Elections 2010 KUANGUSHWA: Jinsi Samwel Sitta alivyotoswa kwenye Uspika

Elections 2010 KUANGUSHWA: Jinsi Samwel Sitta alivyotoswa kwenye Uspika

KUUZUNGUMZIA UDINI NI UVIVU WA KUFIKIRIA AU UWEZO MDOGO KIAKILI
LAKINI SIUNGANI KABISA NA WEWE KWAMBA CHUKI NYINGE KWA KIKWETE ZIMEJENGWA JUU YA DINI YAKE NO WAY
HUYU KIKWETE SI 2005 TULIMCHAGUA KWA 81%, INAMAANA WAKATI HUO TULIKUWA VIPOFU HATUONI ?, NINI KIMETUBADILISHA SASA?HAKIKA SI UDINI BALI NI :
1.KUSHINDWA KUDHIBITU UFISADI
2.KUSHINDWA KUDHIBITI MFUMUKO WA BEI
Kwa mfano mwaka 2005 alipokuwa anaingia madarakani ukilinganisha na sasa kwa vili vitu muhimu bei zimepanda kama ifuatavyosembe ilikuwa sh 250 sasa ni sh 800
sukari ilikuwa sh600 sasa ni sh 1800
Nyumba chumba ilikuwa sh 20,000( maeneo ya KND) sasa ni sho 50,0000
Mchele ilikuwa sh 500/ kwa kg sasa ni sh 1500/=
Mkaa gunia ilikua sh10,000/= sasa ni sh 30,0000
hiyo ni mifano , inayoonesha bei za vitu kwa kipindi cha 5 yrs imepanda zaidi ya mara tatu
niwaulize ni pato la nani limepanda mara tatu kwa kipindi hicho hicho .Hii maana yake ni kwamba maisha yameongezeka ugumu .
kwa hiyo uamuzi wa wanachi kama mimi ni kumuadhibu ktk ballot box japo wamechakachua

Mimi nilimpigia kikwete kura 2005 kwa kuwa nilitarajia mabadiliko , sikuangalia dini yake na 2010 sijampigia kwa sababu hizo hapo juu sikuangali dini yake ,niliona SLAA ni tumaini jipya na agepambana na ufisadi na kutoa elimu bure ambayo wataalamu wansema unahitaji 350Bn ili usiwachangishe wananchi,SLAA alisema atapata hizo kwa kufuta misaamaa ya kodi ilikithiri
NIKAMCHAGU HAKUNA DINI HAPO
Nashukuru sana ndugu ulichoongea lakini pia Naomba Mwongozo wa MODS
Je haiwezekani kumburn mtu yeyote anayechangia ishu ya dini katika kila mada kuanzia sasa, maana hii imekuwa too much sasa, mpaka tunafika mahali tunaanza kuogopa kufungua JF. kama watu wanataka kujadili dini wapewe sehemu huko ya kufanya hivyo lakini siyo kila topic ikija hapa lazima tuzungumzie dini zetu, tunaanza kupoteza lulu ya JF

Naomba sana mods waangalie hili linataka kutupeleka pabaya. inaniumiza sana kwa kweli tunaacha kujadili issues tunajadili dini! hao mafisadi wote wanatoka dini mchanganyiko so let us attack them na si huu ujinga mwingine (MODS I am so hurt)
 
Ushauri wa bure kwa Kaka mh.Sita

atafute chama kingine makini hiyo sisiemu awachie wenye nao nec.

ccm ni chama cha ajabu sana, sikuzote mtu hupewa nafasi ya kutetea kiti chake, sasa kulikoni huku kwa Sita ama ndo ule mchezo wetu waku..............!!!???
Wana JF nisaidieni
 
Wajumbe 26 waislaamu , 11 wakristo nini vigezo vya kamati hii kuwa na uwiano huo?
 
Wajumbe 26 waislaamu , 11 wakristo nini vigezo vya kamati hii kuwa na uwiano huo?

Gwaje hataki kuelewa bado analiendeleza lilelileeeeeee.....!!! tunalolipigia kelele na sasa anatafuta uhiano.

Kazi kweli kweli!!

wana JF msaidieni Gwaje
anahitaji msaada mkubwa wa mawazo
 
sasa jamani nini itakuwa feature ya Mh.sita, mama ni kama vile chama kimemwambia kaa pembeni, yeye mwenyewe sijui anakiangaliaje chama chake kwa sasa,
 
Wajumbe 26 waislaamu , 11 wakristo nini vigezo vya kamati hii kuwa na uwiano huo?

Sasa kama uko serious na mambo ya usawa usiisheie kwenye dini tu. Endelea kunyambulisha

  • Mchamgamunuo wa kabila( Wazanaki wahaya wachaga wakwere, Waha, etc)
  • Mchangamunuo wa mikoa wanayotoka
  • Mchangamunuo wa Age ( 21-25 26-35, 36-45, 46-55 etc )
  • Mchangamunuo wa Jinsia ( Female, Male ,gay, Lesbian, Bisexual. teh teh teh )
  • Mchangamuno wa Ability na disability ( Viziwi Albino, Vipofu ,walemavu)
Otheriwise usiwe great sinker kuwa great thinker.
 
Ni kamati ya Mafisadi! but poa watakwisha na kuangamia! watanzania tupo nyuma ya SITTA.

Sita sasa amedhiirisha kuwa ni mpenda masilahi ya nchi, maana watu kama hao hawatakiwi ccm wanawataka wale wa kufunika funika ukweli!!!

wale wa kutetea masilahi ya chama na siyo Tanzania
 
@ Ntemi kazwile: asilimia ya wakristo tanzania ni less than 40% na waislam ni more than 60% according to census. Sasa kama ktk hiyo kamati ya ccm wametumia kigezo cha udini itakua wakristo wamependelewa maana ilibidi wapate chini ya 40%. Hata hivyo si dhani kama ccm waliangalia vigezo vya udini ktk hiyo kamati.
 
@ Ntemi kazwile: asilimia ya wakristo tanzania ni less than 40% na waislam ni more than 60% according to census. Sasa kama ktk hiyo kamati ya ccm wametumia kigezo cha udini itakua wakristo wamependelewa maana ilibidi wapate chini ya 40%. Hata hivyo si dhani kama ccm waliangalia vigezo vya udini ktk hiyo kamati.
 
Sitta kutoswa uspika sioni ajabu kwani nilitarajia itakuwa hivyo.

Nasema hivi kwani Sita kupata uspika kulitegemea zaidi kamati kuu (CC) ya CCM kuliko kura za wabunge. Ukiangalia wajumbe wa CC karibu wote ni watuhumiwa wa ufisadi, hivyo kwa Sitta kupita hapo isingekuwa rahisi.
 
Kama ni hivyo si wangemtonya asichukue fomu ili ionekane hakutaka kuendelea? Watakuwa wamemdhalilisha sana maana aligangamala sana kumtafutia Kikwete kura mpaka alidiriki kutaka kufanya mdahalo na Dr Slaa ili kutolea ufafanunuzi wa sera za CHADEMA dhidi ya za CCM.
 
Nionavyo mimi spika sita speed yake na viwango vingebaki palepale hata walipotishia kitumbua chake kwani ingeleta maana zaidi miaka mitano ya mabadilko kuliko miaka mingi uovu ukifichwa, huko watanzania wakibaki gizani pasipo kuufahamu ukweli.Martin Luther Jr na Patrice Lumumba twawasoma leo ingawa wameishi duniani kwa muda mfupi.Hata hivyo tunadhamini ulipotufikisha tuombe Mungu atake chukua kijiti aongeze standard na speed.MSIMAMO UNAMAANA MAISHANI HASA PALE UNALOLISIMAMIA LIKIWA NA UKWELI
 
Ni kweli jamaa alijitoa sana kumtetea JK but hayo ndo malipo toka ccm! KWELI MAFISADI NI JITU AMBALO KULITOA IPO KAZI!
CCM IMEINGILIWA NA UFISADI NA KUUTOA NI KUING'OA YOOTE HAKUNA MSAFI PALE! WASAFI HAWATAKIWI KWENYE CHAMA KABISAA!
 
mh. sita huenda akapewa uwaziri mkuu mnaonaje hii wa JF si anafaa au.......??
 
@ ntemi kazwile: Asilimia ya wakristo tanzania ni less than 40% na waislam ni more than 60% according to census
katika sensa ya taifa 2002 , hakuna swali la dini lililoulizwa wewe unazungumzia sensa gani ?

Wewe mdini sana wewe enhee
 
1 Ndugu Kakaya Mrisho Kikwete - Mwenyekiti
2 Ndugu Pius Msekwa - Makamu Mwenyekiti (Bara)
3 Ndugu Amani Abeid Amani Karume - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)
4 Ndugu Yussuf R Makamba - Katibu Mkuu
5 Capt(mst) George Huruma Mkuchika - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6 Ndugu Salehe Ramadhan Ferouz - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7 Dr. Ali Mohamed Shein - Mjumbe
8 Ndugu Edward Ngoyai Lowassa - Mjumbe
9 Ndugu Shamsi Vuai Nahodha - Mjumbe
10 Alhaj Ali Hassan Mwinyi - Mjumbe
11 Ndugu Benjamin William Mkapa - Mjumbe
12 Dr. Salmin Amour - Mjumbe
13 Ndugu John Samwel Malecela - Mjumbe
14 Capt. (mst) John Zefania Chiligati
15 Ndugu Amos Gabriel Makala - Mjumbe
16 Ndugu Bernard Kamilius Membe - Mjumbe
17 Ndugu Kidawa Hamid Saleh - Mjumbe
18 Ndugu Samwel John Sitta - Mjumbe
19 Ndugu Pandu Ameir Kificho - Mjumbe
20 Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe
21 Ndugu Rostum Aziz - Mjumbe
22 Dr.Mohamed Gharib Bilal - Mjumbe
23 Ndugu Pindi Hazara Chana - Mjumbe
24 Ndugu Andrew Chenge - Mjumbe
25 Dr.Maua Abeid Daftari - Mjumbe
26 Ndugu Samia Suluhu Hassan - Mjumbe
27 Ndugu Mohamed Seif Khatib - Mjumbe
28 Ndugu Haji Omar Kheri - Mjumbe
29 Dr.Abdallah Omari Kigoda - Mjumbe
30 Ndugu Abdurahman Kinana - Mjumbe
31 Ndugu Anne Semamba Makinda - Mjumbe
32 Ndugu Fatuma Said Ali Mchumo - Mjumbe
33 Ndugu Zakia Hamdan Meghji - Mjumbe
34 Ndugu Omar Yussuf Mzee - Mjumbe
35 Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe
36 Ndugu Ali Ameir Mohamed - Mjumbe
37 Ndugu Yussuf Moh’d Yussuf - Mjumbe


Nikiangalia hapo juu sita ana wabaya wake kibao
Alafu yeye hatakuwa tena kwenye hiyo kamati , kwa hiyo ile ambition yake ya kuwa Raisi aweke kando maana fitina huwa zinaanza kwenye hii kamati kama si mjumbe is very hard to penetrate

Kumbe kwenye kikao hicho alikuwepo Mh. Sitta!!!! Kwa hiyo na yeye kumbe kajichakachua mwenyewe!!!
 
Back
Top Bottom