Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
Tukumbuke Chenge ni Harvard product, na jinsi alivyoplan, yaani kutumia mtego wa bora tukose wote ili kumharibia sita imefaulu
1 Ndugu Kakaya Mrisho Kikwete - Mwenyekiti
2 Ndugu Pius Msekwa - Makamu Mwenyekiti (Bara)
3 Ndugu Amani Abeid Amani Karume - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)
4 Ndugu Yussuf R Makamba - Katibu Mkuu
5 Capt(mst) George Huruma Mkuchika - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6 Ndugu Salehe Ramadhan Ferouz - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7 Dr. Ali Mohamed Shein - Mjumbe
8 Ndugu Edward Ngoyai Lowassa - Mjumbe
9 Ndugu Shamsi Vuai Nahodha - Mjumbe
10 Alhaj Ali Hassan Mwinyi - Mjumbe
11 Ndugu Benjamin William Mkapa - Mjumbe
12 Dr. Salmin Amour - Mjumbe
13 Ndugu John Samwel Malecela - Mjumbe
14 Capt. (mst) John Zefania Chiligati
15 Ndugu Amos Gabriel Makala - Mjumbe
16 Ndugu Bernard Kamilius Membe - Mjumbe
17 Ndugu Kidawa Hamid Saleh - Mjumbe
18 Ndugu Samwel John Sitta - Mjumbe
19 Ndugu Pandu Ameir Kificho - Mjumbe
20 Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe
21 Ndugu Rostum Aziz - Mjumbe
22 Dr.Mohamed Gharib Bilal - Mjumbe
23 Ndugu Pindi Hazara Chana - Mjumbe
24 Ndugu Andrew Chenge - Mjumbe
25 Dr.Maua Abeid Daftari - Mjumbe
26 Ndugu Samia Suluhu Hassan - Mjumbe
27 Ndugu Mohamed Seif Khatib - Mjumbe
28 Ndugu Haji Omar Kheri - Mjumbe
29 Dr.Abdallah Omari Kigoda - Mjumbe
30 Ndugu Abdurahman Kinana - Mjumbe
31 Ndugu Anne Semamba Makinda - Mjumbe
32 Ndugu Fatuma Said Ali Mchumo - Mjumbe
33 Ndugu Zakia Hamdan Meghji - Mjumbe
34 Ndugu Omar Yussuf Mzee - Mjumbe
35 Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe
36 Ndugu Ali Ameir Mohamed - Mjumbe
37 Ndugu Yussuf Moh'd Yussuf - Mjumbe
QUOTE]
:tape:
kuna watu kama sitta watoke kwenye chama chetu yani hawapendi wizi na ufisadi? sasa tutatajirika vipi? sitta nenda chadema ndio wanamtazamo wako sisi ufisadi mwanzo mwisho , na wambie mwakyembe,kilango,sendeka. dawa yao inakujahisia kama hizi ni hatari kwa mustakabali wa nchi ni vyema tukazizika, kimsingi nafasi hizo haziogotwi, zinagombewa so i think ingekuwa jambo la msingi ukaenda kuchukua fomu uwe member wa CC ya CCM, kimsingi haijalishi anavaa kibaghalashia au la what TZ we need is them to deliver, tumewapa miaka mitano kutuongoza so let give them a time ili tuweze kuwapina na kuwachuja 2015. nihayo tu!
1 Ndugu Kakaya Mrisho Kikwete - Mwenyekiti
2 Ndugu Pius Msekwa - Makamu Mwenyekiti (Bara)
3 Ndugu Amani Abeid Amani Karume - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)
4 Ndugu Yussuf R Makamba - Katibu Mkuu
5 Capt(mst) George Huruma Mkuchika - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6 Ndugu Salehe Ramadhan Ferouz - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7 Dr. Ali Mohamed Shein - Mjumbe
8 Ndugu Edward Ngoyai Lowassa - Mjumbe
9 Ndugu Shamsi Vuai Nahodha - Mjumbe
10 Alhaj Ali Hassan Mwinyi - Mjumbe
11 Ndugu Benjamin William Mkapa - Mjumbe
12 Dr. Salmin Amour - Mjumbe
13 Ndugu John Samwel Malecela - Mjumbe
14 Capt. (mst) John Zefania Chiligati
15 Ndugu Amos Gabriel Makala - Mjumbe
16 Ndugu Bernard Kamilius Membe - Mjumbe
17 Ndugu Kidawa Hamid Saleh - Mjumbe
18 Ndugu Samwel John Sitta - Mjumbe
19 Ndugu Pandu Ameir Kificho - Mjumbe
20 Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe
21 Ndugu Rostum Aziz - Mjumbe
22 Dr.Mohamed Gharib Bilal - Mjumbe
23 Ndugu Pindi Hazara Chana - Mjumbe
24 Ndugu Andrew Chenge - Mjumbe
25 Dr.Maua Abeid Daftari - Mjumbe
26 Ndugu Samia Suluhu Hassan - Mjumbe
27 Ndugu Mohamed Seif Khatib - Mjumbe
28 Ndugu Haji Omar Kheri - Mjumbe
29 Dr.Abdallah Omari Kigoda - Mjumbe
30 Ndugu Abdurahman Kinana - Mjumbe
31 Ndugu Anne Semamba Makinda - Mjumbe
32 Ndugu Fatuma Said Ali Mchumo - Mjumbe
33 Ndugu Zakia Hamdan Meghji - Mjumbe
34 Ndugu Omar Yussuf Mzee - Mjumbe
35 Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe
36 Ndugu Ali Ameir Mohamed - Mjumbe
37 Ndugu Yussuf Mohd Yussuf - Mjumbe
Je CCM siku hizi ni chama cha kidini??? Mbona kuna imbalance kwenye hii kamati zaid ya 70% ya Watanzania ni wakristo lakini kamati hii wakristo ni less than 40%, kulikoni????
Umesahau moja;- Mfadhili wa wauaji wa Albino.So what is so special being Harvard product? Anayo Nobel Peace Prize? Ni mwizi na jambazi na mzinzi tu! Hana jipya as much as Sitta!
Mbona vibaragashia vingi sana kwenye hii kamati.
Poa wazee inabidi nirudi kubeba box, mchana mwema.
Nini busara ya mzee wa KOKOTO?Jamani kwani kupiga kura si inakuwa siri?au cc wanapiga kura kwa kunyoosha vidole?Kama ni siri tuamini kulikuwa na fair play katika zoezi zima.Pia ukisoma hiyo list,utaona majina ya watu wenye busara sana kama Mzee Mkapa ambae UN inamtambua mpaka imempa majukumu mazito
Achana nao,watakuumiza kichwa bure na matibabu yenyewe siku hizi ni ghali!Hivi nyie mbona mnaleta udini sana au na CHADEMA ndio msimamo wake?? Utafanya mtu atukane kama umekosa cha kuongea bora ulifunge na kama una uchungu na uislam kwa kamtu kama wewe utabaki unajiumiza roho bure coz huna cha kufanya. Sisi wengine ni waislam na tumechagua upinzani sasa unachotaka kukileta ni mfarakano. Nakuomba ulifunge hilo lako na mapema
basi mh kasamehe ako kakijana kwani hakajui kuwa ccm ya sasa inawenyeweHivi nyie mbona mnaleta udini sana au na CHADEMA ndio msimamo wake?? Utafanya mtu atukane kama umekosa cha kuongea bora ulifunge na kama una uchungu na uislam kwa kamtu kama wewe utabaki unajiumiza roho bure coz huna cha kufanya. Sisi wengine ni waislam na tumechagua upinzani sasa unachotaka kukileta ni mfarakano. Nakuomba ulifunge hilo lako na mapema
unafiki na uzandiki wa kidini mliouanzisha wakati wa kampeni, nshangaa mnauleta mpaka huku. Ni ufinyu wa mawazo kuwa dini inaweza ongoza nchi hii. Nafasi zilikuwa nyingi kwenu wakati nchii hii ikiendeshwa kiimla na mwl nyerere na mkadhani ni hatimiliki yenu nyie. Muamke na kujua, hao muwaonao ni wa dini yenu na wa dini yetu ndio wanaoingia kula pesa zitokanazo na rushwa na vilevi na kamari. Siasa za dunia hazina usafi, na ni kwa mantiki hii kigezo cha dini hakitumiki katika nchi hii. Kimeshindwa 2010 na kitaendelea kushindwa kwani sio Turufu ni Garasa. Jipange kwa hoja sio Udini. NATOA HOJA
Je CCM siku hizi ni chama cha kidini??? Mbona kuna imbalance kwenye hii kamati zaid ya 70% ya Watanzania ni wakristo lakini kamati hii wakristo ni less than 40%, kulikoni????