Kuanzia leo hii sitaki ubishano wa Ronaldo na Messi nani mkali

Kuanzia leo hii sitaki ubishano wa Ronaldo na Messi nani mkali

Haha mkuu mbona messi ameassist walioassist kuwaassist walioassist wafungaji magoli pale barca,tena messi ndio anaongoza

Most assists in la liga
Messi;15
Ronaldo;12
 
Embu taja tiku kubwa yoyote ulaya ambayp c.ronaldo hahawai kuifunga?
Hvi mpira nyie uwa mnaangalia upi.?

Sijui amekula maharage ya wapi huyu jamaa.Yaani mtu ana hat trick 24 ndani ya misimu 6 wakati yule mbilikimo ana hat trick 24 ndani ya misimu 11 bado tu hajaliona hilo.Huyu kweli haangalii mpira tunaoangalia sisi.Anaongoza magoli uefa na la liga msimu wa tatu huu mfululizo yeye haoni tu.
 
Huna haja kuongea maneno mengi unapolitaja jina la Messi...

Mambo aliyoyakamilisha tayari yanazungumza yenyewe...
 
How many goals did Cristiano Ronaldo score against YOUR club?

18 - Sevilla
15 - Atletico Madrid, Barcelona, Getafe

14 - Atletico Bilbao
13 - Malaga
12 - Celta Vigo, Levante
11 - Villarreal, Granada
10 - Osasuna
9 - Aston Villa, Valencia, Rayo Vallecano, Real Sociedad, Deportivo
8 - Tottenham
7 - Schalke, Ajax, Zaragoza, Mallorca, Elche, Almeria, Fulham, Wigan
6 - Racing Santander, Galatasaray, Arsenal, Bolton, Newcastle, Portsmouth
5 - Everton, Manchester City, West Ham, Middlesbrough
4 - Bayern Munich, Marseille, Lyon, Xerez, Espanyol, Derby, West Brom, Reading
3 - FC Copenhagen, Borussia Dortmund, Roma, Juventus, CSKA Moscow, Real Betis, Valldolid, Dinamo Moscow, Liverpool, Blackburn
2 - Ludogorets, AC Milan, Sporting Lisbon, Basle, Zurich, Eibar, Gijon, Hercules, APOEL, Southampton, Birmingham, Stoke, Hull, Manchester United, Watford
1 - Auxerre, Inter, Gamba Osaka, Porto, Murcia, Tenerife, Cordoba, Ponferradina, Debreceni, Sunderland, Charlton, Chelsea, Millwall, Exeter



MO11 ,Kama humpendi mtu sometimes bora ukae kimya kuliko kuongea pumba ,soma zaidi


Cristiano Ronaldo thrilled the Bernabeu with five goals against Granada... but which club have suffered most at the hands of the prolific Portuguese? - | Daily Mail Online


Cristiano Ronaldo scored five goals against Granada, and Real Madrid star has more goals this season than 53 of the 98 teams in Europe's top five leagues- | Daily Mail Online

Tatizo Ronaldo anajua mpaka anakera watu.Migoli yote hiyo kafunga mtu mmoja.Kila timu haimpendi kwa sababu ameshawararua.
 
-Mkuu, naomba udadavue kidogo hapo.
-Ronaldo ana magoli 9 Camp Nou na Messi ana 5 Camp Nou. Kiaje yaani, embu dadavua kidogo.

Ronaldo ndie mchezaji aliyeifunga barca bao nyingi kuliko yoyote nou camp.goli 9
 
Hivi huyu ronaldo ana impact gani na mechi kubwa ?
Hivi mechi gani kubwa Ronaldo kawa man of the match ??
Kila nikiangalia ronaldo mechi kubwa ni mavi tu

Ile mechi na dortimund aliishia kufichwa na schmeizer mechi nzima mwisho wa mechi wanakula goli nne

Ukija na bayern munich aibu niliona mimi jinsi anavyofichwa na Philipe lahm alimuiba kabisa

hawa liverpool ndio walimficha ronaldo mbaya zaidi alifichwa na kolo toure huyu aliyeisha mwishoni akapewa goli la penati tena hakusababisha yeye

Mechi ya mwisho walipokutana na barcelona mwisho wa mechi Ronaldo alionekana akimwambia benzema "we were all shit"
alitaka nani akusaidie

wote mashahidi kombe la dunia jamaa alichofanya alibahatika goli moja akatoka makundi hakuwa na positive impact hata kwa ghana

Ronaldo hatembei na mpira siku hizi labda uzee umemfika akinyimwa pasi anatukana analalama mpaka vyombo vya habari vinajua hilo

He is overrated player

Unajua jana alikuwaje pale Vicente Cardelon aibu niliona mimi
Katika mechi saba alizokutana na Ateltico ameshinda goli moja msimu huu sitaki kuzungumzia fainali ya Uefa msimu uliopita alisubiri penati ndio avue nguo zake uwanjani baada ya kukutana na wanaume

Ndugu yangu utaumwa vidonda vya tumbo kumchukia huyu mtu anajua na ni hatari sana.Rekodi zake ni balaa.
 
Zile goli mbili alizocharazwaga chelsea pre-season marekani ziko wapi?mbona linaonekana goli moja tu

Kafunga magoli mengi mpaka mengine wanasahau kuyaweka kwenye rekodi.Inabidi wayaweke si ndo yale alikuwa anapiga baiskeli halafu anapiga mikuki ya hatari Cahill anabaki kumwangalia tu.
 
ronaldo ajifunze kwa messi, messi amebadilika sana, ule mpira wa kua uongoze peke yako mpaka upokonywe umepitwa na wakati.
ukimuangalia messi ni mtu wa kucheza pasi na wenzake kwa team work. wala humuoni kukaripia wenzake
 
Back
Top Bottom