Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

Mkuu ebu nisome kwenye post no 249 nimekuquote.

Kama uko interested njoo inbox tufanye inshu,nitakuwa tayari kukupa detail zangu zote kuhakikisha kwamba sikutapeli.

Ninachohitaji na mimi ni mtaji kidogo lakini baada ya wwe kupata faida.

I am serious mkuu
Sawa
 
Kabisa nakuelewa mkuu. Kabla hujapata pesa confidence inakuwa juu na mipango kibao. Lakini ukija kuipata sasa, Woga unaingia na yale uliyokuwa ukiwaza awali unaona hayana maana . Unaanza kuwaza upya lakini taratibu ile hela unazidi kuimega kwa mambo ambayo hata hukuyatarajia
Hela ya kuopata Kwa njia ambayo sio ya biashara hata ufanyaje Ina nafasi kubwa ya kupotea.

Ningekuwa ni Mimi ningeingia shambani au kujenga nyumba za kupangisha maana hizo ndio miradi ya watu ambao sio risk taker na waliopata pesa Kwa madili.

Lakini pia kwenye biashara Bora ufungue za aina tofauti kama 3 na uwe tayari kupoteza kiasi Fulani Ili ujifunze ukivumilia utafaulu.
 
Hiyo hela huyu mtu kapata sio ya kutolea jasho, najiuliza kabisa hustler akose wazo la kuwekeza pesa yake? aaah! hapana labda huyu ni muajiriwa au kapewa ya urithi kama ulivyosema, hustler hakosagi wazo la kuzalishia pesa yake
Hata Mimi nimesema ni hela haramu ya dili ndio maana hajui Cha kufanya.

Binafsi ningejenga hata Guests ya vyumba 6 vya buku 7 au 6 voda fasta lazima ingenilipa Kwa sababu sio hela ya jasho hiyo.
 
Sasa hivi kuna ng'ombe wa kisasa kwa siku anakuletea lita 30 za maziwa, tafuta eneo Tanga, iringa karibu na viwanda vya maziwa, au hao cow fugia bagamoyo huko, nunua hao ng'ombe fuga.

Cow anaye produce 30 litres.
Lita 1 ya maziwa sasa hivi ni shilingi ngapi???

Bonge la idea lakini ufugaji ni passion sidhani Kama mleta mada Ana passion hiyo, Ila ng’ombe wa maziwa ni ATM
 
Nimejaribu kuja PM nimeshindwa ila ninachosema kwamba mimi sio tapeli wala mwizi ndio maana nimesema wazi hapa kwambs nilikuja PM.

niko na experience na inshu fulani ambayo nina hakika na nimeifanya kwa muda mrefu sana ila kwa sasa sina mtaji wowote so sijaweza kuendeleza.

Sihitaji mtaji mkubwa,mtaji ninaouhitaji ni mdogo tu kiasi kwamba haitokuwa ni risk kwa upande wako.

SIna mtaji kwa sasa,nina experience ya biashara,sijasema nina idea ya biashara noooo nimesema nina experience ya biashara.

Kila mtu anaweza kuwa na idea ya biashara kwani ni wazo tu,ila experience ndio kitu kikuu ambacho kinanifanya nijiamini kuja kukuandikia hapa hadharani.

Kumbuka : SIHITAJI KIASI KIKUBWA CHA PESA YAKO usije dhani ukija kwangu nitataka milioni 10, au milioni 5 yako au milioni 4 yako au milioni 3 yako au milioni 25 yako au milioni 30yako HAPANA.

KWa wakati huu ni hatari sana kwako kuingiza pesa kwenye IDEA ya biashara,bali kwa sasa ingiza pesa yako pale kwenye EXPERIENCE ya bishara.

Usitoe mtaji kwa mtu ambaye ana idea ya biashara,toa mtaji kwa mtu mwenye experience ya biashsra.

kama hautokuja PM naomba nikushauri kitu kifuatacho ili usitoke patupu,ni hivi kama unataka kuwekeza kwa sasa au kufanya bishara basi hakikisha kwamba lengo lako kuu ni kutafuta experience na sio fedha.

kwa sababu experience ndio itakufanya udumu kwenye game kwa muda mrefu.

Hakuna biashara mbaya ila tu watu wanaziita ni biashara mbaya kwa sababu walikimbia kuexperience changamoto za biashara hiyo.

Karibu sana INBOX tuyajenge

@political Engineer 2

Idea versus experience. Somo kubwa sana hilo sijui wamekuelewa
 
Kuna watu wanasema eti inakuwaje una 40M halaf hauna business idea.

Hebu pata hela ndefu alafu uone kama idea itakuja!!! Unaweza kesha usiku kucha no idea.

Ila ushauri wangu tena business ni very risk, my plan ilikuwa ni kuwa Millionaire by 2025.. ila dah hasara nilizoingia hadi imefanya baadhi ha pesa zangu nikazitupie Utt amis kwanza huku nikiwaza.

Usikurupuke mkuu,m
 
Bonge la idea lakini ufugaji ni passion sidhani Kama mleta mada Ana passion hiyo, Ila ng’ombe wa maziwa ni ATM
Ni uhakika mkuu, unanunua ng'ombe akiwa na mimba mkuu, mimi mpaka sasa sina passion ya kufuga kabisa ila inabidi kufuga maana pesa ipo nyingi, ukiwa na ng'ombe watano tu wa maziwa pure breeding wanakuzalishia shilingi milioni 5 kila mwezi.
 
Ni uhakika mkuu, unanunua ng'ombe akiwa na mimba mkuu, mimi mpaka sasa sina passion ya kufuga kabisa ila inabidi kufuga maana pesa ipo nyingi, ukiwa na ng'ombe watano tu wa maziwa pure breeding wanakuzalishia shilingi milioni 5 kila mwezi.
Hawa ng'ombe bila shaka ni lazima uwe Kijijini , huku Dar utawalisha Nini?
 
Kuna watu wanasema eti inakuwaje una 40M halaf hauna business idea.

Hebu pata hela ndefu alafu uone kama idea itakuja!!! Unaweza kesha usiku kucha no idea.

Ila ushauri wangu tena business ni very risk, my plan ilikuwa ni kuwa Millionaire by 2025.. ila dah hasara nilizoingia hadi imefanya baadhi ha pesa zangu nikazitupie Utt amis kwanza huku nikiwaza.

Usikurupuke mkuu,m
Jambo zuri zaidi ni kutafuta experience katika biashara yoyote ile,then after experience pesa inakujaga baadae.

Ndio maana biashara nyingi huwa zinakufa mwanzoni kwa sababu zinahitaji experience,na experience huja kwenye changamoto,na wengi wakipata changamoto wanapotea.

Ndio maana tunasema kwamba biashara mpya ni kama mtoto,anahitaji kutunzwa na kufuatiliwa.
.biashara mpya inatakiwa uingize pesa ambayo UPO TAYARI KUIPOTEZA kwa sababu biashara mpya inachangamoto nyingi ambazo hujazijua.

Solution ya haya yote ni kutafuta mtu ambaye ana experience na biashara husika mkafanya ili kwenye changamoto yeye ajue anazipitaje kwa sababu tayari ni mzoefu.
 
Jambo zuri zaidi ni kutafuta experience katika biashara yoyote ile,then after experience pesa inakujaga baadae.

Ndio maana biashara nyingi huwa zinakufa mwanzoni kwa sababu zinahitaji experience,na experience huja kwenye changamoto,na wengi wakipata changamoto wanapotea.

Ndio maana tunasema kwamba biashara mpya ni kama mtoto,anahitaji kutunzwa na kufuatiliwa.
.biashara mpya inatakiwa uingize pesa ambayo UPO TAYARI KUIPOTEZA kwa sababu biashara mpya inachangamoto nyingi ambazo hujazijua.

Solution ya haya yote ni kutafuta mtu ambaye ana experience na biashara husika mkafanya ili kwenye changamoto yeye ajue anazipitaje kwa sababu tayari ni mzoefu.

Well said Mkuu💯
 
Ila ukipata sehemu nzuri ambayo haina uswahili, utatoboa. Usiwaogope Alina TRA, Halmadhauri, watakukadiria kulingana na faida yako.
 
Bro nakushauri kitu kimoja..

Kama uko Dar pesa ipo kariakoo.

Narudia Tena pesa ipo kariakoo.


Kama una mtu , ndugu au jamaa alie kariakoo anza kumtembelea pale kariakoo.

Kwa huo mtaji unaweza kuwekeza nusu ya hiyo Hela kwenye frame halafu bidhaa unapewa Bure na wadau utakuwa unarudisha Hela weekly au monthly. Yani nusu ya hiyo Hela ni Kodi tu mzigo utapewa. Ila hapo kwenye kupewa mzigo ingia kariakoo tafuta network sio Kila jambo utapata online. Maduka ya vipodozi jumla, maduka ya matajiri na rims za magari , nguo, spare za pikipiki Kwa jumla. Narudia Tena Kwa jumla. Toa tips ndogo ndogo za mawinga kariakoo wanaokutafutia wateja mikoani.


Baada ya miaka niwili utaanza kuwa unaenda wewe mwenyewe nje kufunga mizigo ila kwasasa anzia migongoni Kwa watu. Kipengele ni namna ya kuaminiwa upewe mizigo. Tafuta connection na watu.


Ushauri wangu ni huo.

Nilishauri hapo juu nikaambiwa hesabu Za makaratasi..

Nipo ulingoni shughuli naijua
 
Back
Top Bottom