kim jong ii
Member
- Nov 3, 2010
- 42
- 1
Hapa nachokiona ni udini tu hakuna kingine. KUMEJAA PROPAGANDA ZA KUWAPIGA VITA WAISLAM NA MI KAMA MUISLAM NITAFIKISHA UJUMBE HUU KWA KILA MUISLAM MWANA MAGEUZI ILI WAJUE.
Asanteni
Asanteni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nani kakuambia JK kapewa hii nchi aongoze!!hisia kama hizi ni hatari kwa mustakabali wa nchi ni vyema tukazizika, kimsingi nafasi hizo haziogotwi, zinagombewa so i think ingekuwa jambo la msingi ukaenda kuchukua fomu uwe member wa CC ya CCM, kimsingi haijalishi anavaa kibaghalashia au la what TZ we need is them to deliver, tumewapa miaka mitano kutuongoza so let give them a time ili tuweze kuwapina na kuwachuja 2015. nihayo tu!
Hivi nyie mbona mnaleta udini sana au na CHADEMA ndio msimamo wake?? Utafanya mtu atukane kama umekosa cha kuongea bora ulifunge na kama una uchungu na uislam kwa kamtu kama wewe utabaki unajiumiza roho bure coz huna cha kufanya. Sisi wengine ni waislam na tumechagua upinzani sasa unachotaka kukileta ni mfarakano. Nakuomba ulifunge hilo lako na mapema
hakuna haja ya kuhesabu barakashee. kwani huo ndio mwanzo wa kubaguana uzuri katika tanzania akipita rais mjinga akaweka watu wake basi siku akiondoka ikulu basi na kundi lake linaondolewa kwa hiyo nadhani msiwasakame viongozi wetu wengi ni mafreemason kwani hawana madhara zaidi ya wao kutoana kafara tuu, kwani si unaona akiongoza freemason lazima katika serikali yake kuwe na udondokaji wa viongozi katika serikali yake...........hahaaaaaaaa mimi nadhani tu sina ushahidina kuhusu udini, ukihesabu "vibarakashehe" ni kama ishirini hivi.....na total ya wajumbe ni 38 ambayo ni almost 40 so its pretty much 50-50.....ukiangalia kwamba walipigiwa kura na sio kuteuliwa.....kama hakuna haja ya kuingiza udini tusiuingize jamani..chonde chonde
Ina maana na yeye alihusika kujichakachua?(18) maana naye yumo humo inakuwaje?
ama kweli ni vipofu wanakokotana, na mwenye chongo ananyang'a ufito wa kuwaongoza! tukae kando na kushuhudia watavyokuwa wakivuka makorongo!
Hapa nachokiona ni udini tu hakuna kingine. KUMEJAA PROPAGANDA ZA KUWAPIGA VITA WAISLAM NA MI KAMA MUISLAM NITAFIKISHA UJUMBE HUU KWA KILA MUISLAM MWANA MAGEUZI ILI WAJUE.
Asanteni
kwa uamuzi walioufikia wametuonyesha hawana dhamira ya dhati ya kupambana na ufisadi ndo maana wanamtafuta mtu atakayefunika funika
HAWAFAIIIIIIIIIIIIIII, narudia tena Hawafaiiiiiiiiiii
Jamani tutammiss sana, ila asikate tamaa. Haki ya mtu haipotei ila kwa tanzania inapotezwa. Hizo ndio siasa za africa ukijiweka mbele kutetea maslahi ya waliowengi unakuwa adui mkubwa. Sikutegemea kwamba Mzee sita atapigwa panga kwa staili hii, inawezekana anamapungufu yake kama binadamu ila uwezo wake na umahili wake kwa maana ya vigezo na udhoefu kama haki ingetendeka nafikiri angebaki au kuingizwa hata kwenye hiyo tatu bora.
Kisingizio kilichotolewa kuwa ccm wanataka mhimili huo uongozwe na mwanamke sioni kuwa katika Ulimwengu wa demokrasia una nafasi, aliyekuwa anatafutwa pale ni mtu mwenye uwezo na vigezo, kama walikuwa na nia ya kuwapa wanawake nafasi kubwa basi wangeweka katika ilani yao ya uchaguzi na hakukuwa hata na haja ya kuisumbua Kamati wakati tayari walikuwa na maadhimio yao.
Kwa hili nakiri wazi mpango mkakati umefanikiwa!!!!
Niliwahi kusema siku za nyuma humu ndani nathani mtakuwa mnakumbuka,
"ukistaajabu ya Musa, utashanga ya Felauni"
niliwaambia uchakachuzi hauta ishia hapo tu, utaendelea.
alisema Baba wa taifa ukila nyama ya mtu.........................................................................
:director:wana CCM MPO.......!!!!!???