johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
CCM kuna mambo ya kizamani sanaNi umoja wa kijinga na kipumbavu hauna faida kwa nchi
Kigwangalla ana 48CCM kuna mambo ya kizamani sana
Utakuta Dr Kigwangalla yumo kwenye huo Umoja [emoji23]
Yaani CCM imejaa watu wajinga snCCM kuna mambo ya kizamani sana
Utakuta Dr Kigwangalla yumo kwenye huo Umoja π
CCM huwa ina mambo ya kijingaUmoja wa hovyo. Ujana ndiyo kitu gani, una faida gani kama akili hakuna?? Nyambafu!!!
Ana zaidi ya hiyo miaka sema CCM huwa wanaficha, kwa maelezo yake 1995 anasoma Masters baada ya kuwamaliza degree ya medicine, sema wanasiasa wanapunguza miaka, wote hao walifoji foji kama akina Mwigulu, Makamba, Nape n.k utakuta wana zaidi ya miaka 55Kigwangalla ana 48
Sawa dada anguNi Umoja wa kijinga kama kilivyo chama cha Chadema.
Bandari kubinafisishwa Kuna faida, subirini kidogoHao wabunge vijana waliounga mkono kuuza Bandari wana faida gani.
Hawezi kuwepoCCM kuna mambo ya kizamani sana
Utakuta Dr Kigwangalla yumo kwenye huo Umoja π
Watakuja Kama wabunge wa CCM moja.Ni nini mchango wa wa wabunge katika muswada wa DP-WORLD?
Huo ni umoja wa vijana wapigaji ndani ya CCM!
Je!
Huku majimboni watakuja kama wabunge wa CCM ipi?