hojapreneur
Member
- Nov 12, 2010
- 19
- 0
1.alijenga ofisi ya spika urambo
2.hakupenda kuishi nyumba ya serikali alopewa na akapanga mtaani,8000 kwa mwezi(soma dola za marekani)
3.alinunua vijidonge flani hivi kutibu mguu,sh.milioni 2,kiduka cha dawa mtaani!
4.hakuzoea kufanya retirements akitoka safari(kuna kama m.70 tu kwa ajili ya msosi hakuzi-account for
5.niliwahi kuhudhuria meeting ukumbi mmoja dodoma,african dream conference centre lakini sikumaliza meeting baada ya kufahamu anaumiliki yeye,mnabisha?
ASIHOFU MZEE WA WATU,KWANZA YE ANA NGOZI NGUMU NA NI CHUMA CHA PUA...LOL!!!
2.hakupenda kuishi nyumba ya serikali alopewa na akapanga mtaani,8000 kwa mwezi(soma dola za marekani)
3.alinunua vijidonge flani hivi kutibu mguu,sh.milioni 2,kiduka cha dawa mtaani!
4.hakuzoea kufanya retirements akitoka safari(kuna kama m.70 tu kwa ajili ya msosi hakuzi-account for
5.niliwahi kuhudhuria meeting ukumbi mmoja dodoma,african dream conference centre lakini sikumaliza meeting baada ya kufahamu anaumiliki yeye,mnabisha?
ASIHOFU MZEE WA WATU,KWANZA YE ANA NGOZI NGUMU NA NI CHUMA CHA PUA...LOL!!!