Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

Hawa ng'ombe bila shaka ni lazima uwe Kijijini , huku Dar utawalisha Nini?

Mkuu inavyosemekana Darslum kwa Sasa ni moja ya mikoa yenye ng’ombe wengi wa maziwa kwa sasa, fanya utafiti vizuri, vyakula ni aghari lakini watu wanasafirisha na soko lake ni kubwa na bei ya maziwa ni kubwa pia I.e lita moja elfu 2,000
 
Hakika mkuu! Mimi nishajenga passion ya ufugaji kwa muda sasa ni kitu nitafanya hata nikistaafu kazi ya Jamhuri! So far mwezi ujao Nitaanza ujenzi wa sehemu ya kufugia ng’ombe hao na soko lipo la uhakika eneo nilipopata kiwanja kwa hesabu zangu ng’ombe wa maziwa Wana faida ukiweka management vizuri ukipanda na malisho.
Kweli....
 
Ni muda wa miezi kadhaa, sasa niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.

Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa, Bank Wakala na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtaji unaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla nikawaza nani akae pale na faida yake huwa ni kidogo sana hii biashara, nikiangalia wanaofanya hawaendelei.

Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi Sumbawanga lakini wapi siku hizi mahindi hamna kule, Serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.

Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.

Kimsingi kwa Afrika hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.

Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani, juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.

Hapa sielewi kabisa.
Mkuu kama uko serious njoo nikupe conection kwa milioni moja
Yani mimi utanipa milioni moja kwa kukupa hilo wazo la biashara na siyo wazo ni kuwa wakala wa bidhaa fulani kwenye kampuni wao wana kiwango chao ambacho watataka uwape ambacho ni milioni 15 alafu eneo la kazi/ofisi watakupa wao kodi hulipi
hiyo 15 watakupa mzigo wa kuendana na hiyo hela
Ukiuza wewe unapeleka hela faida unabaki nayo wanakuletea tena mzigo kadiri utakavyowapa oda
Na uhakika baada ya mda miezi michache tu kuingiza laki mbili kwa siku na kuendelea kama faida itakuwa ni kitu cha kawaida
Utahitaji kuwa na wafanyakazi kama watatu hivi kama wewe mwenyewe hutataka kuwa sehemu ya wafanyakazi kwenye ofisi yako
 
Mkuu kama uko serious njoo nikupe conection kwa milioni moja
Yani mimi utanipa milioni moja kwa kukupa hilo wazo la biashara na siyo wazo ni kuwa wakala wa bidhaa fulani kwenye kampuni wao wana kiwango chao ambacho watataka uwape ambacho ni milioni 15 alafu eneo la kazi/ofisi watakupa wao kodi hulipi
hiyo 15 watakupa mzigo wa kuendana na hiyo hela
Ukiuza wewe unapeleka hela faida unabaki nayo wanakuletea tena mzigo kadiri utakavyowapa oda
Na uhakika baada ya mda miezi michache tu kuingiza laki mbili kwa siku na kuendelea kama faida itakuwa ni kitu cha kawaida
Utahitaji kuwa na wafanyakazi kama watatu hivi kama wewe mwenyewe hutataka kuwa sehemu ya wafanyakazi kwenye ofisi yako
Hiyo bidhaa inatokaa ama ndo unapewa inakufia dukan
 
Hii haina tofauti na biashara ya QNET
Mkuu kama uko serious njoo nikupe conection kwa milioni moja
Yani mimi utanipa milioni moja kwa kukupa hilo wazo la biashara na siyo wazo ni kuwa wakala wa bidhaa fulani kwenye kampuni wao wana kiwango chao ambacho watataka uwape ambacho ni milioni 15 alafu eneo la kazi/ofisi watakupa wao kodi hulipi
hiyo 15 watakupa mzigo wa kuendana na hiyo hela
Ukiuza wewe unapeleka hela faida unabaki nayo wanakuletea tena mzigo kadiri utakavyowapa oda
Na uhakika baada ya mda miezi michache tu kuingiza laki mbili kwa siku na kuendelea kama faida itakuwa ni kitu cha kawaida
Utahitaji kuwa na wafanyakazi kama watatu hivi kama wewe mwenyewe hutataka kuwa sehemu ya wafanyakazi kwenye ofisi yako
 
Mkuu kama uko serious njoo nikupe conection kwa milioni moja
Yani mimi utanipa milioni moja kwa kukupa hilo wazo la biashara na siyo wazo ni kuwa wakala wa bidhaa fulani kwenye kampuni wao wana kiwango chao ambacho watataka uwape ambacho ni milioni 15 alafu eneo la kazi/ofisi watakupa wao kodi hulipi
hiyo 15 watakupa mzigo wa kuendana na hiyo hela
Ukiuza wewe unapeleka hela faida unabaki nayo wanakuletea tena mzigo kadiri utakavyowapa oda
Na uhakika baada ya mda miezi michache tu kuingiza laki mbili kwa siku na kuendelea kama faida itakuwa ni kitu cha kawaida
Utahitaji kuwa na wafanyakazi kama watatu hivi kama wewe mwenyewe hutataka kuwa sehemu ya wafanyakazi kwenye ofisi yako
Naskia harufu ya global alliance na yale mabidhaa yasiyouzika[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Nina kiwanja sehemu huko kigamboni nimetafuta wateja mwaka wa tano huu sipati yaani Ardhi inahitaji uwe na hela usiyoitegemea ili uzamishe uko isahau utauza siku pakichangamka. Lakini hizi za kwetu tunazotegemea tuzalishe ili tupanuke haraka maisha yaendelee si mchezo
Kiwanja kipo sehemu gani mkuu,size yake and the price if you don't mind
 
Biashara ni KIPAJI mzee,sio kila mtu anacho!...nilianza na biashara sina mtaji yaan nachukua mzigo kwa “malikauli"
Ndio kanuni ya biashara inavyotaka baadae ukipata pesa utakuwa na uchungu nayo,ila anayeanza na mahela mengi ni ngumu kutoboa kwa sababu hana presha atakuwa analala hadi saa nne asubuhi ndio akafungue biashara
 
Kinachofurahisha kwa wabongo ni kwamba wao hawanaga mitaji ila wana idea za business tu[emoji23][emoji23]
Hata ideas za biashara walizonazo ni za copy & paste.
Ideas za biashara zenye ubunifu halisi zinatakiwa zenyewe ndio zikupe mtaji na zikuvushe na kukupeleka kwenye level zingine.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Nani huyo anaekwambia Sumbawanga hakuna mahindi? Mahindi yapo sana serikali inaendelea na manunuzi lakin saiz hakuna hela watu wengi tunadai hatujalipwa kwaiyo huu ni wakati mzuri wa kununua mahindi maana wafanyabiashara wengi hela ziko NFRA hawaendi kununua kwa mkulima hii imepelekea Bei ya mahindi kushuka
 
Ni muda wa miezi kadhaa, sasa niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.

Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa, Bank Wakala na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtaji unaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla nikawaza nani akae pale na faida yake huwa ni kidogo sana hii biashara, nikiangalia wanaofanya hawaendelei.

Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi Sumbawanga lakini wapi siku hizi mahindi hamna kule, Serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.

Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.

Kimsingi kwa Afrika hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.

Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani, juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.

Hapa sielewi kabisa.
dah mwamba una pesa mpka sasa umeshindwa kuizungushia dah aisee
 
Ni muda wa miezi kadhaa, sasa niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.

Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa, Bank Wakala na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtaji unaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla nikawaza nani akae pale na faida yake huwa ni kidogo sana hii biashara, nikiangalia wanaofanya hawaendelei.

Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi Sumbawanga lakini wapi siku hizi mahindi hamna kule, Serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.

Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.

Kimsingi kwa Afrika hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.

Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani, juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.

Hapa sielewi kabisa.
Mkuu usumize kichwa sana. Hebu nunua treasury bonds halafu ukae usikilizie faida. Utakuja kunikumbuka.
 
Niliwai kufanya biashara ya vinywaji baridi jumla lakini Ile ni kupoteza muda, wanaoweza ni akina mangi wanaoweza kudunduliza, miaka nenda miaka Rudi unamkuta pale pale.
Mkuu biashara yoyote inahitaji commitment, concentration and, most importantly, CONSISTENCE. Hapa ndipo wenzetu wakinga na wachaga wanapotuacha nyuma.
 
Ni muda wa miezi kadhaa, sasa niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.

Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa, Bank Wakala na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtaji unaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla nikawaza nani akae pale na faida yake huwa ni kidogo sana hii biashara, nikiangalia wanaofanya hawaendelei.

Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi Sumbawanga lakini wapi siku hizi mahindi hamna kule, Serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.

Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.

Kimsingi kwa Afrika hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.

Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani, juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.

Hapa sielewi kabisa.
Chukua mzigo wa mbao njoo nao Zanzibar maelezo zaidi njoo inbox
 
Back
Top Bottom