kuchangumu
JF-Expert Member
- Apr 2, 2014
- 724
- 290
Habari wakuu!
Leo nimepita maeneo ya Kinondoni kuna kitu kimenishangaza sana,miezi kama sita iliyopita nilikunywa bar moja inaitwa Jacaranda bar pembeni yake ipo bar nyingine inaitwa uhuru peak hizi bar zilikuwa habari ya mjini lakini leo jacaranda nimefika kupata kinywaji imekufa kabisa.
Uhuru peak bado wapo vizuri lakini sio kama last time nilipokunywa hapo ipo tofauti last time nyomi ilikuwa ya kufa mtu....nimejaribu kuuliza nikaambiwa kuna bar zingine zimefunguliwa maeneo hayo ambazo ni MK bar na Masai club.
Kitu nilichojifunza walevi hawana sehemu ya kudumu hata ungewapa huduma ya hali ya juu kwa kiasi gani, hususani wateja wa pombe maana ki ukweli bar hizi zilikuwa na huduma nzuri kabla.
ANGALIZO:
Wana JF tukitaka kuwekeza kwenye biashara ya pombe tuwe makini maana nimeona sio biashara inayoweza kudumu kwa miaka mingi na sababu ki ukweli sijazijuwa kikamilifu labda wataalamu wa biashara ya bia waliopo hapa jamvini watuuzie uzoefu kwa faida ya wote wenye nia ya kufanya biashara hii siku za usoni.
Kibiashara zaidi nawasilisha.
Leo nimepita maeneo ya Kinondoni kuna kitu kimenishangaza sana,miezi kama sita iliyopita nilikunywa bar moja inaitwa Jacaranda bar pembeni yake ipo bar nyingine inaitwa uhuru peak hizi bar zilikuwa habari ya mjini lakini leo jacaranda nimefika kupata kinywaji imekufa kabisa.
Uhuru peak bado wapo vizuri lakini sio kama last time nilipokunywa hapo ipo tofauti last time nyomi ilikuwa ya kufa mtu....nimejaribu kuuliza nikaambiwa kuna bar zingine zimefunguliwa maeneo hayo ambazo ni MK bar na Masai club.
Kitu nilichojifunza walevi hawana sehemu ya kudumu hata ungewapa huduma ya hali ya juu kwa kiasi gani, hususani wateja wa pombe maana ki ukweli bar hizi zilikuwa na huduma nzuri kabla.
ANGALIZO:
Wana JF tukitaka kuwekeza kwenye biashara ya pombe tuwe makini maana nimeona sio biashara inayoweza kudumu kwa miaka mingi na sababu ki ukweli sijazijuwa kikamilifu labda wataalamu wa biashara ya bia waliopo hapa jamvini watuuzie uzoefu kwa faida ya wote wenye nia ya kufanya biashara hii siku za usoni.
Kibiashara zaidi nawasilisha.