Kabisa mkuu! Kuna watu wanafikiri Magufuli anafanya yeye kama yeye!Ila huu uzi, umenifanya niwe na amani
Nchi yetu ipo salama, Watu walio nyuma ya pazia ni watu makini sana wanajua kucheza karata zao vizuri
Huyu siyo mtabiri huyo ndio Kitengo mwenyewe! Kiufupi hao ndio washika nchi.Jamaa huyu ni mtabiri mzuri sana
Kucheza karata kwa kuhujumu na kuporomosha na kuudidimiza uchumi kwa maksud ?Ila huu uzi, umenifanya niwe na amani
Nchi yetu ipo salama, Watu walio nyuma ya pazia ni watu makini sana wanajua kucheza karata zao vizuri
Mifumo yote inalenga uchumi.Kabisa mkuu! Kuna watu wanafikiri Magufuli anafanya yeye kama yeye!
Ndio maana huwa nawashangaa sana chadema wanapodili na Magufuli badala ya mfumo.
Yani unaweza kukuta chadema anamshabikia Membe kwamba bora amtoe Magufuli madarakani bila kujua wote wale ni ccm na yeyote anakuwa rais lazima aongize kwa matakwa ya mfumo.
Hatare sanaHayawihayawi Sasa yameshakuwa😇
Nalog off
Kabisa mkuu Yaani ni kushabikia Barrick kumuangusha Acacia hapa Tanzania na wakati lao ni mojaKabisa mkuu! Kuna watu wanafikiri Magufuli anafanya yeye kama yeye!
Ndio maana huwa nawashangaa sana chadema wanapodili na Magufuli badala ya mfumo.
Yani unaweza kukuta chadema anamshabikia Membe kwamba bora amtoe Magufuli madarakani bila kujua wote wale ni ccm na yeyote anakuwa rais lazima aongize kwa matakwa ya mfumo.
Kwanini?
Hivi mzee wa kutetema bado anaimba haka kasongi lake?'ccm waliniibia kura milioni 6 ktk katika uchaguzi wa 2015'. By Lowasa.
Mtake radhi magamba matatu.Kwa hiyo hii katiba mpya tunayoipigania unataka kuniambia kuwa tunaitunga iruhusu haya uliyoyaandika yatokee au kichwa kimefeli hata kuwaza japo kidogo