Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

Ni muda wa miezi kadhaa, sasa niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.

Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa, Bank Wakala na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtaji unaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla nikawaza nani akae pale na faida yake huwa ni kidogo sana hii biashara, nikiangalia wanaofanya hawaendelei.

Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi Sumbawanga lakini wapi siku hizi mahindi hamna kule, Serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.

Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.

Kimsingi kwa Afrika hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.

Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani, juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.

Hapa sielewi kabisa.
HIzo hela umezipataje..?? Biashara zote hz hapa tanzania
 
Ni muda wa miezi kadhaa, sasa niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.

Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa, Bank Wakala na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtaji unaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla nikawaza nani akae pale na faida yake huwa ni kidogo sana hii biashara, nikiangalia wanaofanya hawaendelei.

Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi Sumbawanga lakini wapi siku hizi mahindi hamna kule, Serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.

Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.

Kimsingi kwa Afrika hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.

Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani, juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.

Hapa sielewi kabisa.
Aisee unamtaji mkubwa ingekuwa mm ndo nina mtaji huo hakika singeweka wote ningeanza na million 10 tu nyingine baadae kwa wazo nililonalo
 
Wakuu naleta mrejesho,
Niliingia kwenye kilimo aiseee, nikipata Gunia name tu na wakati niliweka kama 10M ingawa hata shamba nilinunua lakini duuhh kilimo si mchezo, sasa hivi nimeona nirudi dar
Pole mkuu usivunjike moyo mbona dsm kuna vtu vya kuwekeza na vtakulipa
1.moja "Wekeza kwenye biashara ya TV" hakuna tv na mizigo ya bei nzuri utanunua zanzibar huko sio wauza vitu vya hovyo hovyo kama kariakoo (M6 itatosha kwa hapa) unachotaka ni kufungua page Instagram atleast uwe una Lipia matangazo elfu kumi kwa siku hutokosa wateja kuanzia wanne

2.fanya biashara ya viazi mviringo "utavitoa iringa to dar kubali kula na madalali weka(mil moja kwanza inatosha) ufanye prototype

3. Biashara ya vifaa vya magari haswa vya urembo wa magari
(mtaji M5 Sio mbaya) same applies fungua page instagram
(hapa kazima uajiri mwenye ujuzi

4.spare za piki piki na bajaji mkuu
(kwa daslam Hizi Zina Husika sana)
(mtaji M5 wa kuanzia)
Ajili fundi Ila mjali kwenye malipo usimdhulumu

Kazi kwako mkuu Kila laheri
 
Wakuu naleta mrejesho,
Niliingia kwenye kilimo aiseee, nikipata Gunia name tu na wakati niliweka kama 10M ingawa hata shamba nilinunua lakini duuhh kilimo si mchezo, sasa hivi nimeona nirudi dar
Mkuu kama hela bado ipo njoo tushirikiane biashara ya uhakika
 
Ni muda wa miezi kadhaa, sasa niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.

Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa, Bank Wakala na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtaji unaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla nikawaza nani akae pale na faida yake huwa ni kidogo sana hii biashara, nikiangalia wanaofanya hawaendelei.

Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi Sumbawanga lakini wapi siku hizi mahindi hamna kule, Serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.

Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.

Kimsingi kwa Afrika hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.

Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani, juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.

Hapa sielewi kabisa.
Njoo tuwekeze kwenye biashara ya majeneza inalipa sana hutojuta!
 
Hayo mawazo tu tayari ndio msingi wa kukufelisha na kushindwa kuziona fursa....change your attitude
 
Mfanyabiashara ni risk taker . Alafu tukiwaambia wafanyakazi walioajiriwa manispaa na TRA kukusanya mapato wanavyojibu kwa nyodo(baadhi yao) unatamani kummeza

Tz kodi ni nyingi kuliko maelezo
 
Back
Top Bottom