The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Kuaminiwa ndiyo shida na huyu jamaa atauza bidhaa alizopewa kwa bei ya jumla au ni rejareja.Nilishauri hapo juu nikaambiwa hesabu Za makaratasi..
Nipo ulingoni shughuli naijua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuaminiwa ndiyo shida na huyu jamaa atauza bidhaa alizopewa kwa bei ya jumla au ni rejareja.Nilishauri hapo juu nikaambiwa hesabu Za makaratasi..
Nipo ulingoni shughuli naijua
Kuaminiwa ndiyo shida na huyu jamaa atauza bidhaa alizopewa kwa bei ya jumla au ni rejareja.
Hongera kwa kujipata.Jamaa apambane atajipata tu sehemu sahihi kwa wakati wake Kama wengine tulivyojipata huku.
Zipo njia nzuri tu , Huna haja ya kuumiza kichwa tena kuhusu mkatabaNi muda wa miezi kadhaa,sasa Niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.
Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa ,Bank Wakala,na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtajinunaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla Nikawaza nani akae pale na faida yake uwa ni kidogo sana hii biashara nikiangalia wanaofanya hawaendelei
Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi sumbawanga lakini wapi siku hizi mahidi hamna kule, serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.
Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.
Kimsingi kwa Africa hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.
Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani,juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.
Hapa sielewi kabisa.
Ni muda wa miezi kadhaa,sasa Niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.
Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa ,Bank Wakala,na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtajinunaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla Nikawaza nani akae pale na faida yake uwa ni kidogo sana hii biashara nikiangalia wanaofanya hawaendelei
Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi sumbawanga lakini wapi siku hizi mahidi hamna kule, serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.
Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.
Kimsingi kwa Africa hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.
Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani,juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.
Hapa sielewi kabisa.
Fungua hiyo link upate madini 👆👆Mipango na mbinu za kibiashara kwa mjasiriamali Mdogo, Kati na hata Mkubwa
Dunia leo hii inawataja mabilionea wafanyabiashara wakubwa kama vile Bilgates, Carlos Slim, Abraham Markovich, Trump, Mc Donald, Jeff Bezos na wengine wengi waliofanikiwa kifedha na kupata umaarufu mkubwa kupitia biashara. Imekuwa ni changamoto Kwa wafanyabiashara na wajasiriamali wadogo...www.jamiiforums.com
MmmmhNjoo nayo nitafute pm.itakulipa
Jitahidi ku reveal fursa mbili tatu... Usifichefiche kama hao wengine au vipi bhanaNa pia walio fanikiwa wengi kwenye biashara hujitahid kuficha sana information zao Ili wengine wasiweze kutusua kama wao pengine hutoa hata taarifa za Uongo 😂🤣
Unataka kutoka kwenye biashara gani?Nina tatizo kama lako ila mimi nataka kubadilisha tu biashara. Nilifanya biashara nimapata ziaid ya milion 21.
Kwa sasa nataka kubadilisha biashara. Amini usiamini huu ni mwezi wa 7 sijajua biashara nyingine ya kufanya.
Nipo tu, mzigo ulikuwa milion 21 kwa sasa nimebakiza 16.
Ninayoifanya sasa hiviUnataka kutoka kwenye biashara gani?
NdioNinayoifanya sasa hivi
Akili ya biashara atapata baada ya kubaki na 2M na hapo ndio atakapoanza kuinuka tena.Hela ikiwa nyingi mkononi kunakua na ideas nyingi sana na mara nyingi zinakua chenga.Pesa ikibaki kidogo atapata akili tuWewe jamaa ni masikini wa kiroho. Huu ndio umasikini hatari kuliko wowote ule .Leo una million 30 unashindwa, ukiitafuna yote ikaisha utaweza kusimama kweli?
Anyway hizo pesa huja tolea jasho kuzipata hata shilingi 1, pengine za urithi, mkopo au bahati nasibu.
Kitendo cha kupukutisha hiyo pesa hadi kufika million 33 bila kufanya lolote wewe ni wakuhurumiwa. Yaani nikama maiti ambayo iko mochwari inasubiri sanda ikafukiwe.
Inaonekana hata elimu ya fedha huna. Pesa hailindwi kwa kuificha ndani bila kuizalisha itaisha. Utaitumia kidogo kidogo Yaani itapukutika hata usiamini tena ndio unafamilia . Kama huamini njoo hapa January tupige hesabu utakuwa umebaki na ngapi.
Ushauri wangu kabla mambo hayajawa mabaya tafuta kazi ya ofisini ufanye utakayo kuwa unaingiza pato kila mwisho wa mwezi .
Kuna mfanya biashara sasa hivi ana mtaji wa 5M kwa macho ya kawaida ni ndogo kuliko hiyi milion 33 yako. Ila kibiashara ana mtaji mkubwa kukuliko jaribu kutafakari uchukue hatua.
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Mkuu running costs zake zikojeNi uhakika mkuu, unanunua ng'ombe akiwa na mimba mkuu, mimi mpaka sasa sina passion ya kufuga kabisa ila inabidi kufuga maana pesa ipo nyingi, ukiwa na ng'ombe watano tu wa maziwa pure breeding wanakuzalishia shilingi milioni 5 kila mwezi.
Biashara unatakiwa kuianza kidogo. Ilitakiwa uanze na mtaji mdogo then mazingira na soko ndo litakufundisha jinsi ya kuiendeleza au kuikuza. Hautakiwi kuanza na mtaji mkubwa.Ni muda wa miezi kadhaa, sasa niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.
Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa, Bank Wakala na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtaji unaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla nikawaza nani akae pale na faida yake huwa ni kidogo sana hii biashara, nikiangalia wanaofanya hawaendelei.
Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi Sumbawanga lakini wapi siku hizi mahindi hamna kule, Serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.
Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.
Kimsingi kwa Afrika hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.
Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani, juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.
Hapa sielewi kabisa.
pharmacyNi muda wa miezi kadhaa, sasa niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.
Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa, Bank Wakala na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtaji unaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla nikawaza nani akae pale na faida yake huwa ni kidogo sana hii biashara, nikiangalia wanaofanya hawaendelei.
Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi Sumbawanga lakini wapi siku hizi mahindi hamna kule, Serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.
Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.
Kimsingi kwa Afrika hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.
Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani, juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.
Hapa sielewi kabisa.
Kiongozi, nunua Kirikuu/Carry then tafuta eneo la kutosha na likiwa fenced itapendeza zaidi, ukipata mashine ya kuchakata plastic anza hiyo biashara ya maplastiki.
Unazunguka na Carry yako unachukua mzigo kwa wale wanaonunua plastic kutoka kwa mateja ili wapeleke wakauze kiwandani, nunua kwa hao unazichakata vizuri mzigo ukiwa wa kutosha unapeleka kwa mchina unauza bei ya juu coz tayari umeshazichakata.
Unaweza ukawa unatafuta na oil chafu pamoja na chuma chakavu unanunua mtaani unaenda kuuza viwandani, utakuja kuleta mrejesho hapa.
Kila la heri ndugu...!
Nina kiwanja sehemu huko kigamboni nimetafuta wateja mwaka wa tano huu sipati yaani Ardhi inahitaji uwe na hela usiyoitegemea ili uzamishe uko isahau utauza siku pakichangamka. Lakini hizi za kwetu tunazotegemea tuzalishe ili tupanuke haraka maisha yaendelee si mchezo
Jambo zuri zaidi ni kutafuta experience katika biashara yoyote ile,then after experience pesa inakujaga baadae.
Ndio maana biashara nyingi huwa zinakufa mwanzoni kwa sababu zinahitaji experience,na experience huja kwenye changamoto,na wengi wakipata changamoto wanapotea.
Ndio maana tunasema kwamba biashara mpya ni kama mtoto,anahitaji kutunzwa na kufuatiliwa.
.biashara mpya inatakiwa uingize pesa ambayo UPO TAYARI KUIPOTEZA kwa sababu biashara mpya inachangamoto nyingi ambazo hujazijua.
Solution ya haya yote ni kutafuta mtu ambaye ana experience na biashara husika mkafanya ili kwenye changamoto yeye ajue anazipitaje kwa sababu tayari ni mzoefu.
Ni uhakika mkuu, unanunua ng'ombe akiwa na mimba mkuu, mimi mpaka sasa sina passion ya kufuga kabisa ila inabidi kufuga maana pesa ipo nyingi, ukiwa na ng'ombe watano tu wa maziwa pure breeding wanakuzalishia shilingi milioni 5 kila mwezi.