LGE2024 Kuanzia Kesho CCM Kuisimamisha Nchi Katika Uchukuaji, ujazaji na Urejeshaji wa Fomu za serikali

LGE2024 Kuanzia Kesho CCM Kuisimamisha Nchi Katika Uchukuaji, ujazaji na Urejeshaji wa Fomu za serikali

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Kuanzia kesho Nchi inakwenda kusimama pale ambapo kutakuwa na zoezi la uchukuaji, ujazaji na Urejeshaji wa Fomu za serikali za mitaa katika maandalizi ya uchaguzi utakaofanyika hapo November 27 Mwaka huu.

Ambapo mpaka sasa imeonyesha CCM ikiendelea kuungwa mkono kwa kiasi kikubwa sana maeneo mbalimbali Nchini, kunakotokana na kufanya vizuri katika utekelezaji wa ilani ya CCM pamoja na kupeleka miradi mbalimbali ya maendeleo na huduma karibu na walipo wananchi.

Serikali ya CCM imefanya kazi kubwa sana iliyogusa Maisha ya watu na mahitaji yao.ambapo sasa watanzania wana imani na matumaini makubwa sana ya kuinuka kiuchumi.kila mmoja anaiona kesho iliyo njema na yenye matumaini.ndio sababu ushindi wa kishindo upo wazi kabisa kwa CCM
Screenshot_20241022-064913_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 

Attachments

  • Screenshot_20241022-064913.png
    Screenshot_20241022-064913.png
    654.7 KB · Views: 5
Hahaha hivi ccm wamechoka kuteuana, 2019 walimaliza asubuhi. Kwanini sasa wanabadili utaratibu, au maigizo?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuanzia kesho Nchi inakwenda kusimama pale ambapo kutakuwa na zoezi la uchukuaji, ujazaji na Urejeshaji wa Fomu za serikali za mitaa katika maandalizi ya uchaguzi utakaofanyika hapo November 27 Mwaka huu.

Ambapo mpaka sasa imeonyesha CCM ikiendelea kuungwa mkono kwa kiasi kikubwa sana maeneo mbalimbali Nchini, kunakotokana na kufanya vizuri katika utekelezaji wa ilani ya CCM pamoja na kupeleka miradi mbalimbali ya maendeleo na huduma karibu na walipo wananchi.

Serikali ya CCM imefanya kazi kubwa sana iliyogusa Maisha ya watu na mahitaji yao.ambapo sasa watanzania wana imani na matumaini makubwa sana ya kuinuka kiuchumi.kila mmoja anaiona kesho iliyo njema na yenye matumaini.ndio sababu ushindi wa kishindo upo wazi kabisa kwa CCMView attachment 3135993

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unagombea mtaa gani ni kupe kula yangu ndugu mjumbe wa ccm?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuanzia kesho Nchi inakwenda kusimama pale ambapo kutakuwa na zoezi la uchukuaji, ujazaji na Urejeshaji wa Fomu za serikali za mitaa katika maandalizi ya uchaguzi utakaofanyika hapo November 27 Mwaka huu.

Ambapo mpaka sasa imeonyesha CCM ikiendelea kuungwa mkono kwa kiasi kikubwa sana maeneo mbalimbali Nchini, kunakotokana na kufanya vizuri katika utekelezaji wa ilani ya CCM pamoja na kupeleka miradi mbalimbali ya maendeleo na huduma karibu na walipo wananchi.

Serikali ya CCM imefanya kazi kubwa sana iliyogusa Maisha ya watu na mahitaji yao.ambapo sasa watanzania wana imani na matumaini makubwa sana ya kuinuka kiuchumi.kila mmoja anaiona kesho iliyo njema na yenye matumaini.ndio sababu ushindi wa kishindo upo wazi kabisa kwa CCMView attachment 3135993

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kilishaacha kuwa chama muda mrefu sana,sisi tunachojua ni kwamba CCM ni genge la wahuni, wahalifu na wauaji hivyo ndivyo tujuavyo ila dawa yake iko jikoni inaandaliwa.
 
Kilishaacha kuwa chama muda mrefu sana,sisi tunachojua ni kwamba CCM ni genge la wahuni, wahalifu na wauaji hivyo ndivyo tujuavyo ila dawa yake iko jikoni inaandaliwa.
Kwani wamesha isimamisha tangu lini na kesho hiyo ni jipya au kusimama huku ni kurudishwa utumwani?
 
Kilishaacha kuwa chama muda mrefu sana,sisi tunachojua ni kwamba CCM ni genge la wahuni, wahalifu na wauaji hivyo ndivyo tujuavyo ila dawa yake iko jikoni inaandaliwa.
CCM ndio tumaini la mamilioni ya watanzania.ndio kilichobeba kesho bora ya watanzania
 
Kilishaacha kuwa chama muda mrefu sana,sisi tunachojua ni kwamba CCM ni genge la wahuni, wahalifu na wauaji hivyo ndivyo tujuavyo ila dawa yake iko jikoni inaandaliwa.
CCM ndio tumaini la mamilioni ya watanzania.ndio kilichobeba kesho bora ya watanzania
 
Back
Top Bottom