Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ngoja nifanyie kazi hili jambo 😁Yani ungejua tu siku mingi ungeshafika Copen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nifanyie kazi hili jambo 😁Yani ungejua tu siku mingi ungeshafika Copen
Juzi kati alilalamikia bando la mb200 linaisha fastaWe dogo cheza michezo yako, viwanja vyetu usiguse. We ata check number unayo wewe? Ebu tupishe.
We endelea kuisifia CCM na hauna hata check no. Sisi tunalipwa na hiyo serikali yako ya CCM ,lakini tunaipiga virungu bila kuchoka sembuse wewe jobless unaye tegemea buku saba?. Subiri kazi za sensa na kuandikisha wapiga kura.Kwanza mshukuru Mama yetu mpendwa kwa kukulipa mshahara kila mwezi na kujaza tumbo lako.
Hata ndo mawazo yangu ,vinginevyo wanawafanyia uhuniWangetangaziwa hilo tangazo katikat8 ya mwezi sio hadi siku ya tarehe imefika ndio wanatangaza.
Hilo tangazo ni la kweli??Wangetangaziwa hilo tangazo katikat8 ya mwezi sio hadi siku ya tarehe imefika ndio wanatangaza.
Nimeassume ni kweli, sina uhakika.Hilo tangazo ni la kweli??
Hapo Ufipa st mnalipa tarehe ngapi?pumbavu tucta
Yap ikiwa 28 kwa 28 kitu ni kile kile. Sawa na 22 kwa 22. Muhimu mshahara utoke tarehe inayojulikana.Kikubwa consistent. Kama Tar 28 iwe iyo iyo maana ndio unatimiza mwezi.
Ila mwezi huu kutoka 22 hafu ujao unatoka 30 sio fair.
Anapotoa hizo pongezi ni vyema machozi yawe yakimbubujika kwa furahaLucas Mwashambwa unatakiwa utoe pongezi kwa Mama. Haya nayo ni mafanikio katika utawala wake.
Tunalipa kwa masaa siyo sikuHapo Ufipa st mnalipa tarehe ngapi?
Oyaa tulia na hao mbusii humo sisini giza tayari limeshaingia.Hivi Evelyn kwanini humpendi The Mongolian Savage wakati kila siku ana confess kwangu kuwa anakupenda na anataka uache ualimu
We dogo..Kwanza mshukuru Mama yetu mpendwa kwa kukulipa mshahara kila mwezi na kujaza tumbo lako.
Kujiepusha na ban ngoja ni-ignore. Wallah nishafurah hapa.Juzi kati alilalamikia bando la mb200 linaisha fasta
Tucta wanahusika vipi na kupanga tarehe za kulipwa mishahara ya watu?Taarifa kutoka TUCTA
Ndugu wafanyakazi napenda kuwataarifu kwamba kuanzia mwezi huu mishahara itakua ikitoka tarehe za mwisho wa mwezi yaani tarehe 28-30. Lengo la kufanya hivyo ni kuondoa gap lililopo kati ya tarehe za mishahara wa sektabinafsi na sekta za Umma. Mwenyekiti wa TUCTA kasema hayo leo wakati akipongeza kuongezeka kwa asilimia ya Kikokotoo kutoka asilimia 33 mpaka 40.