Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 6,154
- 7,083
Habari wana Jamii,
Naomba kupata ushuhuda kwa waliobadili akaunti za kupitishia mshahara.
1. Je, haiwezi kupelekea kukosa mshahara?
2. Je, mhusika ni HR tu au kuna ngazi nyingine ya kwenye zoezi tajwa?
Kwa upande wangu naona NMB wana shida kwenye mifumo yao, kuna mwezi benki zingine mshahara uliingia ijumaa ila sisi wa NMB tukapata jumanne ya wiki inayofuata.
Jana wadau wa CRDB na benki zingine mshahara umeingia ila sisi wa NMB hatujui nini kinaendelea.
Tatizo hili ni la muda mrefu na kwa upande wangu naona bora kubadili akaunti.
Faida za kuhamia CRDB ni nyingi ila sitazitaja hapa.
Wale ambao vichwa vyao haviko sawa soma kisha pita kimya kimya kuliko kuandika yanayotoka kwenye kichwa kibovu.
Naomba kupata ushuhuda kwa waliobadili akaunti za kupitishia mshahara.
1. Je, haiwezi kupelekea kukosa mshahara?
2. Je, mhusika ni HR tu au kuna ngazi nyingine ya kwenye zoezi tajwa?
Kwa upande wangu naona NMB wana shida kwenye mifumo yao, kuna mwezi benki zingine mshahara uliingia ijumaa ila sisi wa NMB tukapata jumanne ya wiki inayofuata.
Jana wadau wa CRDB na benki zingine mshahara umeingia ila sisi wa NMB hatujui nini kinaendelea.
Tatizo hili ni la muda mrefu na kwa upande wangu naona bora kubadili akaunti.
Faida za kuhamia CRDB ni nyingi ila sitazitaja hapa.
Wale ambao vichwa vyao haviko sawa soma kisha pita kimya kimya kuliko kuandika yanayotoka kwenye kichwa kibovu.