chariti
JF-Expert Member
- Aug 18, 2023
- 362
- 748
Wasomi kweli kweli seminary zimetoa watu makini sina shaka hizi shule zilikua zinatoa division one form four na form six kama mvua discipline ya hatari disciples, mkikutana nao kwenye football wanawagonga darasani wanawacharaza, uthibitisho wa usomi wao.
1.Vyombo vya habari vimebanwa haswa hawa wasomi leo wameenda live bila chenga kwa wenye nchi, kambi ya madokita wamepigwa vichomi kipindi cha asubuhi na mchana washukuru game ya yanga na simba zimewapoza.
2.Uungwana ni vitendo ni kipi kibaya kinachoweza kupingwa na bunge la chama kimoja, labda apatikane msamaria kwenye kundi la fisi atutetee.
3.Maaskofu wamethibitisha tuna matatizo ya kimfumo yanayotakiwa kubadilishwa lakini viburi vimekomaa.
4.Yaani tuwape wengine biashara ya familia sababu kuna mmoja wetu ni mwizi hawajibiki na bado anajiona anatosha.
5.Hatukujifunza kwenye madini tutapigwa faini na kulipa fidia mara ngapi?
6.Tunaingia mkataba leo kwa kufanya sherehe atatokea kiongozi mwenye misimamo yake kutokea mashariki mwa nchi akaivunja, tunapigwa tena faini lazima tupige kelele kabla hamjaharibu nyie hatuwezi kuwashitaki
7.Kwanini hatufiki lengo la kumuwezesha mwananchi kufanya vitu wanavyofanya wengine sera mfilisi hazieleweki
8. Kama wasomi ni lazima tupige kelele sababu hata mkiharibu mna kinga za mashtaka, kweli si kweli? kweli.
9. Hivi tunashindwa kuwawezesha watanzania wakakopa kwenye benki zetu za africa na nchi marafiki, ubinafsi tu!
10.Tatizo hizi biashara ambazo ilitakiwa ziwape watanzania nguvu wapate mitaji mikubwa madini mawasiliano na technolojia, wawekeze kwenye miradi mikubwa ya nchi, sera mufilisi.
11.Wale wa nje wanapata mikopo kwao wakionyesha uwezekano wa faida kubwa na kibano kwa mwenye nacho ya mikataba wanayokuja kuingia huku.
12.Kwanini tusiingie mikataba ya aina hiyo na wananchi wenzetu wakakope wao nje waje wawekeze ndani kama wanavofanya foreigners tukilipa faini tunamlipa mwananchi mwenzetu kwa installment kabisa.
13. Lazima tupige kelele sababu eneo lililoguswa ni sehemu muhimu kwa nchi,
wako mtiifu, wasomi wa seminary.
1.Vyombo vya habari vimebanwa haswa hawa wasomi leo wameenda live bila chenga kwa wenye nchi, kambi ya madokita wamepigwa vichomi kipindi cha asubuhi na mchana washukuru game ya yanga na simba zimewapoza.
2.Uungwana ni vitendo ni kipi kibaya kinachoweza kupingwa na bunge la chama kimoja, labda apatikane msamaria kwenye kundi la fisi atutetee.
3.Maaskofu wamethibitisha tuna matatizo ya kimfumo yanayotakiwa kubadilishwa lakini viburi vimekomaa.
4.Yaani tuwape wengine biashara ya familia sababu kuna mmoja wetu ni mwizi hawajibiki na bado anajiona anatosha.
5.Hatukujifunza kwenye madini tutapigwa faini na kulipa fidia mara ngapi?
6.Tunaingia mkataba leo kwa kufanya sherehe atatokea kiongozi mwenye misimamo yake kutokea mashariki mwa nchi akaivunja, tunapigwa tena faini lazima tupige kelele kabla hamjaharibu nyie hatuwezi kuwashitaki
7.Kwanini hatufiki lengo la kumuwezesha mwananchi kufanya vitu wanavyofanya wengine sera mfilisi hazieleweki
8. Kama wasomi ni lazima tupige kelele sababu hata mkiharibu mna kinga za mashtaka, kweli si kweli? kweli.
9. Hivi tunashindwa kuwawezesha watanzania wakakopa kwenye benki zetu za africa na nchi marafiki, ubinafsi tu!
10.Tatizo hizi biashara ambazo ilitakiwa ziwape watanzania nguvu wapate mitaji mikubwa madini mawasiliano na technolojia, wawekeze kwenye miradi mikubwa ya nchi, sera mufilisi.
11.Wale wa nje wanapata mikopo kwao wakionyesha uwezekano wa faida kubwa na kibano kwa mwenye nacho ya mikataba wanayokuja kuingia huku.
12.Kwanini tusiingie mikataba ya aina hiyo na wananchi wenzetu wakakope wao nje waje wawekeze ndani kama wanavofanya foreigners tukilipa faini tunamlipa mwananchi mwenzetu kwa installment kabisa.
13. Lazima tupige kelele sababu eneo lililoguswa ni sehemu muhimu kwa nchi,
wako mtiifu, wasomi wa seminary.