Sasa ikiwa unafanya KAZI iliyotukuka,Ishara ya uoga
Kumbe kununua pikipiki nchi nzima Kisha uweke sura Yako ni kuwaendea wananchi ๐คBinaadam bwana yaan akienda nje ya nchi wanasema anazurura shda za wananchi atazijua vipi?
Akiamua kwenda kwa wananchi wanasema ameanza kampeni mapema loh!
Unamsagia kunguni mzee wa watu. ??๐ณ๐ ๐คMama anajua kuwa hapendwi hata chembe. Muache aendelee kutapatapa tu.
Dakika za mwishooooni kabisa tutamwinua Ndugai (mzee wa kuinusuru nchi isipigwe mnada), atampiga kumbo kiulaini kabisa.
Sasa vyama havijapitisha mchakato wa wagombea ngazi mbalimbali, ukianza compaign tena za wazi, huoni kuwa huko ni kuvurugwa?Ambao hawajaanza kampeni wamezuiwa kafanya?
Hapana ila kuzunguka na chopa nchi nzima km mboweKumbe kununua pikipiki nchi nzima Kisha uweke sura Yako ni kuwaendea wananchi ๐ค
Bc ambao tayar wamepata wagombea wao waacheni waendelee na kampeniSasa vyama havijapitisha mchakato wa wagombea ngazi mbalimbali, ukianza compaign tena za wazi, huoni kuwa huko ni kuvurugwa?
Sa100 ameshasema hizo ni "Drama"Bc ambao tayar wamepata wagombea wao waacheni waendelee na kampeni
Hahahahahaha hili tumuachie Lucas Mwashambwa chawa MwandamiziSalaam, shalom!!
Kwa mara ya kwanza, Kuna kiongozi yupo madarakani, KAZI aliyopewa kuikamilisha, Bado hajaimaliza,lakini ghafula amegeuka na kuanza kujitangaza Kwa nafasi ya KITI alichokikalia.
Hadi sasa, vyama vyote vya upinzani na chama tawala havijafanya mchakato wowote kupata mgombea Kwa nafasi yoyote kuanzia Udiwani, ubunge na Urais!!
Swali: Kuanza compaign mapema, ni Ishara ya kukubalika au kutokukubalika?
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA ๐น๐ฟ
Karibuni ๐
KAZI ya uchawa inaweza kufanywa vizuri zaidi na robots, Pale Dodoma tulijuonea wenyewe!!Hahahahahaha hili tumuachie Lucas Mwashambwa chawa Mwandamizi
Kama huo ndio UKWELI,Wataiba kura, watashinda kwa kishindo.
Hizo kampeni ni danganya toto. Ila kiufupi, wataiba kura tu.Kama huo ndio UKWELI,
Kwanini sasa kuanza compaign mapema?
HOFU hapo ni juu ya nn, au tuseme Nchi ni kubwa?