Kuanzia tarehe 20/12 mtapata kuku wa nyama kwa bei poa kabisa

Kuanzia tarehe 20/12 mtapata kuku wa nyama kwa bei poa kabisa

Joined
Jun 15, 2019
Posts
27
Reaction score
17
Wadau wangu wa nguvu, kwa wale wa Morogoro, kwa shilingi 12,000 pekee utapata kuku wa nyama kuanzia mwezi wa 12 kuanzia tarehe za 20 karibu karibu na Christmas 🎄.

Tupeane ka support hapo.

Wasiliana na Mimi kupitia (WhatsApp and normal) +255 743 016 950
 
Back
Top Bottom