Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Kumbe hiyo roadmap ilichorwa tangu 2012, ok! lakini mkae mkijua hiyo Mikakati ovu ya kulinda madaraka itatugharimu wote, kisiasa kijamii na kiuchumi, baada ya miaka 10 nchi itakuwa masikini sana
Mwaka huu "Mkombozi wa Tz amezaliwa" Yote yatakwisha kaka.
swali je,utafika?
 
Niliwahi kusikia kuwa hao watu Deep state huwa wana angalia makosa /madhaifu ya rais aliyepo madarakani kisha wanakuja na majibu muafaka
.Mfn : Jakaya :kipindi chake safari zilikua nyingi mno za nje
Magufuli :kapunguza ama kaacha kabisa
Jakaya : kipindi chake watu wapiga sana hela EPA na kadhalika ,list ya mafisadi,mpk PM pinda akasema wakiguswa nchi itatikisika
Magufuli : yeye anawatia adabu vzr mno
Jakaya: kipindi chake wapinzani waliongea mno tena kwa nguvu zote wote tunakumbuka
Magufuli : yeye kapiga pini kabisa
Jakaya : kipindi chake watumishi walikua wanafanya kazi wajisikiavyo
Magufuli : kaondoa hy dhana

Na Rais Magufuli mpk sasa yuko sahihi kwa maelezo ya mleta Mada maana inaonekana bila kufanya hivi kuna tabia ingejengeka ,ingawa pia kuna madhaifu kadhaa wa kadhaa

Nadhani hata sasa hao Deep state wanatathimini haya yanayofanyika sasa then 2022 kuelekea 2025 waje na jina lingine

Yoyote kwa yoyote mleta Mada alikua deep zaidi
 
Hao "madipu steti" wana akili sana!
Inawezekana huyu hakuwa number one,ila walisoma ramani wakaona hali tete beyond 2015,ikabidi watafute buldoza la kufagia uchafu ili hewa safi irudi halafu yule mlengwa akaja 2020!who knows?!nazungumza hivi sababu ya economic factors.Kama hao madipu steti wapo kweli basi ni lazima wanaliona hili,kwamba hatuwezi kuendelea hivi kiuchumi kwa muda mrefu,tutaua nchi.Sioni matajiri tu wakianguka bali naona waendesha uchumi na matajiri "wabunifu" wakianguka..sijui who is replacing them!Sijui tunaona upande wa utajiri tu au na huu wa muhimu,kwamba "wanaendesha uchumi" nao tunaukumbuka?!tuangalie tusije tukareplace "matajiri" kwa "wenye hela"..wenye hela wamepewa tu wanayo,sio lazima wawe na historia nayo yenye faida kwetu,ila tajiri huanzia kichwani,na hela zake zina historia ya faida kwetu,ukimfuatilia utakuta kajitengeneza kwetu sisi wananchi ,hivyo tuna maslahi nae "sisi tulio wengi"..sio wa kupewa na mtu au kikundi kidogo cha watu..mwenye uelewa kaelewa.i cant simplify my language beyond this point.
 
Je unadhani,hii tendency,ni nzuri
 
do u think this is the right,way of tackelling tning
 
4. Suala zima la ushawishi wa dini, endapo ataegemea dini moja basi atajikuta yupo kwenye wakati mgumu kwani atajikuta amegeuka gafla na kuwa adui wa dini nyingine hivyo kujikuta akichukua maamuzi ya kibabe ili kukabiliana na upinzani kutoka dini fulani. Suala kujiunga na dini ya mashetani au "FREEMASONS" litakuwa jambo la kawaida na watu wengi wenye kupinga serikali watatoweka na wasijulikane wapo wapi
 
Mungu akufumbue macho uone mwanga badala ya giza la udikteta!

tunapigania utawala wa sheria na haki, na ndio tunawataka watanzania wote pamoja na wewe tuelewe!
Tanzania ni ya watanzania wote, si ya hao unaowataja! Amka!
Oyaaa mzimaa
 
Nakusalimia
 

hii ilikuwepo au huwa kuna namna wanaedit kalenda??? nina wasiwasi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…