chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,884
Wana JF, MAGAMBA MATATU si mwengine bali ni mmoja katika waliomdhamini MAGUFULI aingie Madarakani,hii ni mipango madhubuti iliyokuwa imepengwa, kwa atakae kuja kututawala kwa Upande wa CCM
Haya yaliyoandikwa katika huu uzi sio kama yamendikwa kwa bahati mbaya au ramli,yameandikwa kwa Makusudi, kwa lengo la kupima msimamo na maoni ya wanachapa wa JF..
Huu uzi umekuwa disigned kuangalia upepo na msimamo wa Watanzania kwa muda wote wa awamu ya 5,
Mission accomplIshed, MAGAMBA MATATU, ameingia mitini, amebadilisha ID yuko pembeni anawachora wana JF,..
Siasa ni mchezo mchafu, wana JF mnatakiwa kutoa maoni yenu, kwa hayo yaliyoandikwa na huyu jamaa anayejiita MAGAMBA MATATU, sio kusifu utabiri wake..
Haya yaliyoandikwa katika huu uzi sio kama yamendikwa kwa bahati mbaya au ramli,yameandikwa kwa Makusudi, kwa lengo la kupima msimamo na maoni ya wanachapa wa JF..
Huu uzi umekuwa disigned kuangalia upepo na msimamo wa Watanzania kwa muda wote wa awamu ya 5,
Mission accomplIshed, MAGAMBA MATATU, ameingia mitini, amebadilisha ID yuko pembeni anawachora wana JF,..
Siasa ni mchezo mchafu, wana JF mnatakiwa kutoa maoni yenu, kwa hayo yaliyoandikwa na huyu jamaa anayejiita MAGAMBA MATATU, sio kusifu utabiri wake..