Elections 2010 KUANGUSHWA: Jinsi Samwel Sitta alivyotoswa kwenye Uspika

Elections 2010 KUANGUSHWA: Jinsi Samwel Sitta alivyotoswa kwenye Uspika

Na wewe utakuwa ni mdini hakuna haja ya kusambaza udini Tanzania ni kumshambulia na kumkea huyu ndugu hapa hapa tena tukisadiana wakristo na waislamu.

Nikupe wazo la bure ...katika propaganda za kuwatenganisha binadamu kuna wakati mtu anaweza kujivika ngozi ya kinyonga.

Kwa mfano, Mwislamu mdini anaweza kutuma post hapa akijifanya ni "mkristo" ambaye anashangaa Waislamu kuwa wengi katika kamati kuu ya CCM kwa Dhamira ya kutimiza lengo lake la kufarakanisha dini hizo mbili....vivyo hivyo mkristo mdini anaweza kujifanya ni mwislamu katika jukwaa hili na kuvaa ngozi ya Uislamu kisha akatumia kificho hicho kutimiza lengo.

Kwa kifupi, kama mimi ni mkristo nataka waislamu na wakristo wagombane kutimiza ndoto zangu za kugombanisha dini najifanya kwanza ni mwislamu nawatukana wakristo ili wakristo wenzangu wahamaki

Mhe nimekuelewa ni busara hiyo.
 
Na wewe utakuwa ni mdini hakuna haja ya kusambaza udini Tanzania ni kumshambulia na kumkea huyu ndugu hapa hapa tena tukisadiana wakristo na waislamu.

Nikupe wazo la bure ...katika propaganda za kuwatenganisha binadamu kuna wakati mtu anaweza kujivika ngozi ya kinyonga.

Kwa mfano, Mwislamu mdini anaweza kutuma post hapa akijifanya ni "mkristo" ambaye anashangaa Waislamu kuwa wengi katika kamati kuu ya CCM kwa Dhamira ya kutimiza lengo lake la kufarakanisha dini hizo mbili....vivyo hivyo mkristo mdini anaweza kujifanya ni mwislamu katika jukwaa hili na kuvaa ngozi ya Uislamu kisha akatumia kificho hicho kutimiza lengo.

Kwa kifupi, kama mimi ni mkristo nataka waislamu na wakristo wagombane kutimiza ndoto zangu za kugombanisha dini najifanya kwanza ni mwislamu nawatukana wakristo ili wakristo wenzangu wahamaki

Mhe nimekuelewa ni busara hiyo.
 
1 Ndugu Kakaya Mrisho Kikwete - Mwenyekiti
2 Ndugu Pius Msekwa - Makamu Mwenyekiti (Bara)
3 Ndugu Amani Abeid Amani Karume - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)
4 Ndugu Yussuf R Makamba - Katibu Mkuu
5 Capt(mst) George Huruma Mkuchika - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6 Ndugu Salehe Ramadhan Ferouz - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7 Dr. Ali Mohamed Shein - Mjumbe
8 Ndugu Edward Ngoyai Lowassa - Mjumbe
9 Ndugu Shamsi Vuai Nahodha - Mjumbe
10 Alhaj Ali Hassan Mwinyi - Mjumbe

11 Ndugu Benjamin William Mkapa - Mjumbe
12 Dr. Salmin Amour - Mjumbe
13 Ndugu John Samwel Malecela - Mjumbe
14 Capt. (mst) John Zefania Chiligati
15 Ndugu Amos Gabriel Makala - Mjumbe
16 Ndugu Bernard Kamilius Membe - Mjumbe

17 Ndugu Kidawa Hamid Saleh - Mjumbe
18 Ndugu Samwel John Sitta - Mjumbe
19 Ndugu Pandu Ameir Kificho - Mjumbe
20 Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe
21 Ndugu Rostum Aziz - Mjumbe
22 Dr.Mohamed Gharib Bilal - Mjumbe
23 Ndugu Pindi Hazara Chana - Mjumbe

24 Ndugu Andrew Chenge - Mjumbe
25 Dr.Maua Abeid Daftari - Mjumbe
26 Ndugu Samia Suluhu Hassan - Mjumbe
27 Ndugu Mohamed Seif Khatib - Mjumbe
28 Ndugu Haji Omar Kheri - Mjumbe
29 Dr.Abdallah Omari Kigoda - Mjumbe
30 Ndugu Abdurahman Kinana - Mjumbe

31 Ndugu Anne Semamba Makinda - Mjumbe
32 Ndugu Fatuma Said Ali Mchumo - Mjumbe
33 Ndugu Zakia Hamdan Meghji - Mjumbe
34 Ndugu Omar Yussuf Mzee - Mjumbe

35 Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe
36 Ndugu Ali Ameir Mohamed - Mjumbe
37 Ndugu Yussuf Moh’d Yussuf - Mjumbe


Nikiangalia hapo juu sita ana wabaya wake kibao
Alafu yeye hatakuwa tena kwenye hiyo kamati , kwa hiyo ile ambition yake ya kuwa Raisi aweke kando maana fitina huwa zinaanza kwenye hii kamati kama si mjumbe is very hard to penetrate
Kwa niaba ya Malaria Sugu.
 
Point of information, Chenge sio Harvard Product nasikia alikwenda tu kwenye zile leadership courses kama alizokwenda sumaye na labda fupi zaidi, mwenye uhakika atupatie hapa sema mzee wa kuchakachua akaamua ku ji portray as such, tupeni uhakika wanaoweza ku google haraka haraka.

niliwahi kusoma profile fulani mwanzoni mwa miaka ya tisini iliyoonyesha kuwa madikteta wengi wa africa, Latin America & Asia walikuwa gaduate au waliwahi kuhudhuria mafunzo Havard University.
 
Dhambi hii ni kama kula nyama ya mtu na ukiisha ila huta acha.Tunataka mapinduzi ndani ya CCM,yatakayo leta uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi katika kuboresha maisha yao.
 
Shairi umelileta, mwenyewe nimekubali,
Tena ni tamu sana, masikioni sikia,
Ndugu yangu sikusifiii, kwa hapo umepatia
Mafisadimafisadi, wa nini Tanzania?

Ni swali najiuliza, ni nani kawachagua?
Wamewekwa na mapesa, ya kifisadi nakuambia,
Ni wananchi wachache, wamewarudisha bungeni,
Mafisadi mafisadi, wa nini Tanzania?

Mfumo wa kifisadi, watawala Tanzania,
Twahitaji kuuondoa mfumo huu jamani
Naamini mwisho wake, ukaribu kufika.
Mafisadi mafisadi, wa nini Tanzania?

Sote tukiungana, mafisadi watatoka,
Elimu ni kitu bora, hasa kule vijijini,
Wimbo huu ufisadi, kwao bado ni mgeni,
Mafisadi mafisadi, wa nini Tanzania?

Beti haziendi mbali, maana hazina vina,
Ujumbe zimeubeba, nadhani mmesikia,
Kasi yetu iwe moja, mafisadi kuwang'oa,
Mafisadi mafisadi, wa nini Tanzania?
 
1 Ndugu Kakaya Mrisho Kikwete - Mwenyekiti
2 Ndugu Pius Msekwa - Makamu Mwenyekiti (Bara)
3 Ndugu Amani Abeid Amani Karume - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)
4 Ndugu Yussuf R Makamba - Katibu Mkuu
5 Capt(mst) George Huruma Mkuchika - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6 Ndugu Salehe Ramadhan Ferouz - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7 Dr. Ali Mohamed Shein - Mjumbe
8 Ndugu Edward Ngoyai Lowassa - Mjumbe
9 Ndugu Shamsi Vuai Nahodha - Mjumbe
10 Alhaj Ali Hassan Mwinyi - Mjumbe
11 Ndugu Benjamin William Mkapa - Mjumbe
12 Dr. Salmin Amour - Mjumbe
13 Ndugu John Samwel Malecela - Mjumbe
14 Capt. (mst) John Zefania Chiligati
15 Ndugu Amos Gabriel Makala - Mjumbe
16 Ndugu Bernard Kamilius Membe - Mjumbe
17 Ndugu Kidawa Hamid Saleh - Mjumbe
18 Ndugu Samwel John Sitta - Mjumbe
19 Ndugu Pandu Ameir Kificho - Mjumbe
20 Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe
21 Ndugu Rostum Aziz - Mjumbe
22 Dr.Mohamed Gharib Bilal - Mjumbe
23 Ndugu Pindi Hazara Chana - Mjumbe
24 Ndugu Andrew Chenge - Mjumbe
25 Dr.Maua Abeid Daftari - Mjumbe
26 Ndugu Samia Suluhu Hassan - Mjumbe
27 Ndugu Mohamed Seif Khatib - Mjumbe
28 Ndugu Haji Omar Kheri - Mjumbe
29 Dr.Abdallah Omari Kigoda - Mjumbe
30 Ndugu Abdurahman Kinana - Mjumbe
31 Ndugu Anne Semamba Makinda - Mjumbe
32 Ndugu Fatuma Said Ali Mchumo - Mjumbe
33 Ndugu Zakia Hamdan Meghji - Mjumbe
34 Ndugu Omar Yussuf Mzee - Mjumbe
35 Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe
36 Ndugu Ali Ameir Mohamed - Mjumbe
37 Ndugu Yussuf Moh'd Yussuf - Mjumbe


Nikiangalia hapo juu sita ana wabaya wake kibao
Alafu yeye hatakuwa tena kwenye hiyo kamati , kwa hiyo ile ambition yake ya kuwa Raisi aweke kando maana fitina huwa zinaanza kwenye hii kamati kama si mjumbe is very hard to penetrate
Unafanya makosa sana majina yao kuanzia na title ya NDUGU, ndani ya CCM neno hilo halina maana tena. Hao undugu na waTanzania walishaufuta siku nyingi sana.

 
nawaomba wana JF tusisimamie udini au ukabila. swala hapa ni ufisadi unao pelekea unyimwaji na unyang'anywaji wa haki ya mtu au watu, ambao utapelekea mtu au watu kusimamia masilai ya chama na siyo ya nchi.

hapa ndo pakusimamia. Nadhani si busara kusema Udini na Ukabila, kila mwana JF anatambua kuwa tunahitaji viongozi wazuri watakao simamia masilai ya nchi nasiyo chama,

HILI NI OMBI KWENU WANA JF.
 
.Ndugu Kakaya Mrisho Kikwete – Mwenyekiti-MUISLAMU
2 Ndugu Pius Msekwa - Makamu Mwenyekiti (Bara) -MKRISTU
3 Ndugu Amani Abeid Amani Karume – Makamu-MUISLAMU
4 Ndugu Yussuf R Makamba - Katibu Mkuu-MUISLAMU
5 Capt(mst) George Huruma Mkuchika - Naibu Katibu Mkuu -MKRISTU
6 Ndugu Salehe Ramadhan Ferouz - Naibu Katibu Mkuu -MUISLAMU
7 Dr. Ali Mohamed Shein – Mjumbe-MUISLAMU
8 Ndugu Edward Ngoyai Lowassa – Mjumbe-MKIRSTU
9 Ndugu Shamsi Vuai Nahodha – Mjumbe-MUISLAMU
10 Alhaj Ali Hassan Mwinyi – Mjumbe-MUISLAMU
11 Ndugu Benjamin William Mkapa – Mjumbe-MKRISTU
12 Dr. Salmin Amour – Mjumbe-MUISLAMU
13 Ndugu John Samwel Malecela – Mjumbe-MKRISTU
14 Capt. (mst) John Zefania Chiligati-MKRISTU
15 Ndugu Amos Gabriel Makala – Mjumbe-MKRISTU
16 Ndugu Bernard Kamilius Membe - Mjumbe -MKRISTU
17 Ndugu Kidawa Hamid Saleh – Mjumbe-MUISLAMU
18 Ndugu Samwel John Sitta – Mjumbe-MKRISTU
19 Ndugu Pandu Ameir Kificho – Mjumbe-MUISLAMU
20 Ndugu Anna Abdallah – Mjumbe-MKRISTU
21 Ndugu Rostum Aziz – Mjumbe-MUISLAMU
22 Dr.Mohamed Gharib Bilal – Mjumbe-MKRISTU
23 Ndugu Pindi Hazara Chana – Mjumbe-MUISLAMU
24 Ndugu Andrew Chenge – Mjumbe-MKRISTU
25 Dr.Maua Abeid Daftari – Mjumbe-MUISLAMU
26 Ndugu Samia Suluhu Hassan – Mjumbe-MUISLAMU
27 Ndugu Mohamed Seif Khatib – Mjumbe-MUISLAMU
28 Ndugu Haji Omar Kheri – Mjumbe-MUISLAMU
29 Dr.Abdallah Omari Kigoda – Mjumbe-MUISLAMU
30 Ndugu Abdurahman Kinana – Mjumbe-MUISLAMU
31 Ndugu Anne Semamba Makinda – Mjumbe-MKRISTU
32 Ndugu Fatuma Said Ali Mchumo – Mjumbe-MUILSAMU
33 Ndugu Zakia Hamdan Meghji – Mjumbe-MUISLAMU
34 Ndugu Omar Yussuf Mzee - Mjumbe -MUISLAMU
35 Ndugu Emmanuel John Nchimbi – Mjumbe-MKRISTU
36 Ndugu Ali Ameir Mohamed – Mjumbe-MUISLAMU
37 Ndugu Yussuf Moh’d Yussuf – Mjumbe-MUISLAMU


RATIO:23-WAISLAMU 14:23
14-WAKRISTU
JE NANIMDINI KATI YA JK NA WAPINZANI ALOKUWA ANASEMA JK????????????????????????????????????????????????????

Kamati hii inatakiwa iwe na ratio fulani ya wajumbe toka zanzibar , na kwa kuwa wenzetu kule ni waislamu ndo maana unaona idadi ya ni kubwa , nafikiri sio jambo la kuliangalia sana
vema tukiondokana na UDINI, ni hatari sana kwa Tanzania kuliko ubaguzi mwingine wowote ule
 
CCM WOTE NI MAFISADI HIVYO BASI WANAOGOPA UOVU WAO UTAWAUMBUA:tape:
 
nawaomba wana JF tusisimamie udini au ukabila. swala hapa ni ufisadi unao pelekea unyimwaji na unyang'anywaji wa haki ya mtu au watu, ambao utapelekea mtu au watu kusimamia masilai ya chama na siyo ya nchi.

hapa ndo pakusimamia. Nadhani si busara kusema Udini na Ukabila, kila mwana JF anatambua kuwa tunahitaji viongozi wazuri watakao simamia masilai ya nchi nasiyo chama,

HILI NI OMBI KWENU WANA JF.

habari wana JF,
nimekuwa msomaji wa maoni kwa muda mrefu lkn leo naomba nifumbue mdomo. Naungana na kauli yako kwa kuongezea; mtazamo wangu kuwa maoni yanayotolewa hapa ni kwa ajili ya kuleta maendeleo ya watanzania wote. Anayejisikia kuongelea dini kwa kumsaidia kuna majengo yenye misalaba na mwezi na nyota akaongelee huko wala hakuna atakayemgusa.
 
nawaomba wana JF tusisimamie udini au ukabila. swala hapa ni ufisadi unao pelekea unyimwaji na unyang'anywaji wa haki ya mtu au watu, ambao utapelekea mtu au watu kusimamia masilai ya chama na siyo ya nchi.

hapa ndo pakusimamia. Nadhani si busara kusema Udini na Ukabila, kila mwana JF anatambua kuwa tunahitaji viongozi wazuri watakao simamia masilai ya nchi nasiyo chama,

HILI NI OMBI KWENU WANA JF.

jamani basi inatosha haya ya udini yawe :closed_2:
niwaulize wa JF sita hawezi kuama chama na kuamia Chadema??
 
Mkuu , mimi nimeweka wajumbe wa CC ya Chaka Chua Matokeo(kwa kifupiCCM),ambayo Six ni mjumbe

Ebwana eeeeeeeeeeeeeeh nimeipenda hii CHAKA CHUA MATOKEO(CCM), wamechakachua mpaka kura za kamati za kumteua 6 kuwa spika? Kweli kikulacho CCMkipo ndani ya CCM hio hio.
 
jamani basi inatosha haya ya udini yawe :closed_2:
niwaulize wa JF sita hawezi kuama chama na kuamia Chadema??
Kama ambition yake ni kuishia kwenye uwaziri tu , anaweza kuhama maana Chadema ikishinda ni rais kuupata kuliko kuachiwa agombee URAIS, lakini kama ni Urais sidhani akienda chadema anaweza kumpiku shujaa SLAA
Na kwa kuwa vita hii ni ya Urais 2015 , akitaka toka CCM atanzisha chake ili ajaribu karata yake

kuna nyakati ilisemwa semwa kwamba alikuwa mwasisi wa CCJ ( sina uhakika)
 
TanzActive,

kweli hili la CCJ namimi nililisikia lakini hiki chama cha ccj kilikua kweli chama au zilikuwa ni zile hadhi za manyoya!!??
 
😛eep:
 

Attachments

  • SITA NA CHENGE..jpg
    SITA NA CHENGE..jpg
    28.1 KB · Views: 80
habari wana JF,
nimekuwa msomaji wa maoni kwa muda mrefu lkn leo naomba nifumbue mdomo. Naungana na kauli yako kwa kuongezea; mtazamo wangu kuwa maoni yanayotolewa hapa ni kwa ajili ya kuleta maendeleo ya watanzania wote. Anayejisikia kuongelea dini kwa kumsaidia kuna majengo yenye misalaba na mwezi na nyota akaongelee huko wala hakuna atakayemgusa.

Kaka kama unakerwa na udini uliopo humu!!! nakuomba usiingie ndani ya hii forum,,,, humu kuna GREAT THINKERS wachache mno kiasi kwamba inabidi uchukulie article wanazopost watu wengine kama unasoma folk stories. ni wengi ambao hawatumii bongo zao kutafakari bali wanatumia imani za mioyo yao(dini) kutafakari na kuamua.
Kila kitu humu ndani,wengi hukitafsiri kwa misingi ya chuki za kidini....
KAULI YANGU KWA WANA JF WOTE WENYE AKILI FUPI KAMA MAISHA YA FUNZA,, MNAOFIKIRI KWA MISINGI YA ITIKADI NA SI UZALENDO:-----
huwezi ukaifanya Tanzania kuwa taifa la kikiristo kamwe na wala huwezi kulifanya kuwa taifa la kiislamu kamwe kwani idadi yetu inalingana au kukaribiana sana. na isitoshe muingiliano wa kijamii baina yetu(kuchanganyika,kuoleana, kushereheka pomoja,kuhuzunika pamoja na hata kuzikana) ni mkubwa kiasi ambacho huwezi kututenganisha.
poleni wote mnaofikiri kwa kutumia makalio badala ya ubongo na poleni sana mnaofuga chuki mioyoni mwenu na kuwatenga watu kutokana na dini zao. nilisema na ninasema''''hata chuki za wazi dhidi ya Kikwete zimeegemea zaidi katika udini kuliko udhaifu wake kama kiongozi''''


 
Back
Top Bottom