Kuanzia leo hii sitaki ubishano wa Ronaldo na Messi nani mkali

Messi leo kuna uwezekano mkubwa wa kushinda
 
TUPACified

Pole zako hata cr alikuwa anagomba na jose na ndio sababu ya kuondoka
 
Last edited by a moderator:
Ronaldo kashaifunga barca mara 15 na atletico mara 15..kuna game gani kubwa kama Clasico kwasasa duniani mpaka useme hana impact mechi kubwa??

utapata vudonda vya tumbo kwa kupambana na messi we muulize ronaldo kawa wa 29 kwa viwango vya mchezaj bora kwa ribo mwaka 2015 baada ya kusema anataka kuvunja rekod ya mess balon dor
 
utapata vudonda vya tumbo kwa kupambana na messi we muulize ronaldo kawa wa 29 kwa viwango vya mchezaj bora kwa ribo mwaka 2015 baada ya kusema anataka kuvunja rekod ya mess balon dor

nikajua kawa wa 29 kwenye balon d'or
 
kuwafananisha hawa wawili ni sawa na kufananisha mji wetu mkuu wa dodoma na mji mkuu wa marekani washington nikimaanisha kuwa messi ndiyo washington na ronaldo ndiyo dodoma.
 
La liga top scores
Ronaldo;38 goals with 28 match
Messi;34 goals with 31 match
 
Pamoja naangalia burudani toka kwa Mess na Barcelona yake.

Kumwangalia Mess anavyocheza Sawa na kucheki game kwenye computer.

Inasemekana malaika mbinguni wamesimama kuimba, wote wanamwangalia Messi akicheza mida hii.
 
La liga top scores
Ronaldo;38 goals with 28 match
Messi;34 goals with 31 match
Haha mkuu mbona messi ameassist walioassist kuwaassist walioassist wafungaji magoli pale barca,tena messi ndio anaongoza
 
Inasemekana malaika mbinguni wamesimama kuimba, wote wanamwangalia Messi akicheza mida hii.

Mess unaufanya mpira uonekane ni kazi rahisi rahisi tu ambayo hata mzembe unaweza kuucheza.
 
Mess unaufanya mpira uonekane ni kazi rahisi rahisi tu ambayo hata mzembe unaweza kuucheza.
Wachezaji wengi wanapenda mpira, ila mpira unampenda Messi.
 

Asante kwa statistics zako na Mimi naomba nikupe zangu.
Msimu uliopita messi alicheza fainali mbili.
1.world cup na Germany alishindwa kuisaidia timu
2.copa del Rey dhidi ya Madrid hakufunga goli wala kuisaidia timu
3.uefa quarter final against atletico madrid alishindwa kuisaidia timu
4.mechi ya kuamua ubingwa wa la liga dhidi ya atletico Madrid hakufunga wala kuisaidia timu.
Magoli aliyofunga na assists alizotoa msimu uliopita ameshindwa kutoa kwenye match muhimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…