mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Hakika huyu ni mtabiri makini, nilidhani kaandika leo kumbe zamani, tuliyemhitaji tumempata aswaaaBora aje huyo dikteta kuliko kuwa na democrat ambaye ni mzururaji na mbabaishaji (unconcerned).
[emoji16] [emoji16] [emoji16] aseee[emoji16][emoji16][emoji16] hapa sitii neno mkuu siyo kwangu huku niwaache wenye 100 IQ plus.
Like Mugo wa Kibiro who foresaw the coming of white men wearing white clothes like butterflies...The Great Seer living in Gikuyu land in Pre- colonial Kenyathe man who saw tomorrow
Ha ha ha ha.....1.Tuambie,tuambiee unayafanya haya kwa mamlaka gani?
2.Je huyu ndio yule tulokua tukimtazamia? Ama tusibiri mtu mwingine?
Dah huwa napenda sana kuangalia ile sinema ya Yesu.
Magamba matatu ni kigogo#MAGAMBA_MATATU uko wapi nataka tufanye biashara ya kubeti
Bora aje huyo dikteta kuliko kuwa na democrat ambaye ni mzururaji na mbabaishaji (unconcerned).
Ilikuwa ni mimi nimebadilisha id kwa sasa natumia hii.Mungu alisikia maombi yako
Naona tumsubirie mwingine, maana huyu hawezi kuwa tunayemtarajia. ni kijana tu wa seremala huwa anamsaidia baba yake kugongagonga misumari kwenye makabati1.Tuambie,tuambiee unayafanya haya kwa mamlaka gani?
2.Je huyu ndio yule tulokua tukimtazamia? Ama tusibiri mtu mwingine?
Dah huwa napenda sana kuangalia ile sinema ya Yesu.
But the man who will see tomorrow never existed. Wanaoona kesho huwa tunawachukulia poa zaidi untill it happensthe man who saw tomorrow
[emoji23][emoji23]kwanini Magode kwani wasiwasi wako niniWasiwasi wangu ni km huyu member bado yupo hai...!!
Uzi kuanzia alipo upost 2012....watu waliubeza na ukawa na comments kama 20 tu hadi ulipokuja kufukuliwa 2018...na unakimbiza comments sasa kuelekea bukuHuyu jamaa alikua "MUONAJI" duh!!
Nani kaufukua huu uzi maana kama ulisahaulika na wale waliobeza kipindi kile naona bado wapo waje watuambie wanaamini au bado wanamioyo migumu.
Kanisa lake lingetema waumini na wafuasiHuu uzi kama hauja haririwa basi huyu Jamaa ni kiboko.
Haya yangesemwa na Mmoja wa hawa Wahubiri a.k.a Mapasta wetu basi kusingekalika.