Kuanguka kwa utawala wa Assad kumeonyesha udhaifu mkubwa sana kwa Iran na Urusi

Kuanguka kwa utawala wa Assad kumeonyesha udhaifu mkubwa sana kwa Iran na Urusi

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Utawala wa bashar al assad umeanguka
Utawala wa assad ungetakiwa uanguke miaka zaidi ya 10 iliyopita sema kilichokua kinamsaidia ni msaada wa russia na iran ulimfanya kuweza kudumu kwa mda wote huo

Syria wengi ni wa-sunni na ndo wanaounda vikundi vingi vya waasi hata hawa waliochukua nchi ni wa-sunni mda wote kuanzia mwaka 2011 assad aljikuta anapigana na wananchi wake ambao ni wa-sunni huku mataifa ya kisunni yakimtenga na kusaidia vikundi vya waasi unaweza ona ugumu aliokua anapitia assad

Madhara ya mashambulizi ya iran kutoka israel ni makubwa sana japokua iran alitumia propaganda kubwa sana ku-downplay madhara na kupindisha ukweli ila kamwe huwezi pingana na ukweli in long run
Madhara ya mashambulizi ni makubwa sana na yameiweka iran kwenye wakati mgumu sana kijeshi sababu kambi zake za kijeshi zimeharibiwa sana na israel

Iran kuuliwa kwa wale magenerali wa kijeshi na israeli kumuwewayumbisha sana sababu majeneral waliopo hawana uzoefu waliokuwa nao wale waliokufa

Vikwazo alivyowekewa urusi vimeiweka urusi kwenye wakati mgumu sana tunakumbuka utawala joe biden ameiwekea urusi vikwanzo vingi sana na mda huo huo akawa anapigana na ukraine vita ambavyo urussi ali-miscalculate vibaya mno

Ukichukua vikwazo vya kiuchumi vya russia na vita ya ukraine vinamuweka urusi kwenye wakati mgumu sana plus putin kumuua kiongozi wa wagner lile lilikua kosa kubwa sana sababu urusi anapwaya sana anakosa watu ambao ni mastermind ambao ni wachache
 
Nadhani wasiojua wataelewa kitu hapa.

Maana kuna wasomi wa Islamic University of Propaganda wanaosema Eti Iran na Russia zilimshauri Assadi ku surrender Ili aepushe mauaji ya vita vya wenyewe wa wenyewe!!
 
Kila mtu jf ni mchambuzi.
 
Leo hii Russia na Iran wasiombe vita viwakute na wajuaji watachakazwa vibaya sana kwa sababu wote wamekuwa ni the spent force.
 
Kila anayepigana vita kalegea. Russia, Ukraine, Iran, Syria aliyeondoka, Israel, hamas, Hezbollah. Viwango ni tofauti tu lakini kila MTU analia kivyake
 
Utawala wa bashar al assad umeanguka
Utawala wa assad ungetakiwa uanguke miaka zaidi ya 10 iliyopita sema kilichokua kinamsaidia ni msaada wa russia na iran ulimfanya kuweza kudumu kwa mda wote huo

Syria wengi ni wa-sunni na ndo wanaounda vikundi vingi vya waasi hata hawa waliochukua nchi ni wa-sunni mda wote kuanzia mwaka 2011 assad aljikuta anapigana na wananchi wake ambao ni wa-sunni huku mataifa ya kisunni yakimtenga na kusaidia vikundi vya waasi unaweza ona ugumu aliokua anapitia assad

Madhara ya mashambulizi ya iran kutoka israel ni makubwa sana japokua iran alitumia propaganda kubwa sana ku-downplay madhara na kupindisha ukweli ila kamwe huwezi pingana na ukweli in long run
Madhara ya mashambulizi ni makubwa sana na yameiweka iran kwenye wakati mgumu sana kijeshi sababu kambi zake za kijeshi zimeharibiwa sana na israel

Iran kuuliwa kwa wale magenerali wa kijeshi na israeli kumuwewayumbisha sana sababu majeneral waliopo hawana uzoefu waliokuwa nao wale waliokufa

Vikwazo alivyowekewa urusi vimeiweka urusi kwenye wakati mgumu sana tunakumbuka utawala joe biden ameiwekea urusi vikwanzo vingi sana na mda huo huo akawa anapigana na ukraine vita ambavyo urussi ali-miscalculate vibaya mno

Ukichukua vikwazo vya kiuchumi vya russia na vita ya ukraine vinamuweka urusi kwenye wakati mgumu sana plus putin kumuua kiongozi wa wagner lile lilikua kosa kubwa sana sababu urusi anapwaya sana anakosa watu ambao ni mastermind ambao ni wachache
Hata TRUMP ameona
1733738238855.jpeg
 
Leo hii Russia na Iran wasiombe vita viwakute na wajuaji watachakazwa vibaya sana kwa sababu wote wamekuwa ni the spent force.
Si useme tu NATO. Nani mwingine? China na India sio wapiganaji japo wako imara
 
Utawala wa bashar al assad umeanguka
Utawala wa assad ungetakiwa uanguke miaka zaidi ya 10 iliyopita sema kilichokua kinamsaidia ni msaada wa russia na iran ulimfanya kuweza kudumu kwa mda wote huo

Syria wengi ni wa-sunni na ndo wanaounda vikundi vingi vya waasi hata hawa waliochukua nchi ni wa-sunni mda wote kuanzia mwaka 2011 assad aljikuta anapigana na wananchi wake ambao ni wa-sunni huku mataifa ya kisunni yakimtenga na kusaidia vikundi vya waasi unaweza ona ugumu aliokua anapitia assad

Madhara ya mashambulizi ya iran kutoka israel ni makubwa sana japokua iran alitumia propaganda kubwa sana ku-downplay madhara na kupindisha ukweli ila kamwe huwezi pingana na ukweli in long run
Madhara ya mashambulizi ni makubwa sana na yameiweka iran kwenye wakati mgumu sana kijeshi sababu kambi zake za kijeshi zimeharibiwa sana na israel

Iran kuuliwa kwa wale magenerali wa kijeshi na israeli kumuwewayumbisha sana sababu majeneral waliopo hawana uzoefu waliokuwa nao wale waliokufa

Vikwazo alivyowekewa urusi vimeiweka urusi kwenye wakati mgumu sana tunakumbuka utawala joe biden ameiwekea urusi vikwanzo vingi sana na mda huo huo akawa anapigana na ukraine vita ambavyo urussi ali-miscalculate vibaya mno

Ukichukua vikwazo vya kiuchumi vya russia na vita ya ukraine vinamuweka urusi kwenye wakati mgumu sana plus putin kumuua kiongozi wa wagner lile lilikua kosa kubwa sana sababu urusi anapwaya sana anakosa watu ambao ni mastermind ambao ni wachache
Mkuu ww unataka nchi ipigane kwa niaba ya nchi nyingine umeona wapi jeshi lenyewe liligoma kupigana uantaka Russia na iran wakafanye kitu gan
 
Utawala wa bashar al assad umeanguka
Utawala wa assad ungetakiwa uanguke miaka zaidi ya 10 iliyopita sema kilichokua kinamsaidia ni msaada wa russia na iran ulimfanya kuweza kudumu kwa mda wote huo

Syria wengi ni wa-sunni na ndo wanaounda vikundi vingi vya waasi hata hawa waliochukua nchi ni wa-sunni mda wote kuanzia mwaka 2011 assad aljikuta anapigana na wananchi wake ambao ni wa-sunni huku mataifa ya kisunni yakimtenga na kusaidia vikundi vya waasi unaweza ona ugumu aliokua anapitia assad

Madhara ya mashambulizi ya iran kutoka israel ni makubwa sana japokua iran alitumia propaganda kubwa sana ku-downplay madhara na kupindisha ukweli ila kamwe huwezi pingana na ukweli in long run
Madhara ya mashambulizi ni makubwa sana na yameiweka iran kwenye wakati mgumu sana kijeshi sababu kambi zake za kijeshi zimeharibiwa sana na israel

Iran kuuliwa kwa wale magenerali wa kijeshi na israeli kumuwewayumbisha sana sababu majeneral waliopo hawana uzoefu waliokuwa nao wale waliokufa

Vikwazo alivyowekewa urusi vimeiweka urusi kwenye wakati mgumu sana tunakumbuka utawala joe biden ameiwekea urusi vikwanzo vingi sana na mda huo huo akawa anapigana na ukraine vita ambavyo urussi ali-miscalculate vibaya mno

Ukichukua vikwazo vya kiuchumi vya russia na vita ya ukraine vinamuweka urusi kwenye wakati mgumu sana plus putin kumuua kiongozi wa wagner lile lilikua kosa kubwa sana sababu urusi anapwaya sana anakosa watu ambao ni mastermind ambao ni wachache
Karirishweni hivyo hivyo nawamagharibi,the same was said to Saddam,the same was said to Gadafi the same was said to Aghanistan kote saizi hakukaliki,next is Syria kitanuka tu very soon
 
Karirishweni hivyo hivyo nawamagharibi,the same was said to Saddam,the same was said to Gadafi the same was said to Aghanistan kote saizi hakukaliki,next is Syria kitanuka tu very soon
Kukaririshwa kivip nawakati assad ameikimbilia urusi yeye na familia yake

Afganstan kuna amani nani alikudanganya hakuna amani

Uarabuni kuna vita kabla hata marekani haijapata uhuru watu wanapigana huu ni mwendelezo tu
 
— 🇮🇷/🇱🇧 A source close to the IRGC: 'There is no worry about Hezbollah's supply lines. Many different scenarios have alternative plans that we have prepared for in advance.'

@Middle_East_Spectator
 
Back
Top Bottom