Kuanguka kwa uchumi: Serikali inakosea wapi?

Kuanguka kwa uchumi: Serikali inakosea wapi?

Unaposema unashuka bila kuweka data sijui tutakuelewa vipi tuambie wakati wa Magufuli ulikuwa% ngapi na sasa upo % ngapi?
Data za uchumi wakati wa jiwe zilibishaniwa siyo tu na WB bali na IMF kwamba hazikuwa sahihi.
Lakini data za uchumi hata ziwe nzuri kiasi gani hazina maana kama hali za maisha ya wananchi zinaendelea kuwa mbaya kila siku.
 
1. Uchumi wa Tanzania umeendelea kuzorota siku hadi siku. Na sasa maisha ya wananchi wengi yako taabani.

2. Ni nini serikali imekosea hadi hali ya uchumi wetu kuwa taabani kuliko wakati wowote tokea uhuru.

3. Wakati wa mwalimu Nyerere vitu vilikosekana laki bei haikupanda siyo kwa bidhaa hata huduma pia.

4. Raisi Mkapa alituambia tufunge mikanda akuze uchumi. Na Wote ni mashahidi baada ya muda uchumi ulikua kweli na bei za bidhaa zote zilishuka.

5. Serikali ya Mkapa itakumbukwa kwa kuondoa kodi ya kichwa, tozo za mikokoteni na baiskeli, kufuta leseni za biashara. Ujenzi wa barabara za lami, daraja la mkapa, bunge, mkapa stadium, koboresha mishahara ya wafanyakazi nk.

6. Ni nini kimewakwamisha viongozi wa serikali ya awamu ya sita? Twafa
Hakuna taifa uchumi ulishakuwa Kwa Kodi kubwa kama Tanzania kodi kubwa na kutegemea misaada usitegemee uchumi kukua Kodi ndogo kwa wawekezaji ndiyo huchochea uchumi ila Kwa hizi rundo za Kodi za Tanzania usitegemee lolote
 
Hakuna taifa uchumi ulishakuwa Kwa Kodi kubwa kama Tanzania kodi kubwa na kutegemea misaada usitegemee uchumi kukua Kodi ndogo kwa wawekezaji ndiyo huchochea uchumi ila Kwa hizi rundo za Kodi za Tanzania usitegemee lolote
Kuna hili la upigaji wa pesa za umma. Hakuna sehemu iwe idara, wizara, halmashauri, etc ambako hakuna upigaji. Na serikali inaangalia tu bila kuchukua hatua.
 
Uchumi kuzorota maana yake ni uzalishaji kushuka na huduma kukosekana, na watu kupunguzwa kazi, viwanda na ofisi nyingi kufungwa

Vitu kupanda bei haimaanishi uchumi kushuka, kama ni hivyo basi uchumi wa nchi haujawahi kupanda maana bei ya bidhaa miaka ya 60,70,80,90, ilikuwa chini kuliko ya sasa
Ni kweli mkuu, mwaka 1962 Debe la mahindi tulinunua senti Sabini (70cent)
 
Labda tufanye yafuatayo
1. Kuzuia mfumuko wa bei ya vyakula kwa kuwapata elimu wakulima madhara ya uuzaji wa mahindi na mchele nje

2. kudhibiti maduka ya kubadilishia fedha za kigeni maana wameanza tena kale kamchezo kao
3.Kupunguza ujenzi wa miradi mikubwa au kujenga kwa awamu

4.Serikali iweke ruzuku kwenye mafuta ya kupikia na sukari ili bei ishuke sambamba na kurekebisha mfumo wa kodi ya mapato kwenye sukari na mafuta na kodi hiyo iwe rejesho mbadala kwenye madini na uvuvi wa kibiashara na hatifungane aidha pale BOT kwasasa labda Gavana Tutuba afanye yafuatayo ...

Yaani mkulima aache kuuza mahindi nje ili asaidie nyie kupata mlo wa bei rahisi? Kwahiyo mkulima hataki faida, bali yeye ni daraja la kuwapunguzia ugumu wa maisha?
 
Yaani mkulima aache kuuza mahindi nje ili asaidie nyie kupata mlo wa bei rahisi? Kwahiyo mkulima hataki faida, bali yeye ni daraja la kuwapunguzia ugumu wa maisha?
Wanampangia mtu namna ya kuuza mazao utafikiri wao hawana mikono.
 
Wewe ndio mjinga,sababu Export ya Tanzania kwenda Kenya ni Raw Materials ikiwemo chakula kwa 85%.

Bei zimepanda,hao World Bank hawajui huku site tunaishi vipi!

Sababu wao wanatumia Data za NBS, ambazo wapishi ndio hao hao kina Mwigulu Nchemba.

Unapomtukana mtu kwamba mjinga wakati ametoa tathmini yake ya kueleweka,wewe ndie unakuwa mjinga kwa kuishi na Copy & Paste.
 
Wewe ndio mjinga,sababu Export ya Tanzania kwenda Kenya ni Raw Materials ikiwemo chakula kwa 85%.

Bei zimepanda,hao World Bank hawajui huku site tunaishi vipi!

Sababu wao wanatumia Data za NBS, ambazo wapishi ndio hao hao kina Mwigulu Nchemba.

Unapomtukana mtu kwamba mjinga wakati ametoa tathmini yake ya kueleweka,wewe ndie unakuwa mjinga kwa kuishi na Copy & Paste.
Mjinga mingine huyu
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu vitu havijawahi kushuka bei awamu yote ya tano.
Tenganisha facts na personalities...Unaweza ukamchukia mtu aliyekuwa ananasibishwa na hayo lakini figures huwa hazidanganyi...it goes with a saying, mchawi mchukie haki yake mpe
 
Tenganisha facts na personalities...Unaweza ukamchukia mtu aliyekuwa ananasibishwa na hayo lakini figures huwa hazidanganyi...it goes with a saying, mchawi mchukie haki yake mpe
Inapotokea Taifa likawa na asilimia kubwa ya watu kusifia sifia viongozi jua taifa hilo limekufa.Hata wewe ukiwa na marafiki wengi kuliko maadui ujue hufai,au ukiwa na maadui wengi kuliko marafiki ujue hufai,sifa kuu kwa mwanadamu upendwe na baadhi ya watu na uchukiwe na baadhi ya watu huo ndiyo ubinadamu.
 
Inapotokea Taifa likawa na asilimia kubwa ya watu kusifia sifia viongozi jua taifa hilo limekufa.Hata wewe ukiwa na marafiki wengi kuliko maadui ujue hufai,au ukiwa na maadui wengi kuliko marafiki ujue hufai,sifa kuu kwa mwanadamu upendwe na baadhi ya watu na uchukiwe na baadhi ya watu huo ndiyo ubinadamu.
Kwahiyo chuki na mapenzi hayo yanahusiana vipi na figures za inflation ya nchi? Si ndiyo ninyi hamtaki tujenge mifumo imara badala ya kuiona nchi ndani ya mtu tuione ndani ya taasisi zake?
 
Kwahiyo chuki na mapenzi hayo yanahusiana vipi na figures za inflation ya nchi? Si ndiyo ninyi hamtaki tujenge mifumo imara badala ya kuiona nchi ndani ya mtu tuione ndani ya taasisi zake?
Mifumo ya kufanya Chato kuwa Mkoa ni mifumo??Mifumo ya kufanya Chato iwe nchi ni mifumo???Acheni upumbavu .
 
Back
Top Bottom