Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30

Kwanza mshukuru Mama yetu mpendwa kwa kukulipa mshahara kila mwezi na kujaza tumbo lako.
We endelea kuisifia CCM na hauna hata check no. Sisi tunalipwa na hiyo serikali yako ya CCM ,lakini tunaipiga virungu bila kuchoka sembuse wewe jobless unaye tegemea buku saba?. Subiri kazi za sensa na kuandikisha wapiga kura.
 
Tuct Tucta wanahusika vipi na kupanga tarehe za kulipwa mishahara ya watu?
Hiyo sababu waliyoitoa mbona haina mantiki?
Something is fishing here.
 
Kama hii taarifa ni kweli basi serikali ya mama Abdul inazidiwa, mapato yatakuwa yanapungua huku wazito kwenye serikali yake wakizidi kujineemesha.

Hili tangazo lingetakiwa kutolewa mapema kuwaandaa wafanyakazi kisaikolojia, lakini kuwashtukiza hivi ni dalili hii serikali ya huyu mama imefeli kwa namna nyingi, kuanzia wasaidizi wasiojielewa, wala rushwa, poor coordination..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…