Hata nmb wameweka sasa hivi.Very true CRDB wameshapata tangu Jana usiku.
Vipi mama kaongeza kama alivyo ahidi?Hata nmb wameweka sasa hivi.
Kidogo mkuu..siyo habaVipi mama kaongeza kama alivyo ahidi?
Ndio jana night kama saa 5 hivi. Sahivi mzigo unasoma negative.Ni kweli salary imetoka kwa wale wa CRDB?
Mkuu unapiga vyombo? πNdio jana night kama saa 5 hivi. Sahivi mzigo unasoma negative.
Maisha ya utumishi kama drama vile.
Kanifundisha National Anthem yaani acha tu bro.Mkuu unapiga vyombo? π
π π π π furahia maishaaa.. hela zipo tu hazijawai kuisjaKanifundisha National Anthem yaani acha tu bro.
Maisha yataanza at 40.π π π π furahia maishaaa.. hela zipo tu hazijawai kuisja
Huku mitandoni yatakikana tuwe na adabu ya hali juu vinginevyo utaharibikiwa kabisaa, imagine mkuu mbingunikwetu hadi keshastaafu wakaati wengine ndio kwanza tunasubiri ule msemo "life beginning at forty"kWENYE KUSTAAFU HAKUNA SHIDA PIA. Mimi nilihama NMB nikaelekeza mshahara wangu upitie CRDB ambako nilikuwa na akaunti pia. Mafao yangu niliyapata bila shida yoyote! na pensheni ya kila mwezi inaingia bila shida yoyote!
Hakika!Huku mitandoni yatakikana tuwe na adabu ya hali juu vinginevyo utaharibikiwa kabisaa, imagine mkuu mbingunikwetu hadi keshastaafu wakaati wengine ndio kwanza tunasubiri ule msemo "life beginning at forty"