tokea uhuru.

3. Wakati wa mwalimu Nyerere vitu vilikosekana laki bei haikupanda siyo kwa bidhaa hata huduma pia.

4. Raisi Mkapa alituambia tufunge mikanda akuze uchumi. Na Wote ni mashahidi baada ya muda uchumi ulikua kweli na bei za bidhaa zote zilishuka.

5. Serikali ya Mkapa itakumbukwa kwa kuondoa kodi ya kichwa, tozo za mikokoteni na baiskeli, kufuta leseni za biashara. Ujenzi wa barabara za lami, daraja la mkapa, bunge, mkapa stadium, koboresha mishahara ya wafanyakazi nk.

6. Ni nini kimewakwamisha viongozi wa serikali ya awamu ya sita? Twafa
CCM MBELE KWA MBELE
 
1. Uchumi wa Tanzania umeendelea kuzorota siku hadi siku. Na sasa maisha ya wananchi wengi yako taabani.

2. Ni nini serikali imekosea hadi hali ya uchumi wetu kuwa taabani kuliko wakati wowote tokea uhuru.

3. Wakati wa mwalimu Nyerere vitu vilikosekana laki bei haikupanda siyo kwa bidhaa hata huduma pia.

4. Raisi Mkapa alituambia tufunge mikanda akuze uchumi. Na Wote ni mashahidi baada ya muda uchumi ulikua kweli na bei za bidhaa zote zilishuka.

5. Serikali ya Mkapa itakumbukwa kwa kuondoa kodi ya kichwa, tozo za mikokoteni na baiskeli, kufuta leseni za biashara. Ujenzi wa barabara za lami, daraja la mkapa, bunge, mkapa stadium, koboresha mishahara ya wafanyakazi nk.

6. Ni nini kimewakwamisha viongozi wa serikali ya awamu ya sita? Twafa
Hapatawahi kutokea Rais kama Mkapa Tanzania,wengi wanawaza kuwafilisi Watanzania hasa hasa aliyekuwa Rais wa awamu ya Tano kwa kujidanganya kufilisi matajiri waliokuwepo na kujitengenezea matajiri wake kama Makonda,Mnyeti,Gambo na Sabaya.
 
1. Uchumi wa Tanzania umeendelea kuzorota siku hadi siku. Na sasa maisha ya wananchi wengi yako taabani.

2. Ni nini serikali imekosea hadi hali ya uchumi wetu kuwa taabani kuliko wakati wowote tokea uhuru.

3. Wakati wa mwalimu Nyerere vitu vilikosekana laki bei haikupanda siyo kwa bidhaa hata huduma pia.

4. Raisi Mkapa alituambia tufunge mikanda akuze uchumi. Na Wote ni mashahidi baada ya muda uchumi ulikua kweli na bei za bidhaa zote zilishuka.

5. Serikali ya Mkapa itakumbukwa kwa kuondoa kodi ya kichwa, tozo za mikokoteni na baiskeli, kufuta leseni za biashara. Ujenzi wa barabara za lami, daraja la mkapa, bunge, mkapa stadium, koboresha mishahara ya wafanyakazi nk.

6. Ni nini kimewakwamisha viongozi wa serikali ya awamu ya sita? Twafa
Chanzo cha yote ni chaguzi za 2019 na 2020.
 
Ni kweli mimi ni mjinga. Lakini najua taarifa ya WB kwamba serikali imeweza kudhibiti mfumko wa bei ya bidhaa ni uongo.
Kuhusu Tanzani kupata mapato makubwa ya kuuza dhahabu, Tanzanite etc nayo si sahihi. Kwa kuwa serikali inaishia kuambulia royalities na export tax basi
Ndio maana nakwambia wewe ni mjinga hakuna unachojua..

Kama huamini taarifa kwani huoni miradi inasonga au Kuna mradi umesimama?
 
Back
Top Bottom