Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #21
Kule uchaggani mchawi akikaribia kufa huwa ana-ere. Kuere maana yake ni kutaja watu aliowaloga, kuwaua na kuwafanyia ubaya kwa kukanusha. Yani anasema mimi sikumuua Mrema, sio mimi nilimloga Shirima. Mkisikia watu wanasema mimi ndo nilimuua Kisanga waambieni sio mimi. Wabaya wananisingizia"
Ukimuona ndugu yako amefikia hatua hiyo ujue ana-ere. Unachotakiwa kufanya ni kumuita Mchungaji/Padri haraka, aje kumuongoza sala ya toba maana hiyo ndio nafasi ya mwisho amepewa ya kutubia dhambi zake. Anakaribia kukata roho huyo. Subhanallah.!
Ukimuona ndugu yako amefikia hatua hiyo ujue ana-ere. Unachotakiwa kufanya ni kumuita Mchungaji/Padri haraka, aje kumuongoza sala ya toba maana hiyo ndio nafasi ya mwisho amepewa ya kutubia dhambi zake. Anakaribia kukata roho huyo. Subhanallah.!