Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekunywa ulevi gani leo? Mbege au mnazi? Mada uwezo wa kununua bia huna.
Wabunge wote wa cuf waliomo kwenye bunge la muungano wameagizwa kuwa ni lazima waiunge mkono spika wa ccm, ana makinda, maagizo hayo yametolewa usiku huu mjini dodoma, na tayari wabunge wa cuf wamesharifiwa.
Kwa hiyo wabunge wa chadema peke yao ndo watampigia mabere marando
maagizo haya ya serikali kwa cuf ni mwendelezo wa serikali ya mseto ya hivi karibuni huko zanzibar
Leo kabla na baada ya Sitta kuapishwa kulikua na makofi kibao na mmoja wao niliyemuona akipiga meza ni Lowasa, Jamaa alikua anapiga makofi kweli au alikua anamsanifu muheshimiwa sita?? Nipeni maoni yenu wana Jamvi!
wenzako tuko kazini wewe endelea na mnazi wako
Bora angejamba! Sisi binaadamu tuna matatizo sana ikiwa jua tunalalamika ikinyesha mvua tunalalama hata hatuna kheri!!!!Asingepiga makofi nako ingekuwa story tu, so sijui angefanya nini? Hoja zingine ilimradi tuu!!!!