Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa siri zote ni Sele 0715132277 au 0787132277 mpigie huyo pamoja na mshirika wake kibwana wote ndiyo mabingwa wa fununu na Siri nyingi za viongozi wafanyabiashara wakubwa na wafanyabiashara wakubwaMtoa mada..unauhakika gani kuwa Bon ndyo mtuma MM? Kwanini unamchongea Bon? Mtoa mada ,watu mwangilieni kwa macho Manne huyu!!
Seleman 0715132277 au 0787132277 ndiyo hupiga picha nyingi kwa siriWakimkamata kwani wengine hawawezi kuandika? Mbona wengine tunapata mpaka audio kabisa zilizorekodiwa kutoka mahakamani?
Dunia ya sasa ni ya teknolojia huwezi kupambana nayo na ukashinda.
Kwa hiyo wewe unawafundisha na kuwahimiza hao polisi na unaowaita Mataga?Ama watamzuia getin au watamnynganya simu au chochote na ikibidi ajali ya gari kabla hajafika mahakamani.
Hivyo Bonoface Jacob, ex-mayor wa Ubungo, akae mkao wa tahadhari kwa lolote kukabiliana na hili.
Taarifa ile haikutumwa ili kumchonganisha na Martin MM au kumsifia bali imetumwa ili kumshughulikia kwa njia yoyote ili tukose mfululizo wa kesi kwenye mtandao.
Mwingi sanaKwani hii kesi ni siri?
Ni wewe Henry Kisanduku wa risasi 36?Kesi ya Mbowe inaendelea kuumbua watu na hasa jinsi tunavyopata proceedings sahihi na kwa wakati.
Tumeona jinsi maafisa polisi wanavyoumbuka kwenye maswali ya akina Kibatala na wenzake.
Hapo tusisahau kwama tuna hamu kubwa IGP Simon Siro atakapoitw kama Kibatala alivyoomba.
Hii maana yake watu watanunua bando la kutosha siku hiyo kuliko siku zote.
Kama hujui ndiyo maana polisi walifanya kila wawezalo ili watu wasiingie mahakamani na hata wakiingia wasibebe sinu zao..
Hilo likashindikana, hakuna rules zinazozuia watu kuingia na sinu zao. Ushindi.
Baada ya kesi kuanza mitandao ya CCM hawajadili kabisa kesi hii maana ni aibu.
Juzi MATAGA wameanzisha harakati za mkakati zinazosema sifa za kuripoti kedi mitandaoni zisimuendee Martin MM bali zimuendee Boniface Jacob ambaye ndiye yuko mahakamani anaandika kila kitu na kumtumia Martin MM.
Harakati hizi zikashupaliwa na Kigogi2004 na wenzake.
Sasa inawezekana ni kweli Martin hayuko mahakamani na anayeandika ni Boniface. Kimsingi hii haiisaidii sana CCM na serikali kwani kwa cha maana ni kwamba proceedings zinazotumwa twitter ni kweli na jaji hajakataza serikali imeshindwa kutaja kifungu kinachokataza.
Sasa, je serikali na polisi wataendelea kukaa wanatizama tu bila juhudi ya kuzuia proceedins zisirushwe mtandaoni?
Je atakapohojiwa IGP akaumbukiwa maswali, kweli polisi wako tayari twitter tuone aibu hiyo?
Mimi nadhani hawako tayari na watafanya lolote kuzuia. Kinachoweza kufuatia ni kufanya kituko chochote kwa Bonoface Jacob ili asiweze kuandika na kuzituma kokote.
Ama watamzuia getin au watamnynganya simu au chochote na ikibidi ajali ya gari kabla hajafika mahakamani.
Hivyo Bonoface Jacob, ex-mayor wa Ubungo, akae mkao wa tahadhari kwa lolote kukabiliana na hili.
Taarifa ile haikutumwa ili kumchonganisha na Martin MM au kumsifia bali imetumwa ili kumshughulikia kwa njia yoyote ili tukose mfululizo wa kesi kwenye mtandao.
Kila la heri Boniface na wengine
Kifungu kipo, ni Kifungu cha 114 (1) (d) cha Kanuni ya Adhabu (the Penal Code) tena kinatengeneza kosa la Jinai kabisa.Kesi ya Mbowe inaendelea kuumbua watu na hasa jinsi tunavyopata proceedings sahihi na kwa wakati.
Tumeona jinsi maafisa polisi wanavyoumbuka kwenye maswali ya akina Kibatala na wenzake.
Hapo tusisahau kwama tuna hamu kubwa IGP Simon Siro atakapoitw kama Kibatala alivyoomba.
Hii maana yake watu watanunua bando la kutosha siku hiyo kuliko siku zote.
Kama hujui ndiyo maana polisi walifanya kila wawezalo ili watu wasiingie mahakamani na hata wakiingia wasibebe sinu zao..
Hilo likashindikana, hakuna rules zinazozuia watu kuingia na sinu zao. Ushindi.
Baada ya kesi kuanza mitandao ya CCM hawajadili kabisa kesi hii maana ni aibu.
Juzi MATAGA wameanzisha harakati za mkakati zinazosema sifa za kuripoti kedi mitandaoni zisimuendee Martin MM bali zimuendee Boniface Jacob ambaye ndiye yuko mahakamani anaandika kila kitu na kumtumia Martin MM.
Harakati hizi zikashupaliwa na Kigogi2004 na wenzake.
Sasa inawezekana ni kweli Martin hayuko mahakamani na anayeandika ni Boniface. Kimsingi hii haiisaidii sana CCM na serikali kwani kwa cha maana ni kwamba proceedings zinazotumwa twitter ni kweli na jaji hajakataza serikali imeshindwa kutaja kifungu kinachokataza.
Sasa, je serikali na polisi wataendelea kukaa wanatizama tu bila juhudi ya kuzuia proceedins zisirushwe mtandaoni?
Breki iko hapa:Kesi ya Mbowe inaendelea kuumbua watu na hasa jinsi tunavyopata proceedings sahihi na kwa wakati.
Tumeona jinsi maafisa polisi wanavyoumbuka kwenye maswali ya akina Kibatala na wenzake.
Hapo tusisahau kwama tuna hamu kubwa IGP Simon Siro atakapoitw kama Kibatala alivyoomba.
Hii maana yake watu watanunua bando la kutosha siku hiyo kuliko siku zote.
Kama hujui ndiyo maana polisi walifanya kila wawezalo ili watu wasiingie mahakamani na hata wakiingia wasibebe sinu zao..
Hilo likashindikana, hakuna rules zinazozuia watu kuingia na sinu zao. Ushindi.
Baada ya kesi kuanza mitandao ya CCM hawajadili kabisa kesi hii maana ni aibu.
Juzi MATAGA wameanzisha harakati za mkakati zinazosema sifa za kuripoti kedi mitandaoni zisimuendee Martin MM bali zimuendee Boniface Jacob ambaye ndiye yuko mahakamani anaandika kila kitu na kumtumia Martin MM.
Harakati hizi zikashupaliwa na Kigogi2004 na wenzake.
Sasa inawezekana ni kweli Martin hayuko mahakamani na anayeandika ni Boniface. Kimsingi hii haiisaidii sana CCM na serikali kwani kwa cha maana ni kwamba proceedings zinazotumwa twitter ni kweli na jaji hajakataza serikali imeshindwa kutaja kifungu kinachokataza.
Sasa, je serikali na polisi wataendelea kukaa wanatizama tu bila juhudi ya kuzuia proceedins zisirushwe mtandaoni?
Je atakapohojiwa IGP akaumbukiwa maswali, kweli polisi wako tayari twitter tuone aibu hiyo?
Mimi nadhani hawako tayari na watafanya lolote kuzuia. Kinachoweza kufuatia ni kufanya kituko chochote kwa Bonoface Jacob ili asiweze kuandika na kuzituma kokote.
Ama watamzuia getin au watamnynganya simu au chochote na ikibidi ajali ya gari kabla hajafika mahakamani.
Hivyo Bonoface Jacob, ex-mayor wa Ubungo, akae mkao wa tahadhari kwa lolote kukabiliana na hili.
Taarifa ile haikutumwa ili kumchonganisha na Martin MM au kumsifia bali imetumwa ili kumshughulikia kwa njia yoyote ili tukose mfululizo wa kesi kwenye mtandao.
Kila la heri Boniface na wengine
WASHAWAPIGA PINI, Kama mtoa mada alivyosemaNasubiri
Nyie viumbe MaCCM mna roho mbaya sana, zaidi ya SHETANI.. mlaaniwe.Ama watamzuia getin au watamnynganya simu au chochote na ikibidi ajali ya gari kabla hajafika mahakamani.
Tumewauliza polisi kosa ni nini hawakuwa na majibu , tumeingia ndani na kazi inaendeleaKesi ya Mbowe inaendelea kuumbua watu na hasa jinsi tunavyopata proceedings sahihi na kwa wakati.
Tumeona jinsi maafisa polisi wanavyoumbuka kwenye maswali ya akina Kibatala na wenzake.
Hapo tusisahau kwama tuna hamu kubwa IGP Simon Siro atakapoitw kama Kibatala alivyoomba.
Hii maana yake watu watanunua bando la kutosha siku hiyo kuliko siku zote.
Kama hujui ndiyo maana polisi walifanya kila wawezalo ili watu wasiingie mahakamani na hata wakiingia wasibebe sinu zao..
Hilo likashindikana, hakuna rules zinazozuia watu kuingia na sinu zao. Ushindi.
Baada ya kesi kuanza mitandao ya CCM hawajadili kabisa kesi hii maana ni aibu.
Juzi MATAGA wameanzisha harakati za mkakati zinazosema sifa za kuripoti kedi mitandaoni zisimuendee Martin MM bali zimuendee Boniface Jacob ambaye ndiye yuko mahakamani anaandika kila kitu na kumtumia Martin MM.
Harakati hizi zikashupaliwa na Kigogi2004 na wenzake.
Sasa inawezekana ni kweli Martin hayuko mahakamani na anayeandika ni Boniface. Kimsingi hii haiisaidii sana CCM na serikali kwani kwa cha maana ni kwamba proceedings zinazotumwa twitter ni kweli na jaji hajakataza serikali imeshindwa kutaja kifungu kinachokataza.
Sasa, je serikali na polisi wataendelea kukaa wanatizama tu bila juhudi ya kuzuia proceedins zisirushwe mtandaoni?
Je atakapohojiwa IGP akaumbukiwa maswali, kweli polisi wako tayari twitter tuone aibu hiyo?
Mimi nadhani hawako tayari na watafanya lolote kuzuia. Kinachoweza kufuatia ni kufanya kituko chochote kwa Bonoface Jacob ili asiweze kuandika na kuzituma kokote.
Ama watamzuia getin au watamnynganya simu au chochote na ikibidi ajali ya gari kabla hajafika mahakamani.
Hivyo Bonoface Jacob, ex-mayor wa Ubungo, akae mkao wa tahadhari kwa lolote kukabiliana na hili.
Taarifa ile haikutumwa ili kumchonganisha na Martin MM au kumsifia bali imetumwa ili kumshughulikia kwa njia yoyote ili tukose mfululizo wa kesi kwenye mtandao.
Kila la heri Boniface na wengine
UPDATE: September 20,2021
Tayari wamezuiwa kama nilivyotabiri
Mbavu neneHuyo boniface ni nani