Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wakuu
Kuanzia leo sitarudia tena kuzibetia hizi team mbili za kwa malikia yaan arsenal na man u
Hizi team zimekuwa ni team za hovyo hovyo sana wachezaji wake wanacheza kama hawajala siku nane
Zimenichania sana mikeka sasa yatosha
Yatosha
Yatosha
Yatosha kuchaniwa mikeka na team za kipuuz puuz
LONDON BOY
Kuanzia leo sitarudia tena kuzibetia hizi team mbili za kwa malikia yaan arsenal na man u
Hizi team zimekuwa ni team za hovyo hovyo sana wachezaji wake wanacheza kama hawajala siku nane
Zimenichania sana mikeka sasa yatosha
Yatosha
Yatosha
Yatosha kuchaniwa mikeka na team za kipuuz puuz
LONDON BOY