Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Mkuu tunaomba maono yako juu ya yajayo hasa kuhusu huyu Mwamba Mbowe na kesi yake pamoja na mustakabali wa Katiba mpya Tanzania na uongozi wa Bi. Hangaya kwa ujumla.
Hiyo kesi ni ya ku buy time tu ili katiba mpya isipatikane mapema kabla ya muda haujafika!!kesi itafutwa na katiba itapatikana ndipo MWAMBA ATAKUWA WAZIRI MKUU WA TANGANYIKA!!KUMBUKA KATIBA MPYA ITAKUA YA SERIKALI TATU AMBAYO ITAKUA NA MAWAZIRI WAKUU WAWILI NA RAISI MMOJA WA MUUNGANO WA TZ!!!!
 
Ni kweli mama ataleta katiba na Mbowe atakua Waziri mkuu!!
 
Ungeomba maono kwa ujumla. Anaweza akakupa hayo ya Mbowe negatively then ukaanza kumtusi. Just thinking aloud
Ungeomba maono kwa ujumla. Anaweza akakupa hayo ya Mbowe negatively then ukaanza kumtusi. Just thinking aloud
Mkuu,Kwanza nilichoomba hapo ni 'maono' yake na sio 'maoni' kuna utofauti hapo.

Pili,matokeo ya huko mbele sio kosa lake wala matakwa yake ni kitu kitakachotokea ambacho sisi pengine hatukijui bado ila kuna wenye karama wanaweza jua.
Ndio maana hata maono aliyosema kwenye Uzi huu kuna watu walimpinga na wapo waliochukia lakini bado haikubadili uhalisia sababu ndicho kilichokuwa kitokee

Kwahio sina sababu ya kumtukana yeyote kwa sababu ya maoni au maono yake.

Tatu,ukisoma vizuri nimeomba maono ya Kesi,Katiba mpya na Uongozi wa Hangaya kwa Ujumla.
 
MAGAMBA MATATU
Mkuu, njoo utueleze pale Bi Kubwa anapeleka nchi kwa sasa!
 
Ulitabiri sahihi.Mwenda zake alipoteza,aliteka,aaliua alifunga. Ili kulinda utawala wake. He 2025,ANATAKIWA aweje. Type nondo.
 
Nabii Bado Yupo Hai, Tafadhali Tunangoja Unajimu Wako
Bila Shaka Yoyote Unakokotoa Awamu Hii Ya Sita Nyota Ikoje
 
Kwa hii list ulioweka...
Wa mwisho ndio mshindi na ndo wa Kwanza kuondoka! Cc mshana jr
 
Niliamua kuwa kimya,,,ila soon nitawapa ukweli wa kitakachojili baada ya uchaguzi wa 2025,,ila kuna shida kubwa sana ipo kwa uongozi uliopo baada ya kifo cha mhusika
Niliamua kuwa kimya,,,ila soon nitawapa ukweli wa kitakachojili baada ya uchaguzi wa 2025,,ila kuna shida kubwa sana ipo kwa uongozi uliopo baada ya kifo cha mhusika
Kakaaaaaa,,nipoooooo
Naona mama ameanza kuhujumiwa na wateuzi wa Mwendazake!!Tatizo mama katangaza mapema kuwa atagombea 2025 na kuzua taharuki kwa wale wanaoutaka u namba moja!!!Nadhani matatizo ya uongozi wake yatatokana na yeye kutangaza nia mapema hapo 2025! Bado ni mbali tuombe uzima kabisa!kuna mengi yatajiri!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…